Katika neno la Mungu linasema: Inuka uende ule na uishi pamoja na mke umpendaye maana hakuna kitu kingine kimapchofuraha mwanadamu katika dunia hii! Njoni tusemezane nielezeni haja zenu mpate kupewa haki yenu! CPU nikioa mwanamke ambaye hajafikia kiwango cha moyo unavyotaka itaenda? Elewa pia hata kwa Mungu warembo wapo na wanachati na Mungu haswaaaa na kinaeleweka!
Then hata mke mrembo naye anaweza kutoka kwa Bwana si wote waliowarembo wao ni wa shetani au hawatoki kwa Bwana!
Masuala ya kufahamiana yapo tu kwani sipeleki mahari moja ka moja kuna process nyingi so kitaeleweka tu hapo katikakti! Kingine pia bwana CPU Mke aliye wako na haswa mwenye sifa nilizozipa kipaumbele lazima tu ataniona katika ulimwengu wa Roho kwani ADAMU ALIPEWA MUDA GANI WA KUFAHAMIANA NA HAWA? huoni kuwa just alijikuta akisema huyu ni ubavu wangu...... cha Mungu is directly not need more akili ya Mwanadamu!
Wabeja!
NAONA UMEDHAMIRIA KWELIKWELI! ILA WADADA WA jf KUWENI MAKINI NA MTU HUYU! WENGI WAMETUMIA KIVULI CHA MUNGU ILI KUFANIKISHA UDHALIMU WAO!
Mwanamke mwenye sifa hizo kaka hayupo mungu hatoe vyote unapaswa umuombe akupe mke mwema.
Samahani sitaweza kujibu swali lolote la kizushi kwani Mungu hapendi uzushi!
Katika neno la Mungu linasema: Inuka uende ule na uishi pamoja na mke umpendaye maana hakuna kitu kingine kimapchofuraha mwanadamu katika dunia hii! Njoni tusemezane nielezeni haja zenu mpate kupewa haki yenu! CPU nikioa mwanamke ambaye hajafikia kiwango cha moyo unavyotaka itaenda? Elewa pia hata kwa Mungu warembo wapo na wanachati na Mungu haswaaaa na kinaeleweka!
Then hata mke mrembo naye anaweza kutoka kwa Bwana si wote waliowarembo wao ni wa shetani au hawatoki kwa Bwana!
Masuala ya kufahamiana yapo tu kwani sipeleki mahari moja ka moja kuna process nyingi so kitaeleweka tu hapo katikakti! Kingine pia bwana CPU Mke aliye wako na haswa mwenye sifa nilizozipa kipaumbele lazima tu ataniona katika ulimwengu wa Roho kwani ADAMU ALIPEWA MUDA GANI WA KUFAHAMIANA NA HAWA? huoni kuwa just alijikuta akisema huyu ni ubavu wangu...... cha Mungu is directly not need more akili ya Mwanadamu!
Wabeja!
katika neno la mungu linasema: Inuka uende ule na uishi pamoja na mke umpendaye maana hakuna kitu kingine kimapchofuraha mwanadamu katika dunia hii! Njoni tusemezane nielezeni haja zenu mpate kupewa haki yenu! Cpu nikioa mwanamke ambaye hajafikia kiwango cha moyo unavyotaka itaenda? Elewa pia hata kwa mungu warembo wapo na wanachati na mungu haswaaaa na kinaeleweka!
Then hata mke mrembo naye anaweza kutoka kwa bwana si wote waliowarembo wao ni wa shetani au hawatoki kwa bwana!
Masuala ya kufahamiana yapo tu kwani sipeleki mahari moja ka moja kuna process nyingi so kitaeleweka tu hapo katikakti! Kingine pia bwana cpu mke aliye wako na haswa mwenye sifa nilizozipa kipaumbele lazima tu ataniona katika ulimwengu wa roho kwani adamu alipewa muda gani wa kufahamiana na hawa? Huoni kuwa just alijikuta akisema huyu ni ubavu wangu...... Cha mungu is directly not need more akili ya mwanadamu!
Wabeja!
