Mke: Natafuta mchumba/mke yaani ninahamu kweli ya kumiliki

Logo

JF-Expert Member
Jan 26, 2011
588
48
Jamani wanaJF,
a) Wanaopenda kukandia karibuni
b) wenye nia njema karibuni saaaana!

Lengo
Natafuta mchumba aliyekamili na tayari kwa ajili ya ndoa Sifa:
i. Mlokole wa kweli
ii. Kati ya 21 hadi 24
iii. Akiwa mweupe ni extra sifa
iv. Awe na shule kuanzia FM4 na kuendelea
v. Awe na kazi/uchumi asiwe golikipa.
vi. Siyo siri napenda awe mrembo tena haswaaaaaaa!
vii. Awe tayari kufahamiana namimi kwa kina NGONO KABLA YA NDOA HAIPO!

Sifa za Zinazopewa kipaumbele.
i. Ulokole wa kweli
ii. Maono ya kumtumikia Mungu
iii. Idea ya kuwa Mama Mchungaji

Nb: Napatikana central Tanganyika! Nami pia najishughulisha na uchumi. Sifa zingine zote nitakupa baada ya kuwasiliana at the first time! Niandikie email: dmadulu@yahoo.com SHETANI HANA NAFASI HATA KAMA NI KWA LIPI, MUNGU MAPENZI YAKO NA YATIMIZWE!
 
kwani ulokole wa kweli ndio ukoje ndugu yangu.....
 
Ha ha ha ha bila shaka huko central tanganyika unavua samaki, naweza pata dagaa wa kigoma?
 
jamani wanajf,
a) wanaopenda kukandia karibuni
b) wenye nia njema karibuni saaaana!

Lengo
natafuta mchumba aliyekamili na tayari kwa ajili ya ndoa sifa:
I. Mlokole wa kweli
ii. Kati ya 21 hadi 24
iii. Akiwa mweupe ni extra sifa
iv. Awe na shule kuanzia fm4 na kuendelea
v. Awe na kazi/uchumi asiwe golikipa.
Vi. Siyo siri napenda awe mrembo tena haswaaaaaaa!
Vii. Awe tayari kufahamiana namimi kwa kina ngono kabla ya ndoa haipo!

sifa za zinazopewa kipaumbele.
I. Ulokole wa kweli
ii. Maono ya kumtumikia mungu
iii. Idea ya kuwa mama mchungaji

nb: Napatikana central tanganyika! Nami pia najishughulisha na uchumi. Sifa zingine zote nitakupa baada ya kuwasiliana at the first time! Niandikie email: dmadulu@yahoo.com shetani hana nafasi hata kama ni kwa lipi, mungu mapenzi yako na yatimizwe!
wachungaji wa aina hii ndio wanaoharibu sifa za wachungaji wenzao walio wema na nia njema ya kumtumikia mungu! Toka ulikozaliwa, mashuleni, makazini kwako, majirani yako mpaka ndani ya kondoo unaowaongoza/tarajia kuwaongoza umeshindwa kuona mchumba, itakuaje hapa jf ambako hatufahamiani kihivo???wewe unaroho "mtaka vitu" na siyo "mtakatifu"! Ushindwe katika jina la bwana aliye juu!
 
wachungaji wa aina hii ndio wanaoharibu sifa za wachungaji wenzao walio wema na nia njema ya kumtumikia mungu! Toka ulikozaliwa, mashuleni, makazini kwako, majirani yako mpaka ndani ya kondoo unaowaongoza/tarajia kuwaongoza umeshindwa kuona mchumba, itakuaje hapa jf ambako hatufahamiani kihivo???wewe unaroho "mtaka vitu" na siyo "mtakatifu"! Ushindwe katika jina la bwana aliye juu!

Mungu siku zote hatumii barabara ya mchina kama tulivyozoea wengi! Njia zake hazichunguziki! JF can be the one way to my best life!
 
Jamani wanaJF,
a) Wanaopenda kukandia karibuni
b) wenye nia njema karibuni saaaana!

Lengo
Natafuta mchumba aliyekamili na tayari kwa ajili ya ndoa Sifa:
i. Mlokole wa kweli
ii. Kati ya 21 hadi 24
iii. Akiwa mweupe ni extra sifa
iv. Awe na shule kuanzia FM4 na kuendelea
v. Awe na kazi/uchumi asiwe golikipa.
vi. Siyo siri napenda awe mrembo tena haswaaaaaaa!
vii. Awe tayari kufahamiana namimi kwa kina NGONO KABLA YA NDOA HAIPO!

Sifa za Zinazopewa kipaumbele.
i. Ulokole wa kweli
ii. Maono ya kumtumikia Mungu
iii. Idea ya kuwa Mama Mchungaji

Nb: Napatikana central Tanganyika! Nami pia najishughulisha na uchumi. Sifa zingine zote nitakupa baada ya kuwasiliana at the first time! Niandikie email: dmadulu@yahoo.com SHETANI HANA NAFASI HATA KAMA NI KWA LIPI, MUNGU MAPENZI YAKO NA YATIMIZWE!

Mke mwema hana RANGI wala MAPODOZI.
Mke mwema anatoka kwa Bwana.

Then naona unachumbia hata kabla hujaonana na mwanamke husika, hata muda wa kusoma tabia hutaki, mbele ya safari akianza vituko si utaanza kusema kaingiliwa na shetani?
 
Siku hizi ni Wachumba, Wake, waume, sijui na nini tena??

Si mchezo Bwana akubariki mpendwa katika yesu utapata
 
Mungu siku zote hatumii barabara ya mchina kama tulivyozoea wengi! Njia zake hazichunguziki! JF can be the one way to my best life!
NAONA UMEDHAMIRIA KWELIKWELI! ILA WADADA WA jf KUWENI MAKINI NA MTU HUYU! WENGI WAMETUMIA KIVULI CHA MUNGU ILI KUFANIKISHA UDHALIMU WAO!
 
kuna mdada anaitwa mary-will nae anatafuta mchumba knye thred yake utaiona, jf imewakutanisha kazi kwenu ushindwe mwenywe hata kama una domo zege mwenyewe anataka na wewe unataka jf amewarahisishia kazi kwenu
 
Mke mwema hana RANGI wala MAPODOZI.
Mke mwema anatoka kwa Bwana.

Then naona unachumbia hata kabla hujaonana na mwanamke husika, hata muda wa kusoma tabia hutaki, mbele ya safari akianza vituko si utaanza kusema kaingiliwa na shetani?

Katika neno la Mungu linasema: Inuka uende ule na uishi pamoja na mke umpendaye maana hakuna kitu kingine kimapchofuraha mwanadamu katika dunia hii! Njoni tusemezane nielezeni haja zenu mpate kupewa haki yenu! CPU nikioa mwanamke ambaye hajafikia kiwango cha moyo unavyotaka itaenda? