hivi kwani nazjaz ni dume?umeoa?
hivi kwani nazjaz ni dume?
mke sio ndugu, bt pia ni zaid ya rafiki.nauliza hili swali ili nipate kuelewa.
as per posts zake za JF ni jike, aliwahi kuanzisha sredi kwamba hajatongozwa wiki so akasema atakuwa na mikosi.sijui, ndio maana nikauliza.
Ni mwanamke!sijui, ndio maana nikauliza.
as per posts zake za JF ni jike, aliwahi kuanzisha sredi kwamba hajatongozwa wiki so akasema atakuwa na mikosi.
bek to ze topik: FA tupatie ile jibu kitu roho inapenda.
Mke ni chanzo cha matatizo. Sio ndugu yako wala rafiki yako. Ukioa tu, urafiki na washkaji unaharibika kama hauko stable. Pia undugu huvunjwa na wake zetu.
Huyo ni mkeo! So mke ni nani?
Hizi ni dalili za mdada msagajiningekuwa dume niongewabingirisha wadada wa humu Jf hadi mkome