Mtaongozwa na Amani the same to what you asked! Yes full of peaceOk!! Nisamehe kwa hiyo lugha niliyotumia hapo!! Ila naomba kukuuliza tena, Wale wanaongozwa na Roho wa Mungu hao ndio wana wa Mungu!! Je Roho wa Mungu amekuongoza uweke tangazo hapa?
Wewe wasema!Ndugu, unataka MKE MWEMA au unataka MKE WA KUSUUZA MOYO WAKO???
Mke mwema aliyetoka kwa Bwana ana Urembo wa Roho Mtakatifu na Neno la Bwana na sio Urembo huu wa kidunia. Au sema wazi unataka awe mrembo wa mapodozi.
Kipindi cha Adamu na Hawa kulikuwa na wanadamu wangapi??? Je ni sahihi kufananisha na kipindi hiki cha wanadamu wengi??
Mtaongozwa na Amani the same to what you asked! Yes full of peace
Thank you!
Watu mnashangaza kweli!Sifa gani hizo zisizopatikana kwa wanawake wasiojiuza?Uzuri wa sura?Umri 21-24?Elimu ya kuanzia form4?Kama hupendi thread ya mtu ni bora kuipotezea kuliko kuandika uzushi!Kuna wazuri wangapi wametulia na waume zao..na wengine wapo wanasubiria kuwapata!!You are welcome!
Hizo sifa ulizoweka ni za wanawake wanaouza miili yao, i.e. mwanamke wa kuolewa hawezi kuwa na robo ya hizo sifa!!!
Mara sijui mrembo ni wakusuuzia moyo!Mwenyewe ameshasema anataka atakaeuridhisha moyo wake!Sasa mnataka abebane na mtu asiye mridhisha kisa?Wengine mnauliza kwanini aweke tangazo JF wakati anataka mke mwema!Kwani hao wake wema wanashushwa kutoka mawinguni au wanakutanishwa tu popote?Mnajuaje kama hayupo hapa?Nyie wadada wote mnaokandia hamwezi kua mke mwema kwa mtu?MTAFUTAJI USIKATISHWE MOYO KISA UMEWEKA VIGEZO AMBAVYO HAVIJAWAFURAHISHA!KAMA YUKO HAPA UTAMPATA TU!KILA LA HERI..USISAHAU MAOMBI!
You are welcome!
Hizo sifa ulizoweka ni za wanawake wanaouza miili yao, i.e. mwanamke wa kuolewa hawezi kuwa na robo ya hizo sifa!!!
Hakuna Amani kwa shetani dada yangu! shetani angekuwa na amani basi Libya pasingekuwa na vifo vya namana hiyo! uSIDANGANYWE NA MTU kama unaijua amani HAKUNA AMANI YA SHETANI! Tofautisha sana Amani, Imani, Furaha, Tamaa, Hamu nkSio kila amani inatoka kwa Mungu, amani ingine inatokana na nafsi zetu wenyewe na ingine inatoka kwa yule mwovu. Sasa wewe uajua je kama amani uliyo nayo ni ya Mungu??
Jamani wanaJF,
a) Wanaopenda kukandia karibuni
b) wenye nia njema karibuni saaaana!
Lengo
Natafuta mchumba aliyekamili na tayari kwa ajili ya ndoa Sifa:
i. Mlokole wa kweli
ii. Kati ya 21 hadi 24
iii. Akiwa mweupe ni extra sifa
iv. Awe na shule kuanzia FM4 na kuendelea
v. Awe na kazi/uchumi asiwe golikipa.
vi. Siyo siri napenda awe mrembo tena haswaaaaaaa!
vii. Awe tayari kufahamiana namimi kwa kina NGONO KABLA YA NDOA HAIPO!
Sifa za Zinazopewa kipaumbele.
i. Ulokole wa kweli
ii. Maono ya kumtumikia Mungu
iii. Idea ya kuwa Mama Mchungaji
Nb: Napatikana central Tanganyika! Nami pia najishughulisha na uchumi. Sifa zingine zote nitakupa baada ya kuwasiliana at the first time! Niandikie email: dmadulu@yahoo.com SHETANI HANA NAFASI HATA KAMA NI KWA LIPI, MUNGU MAPENZI YAKO NA YATIMIZWE!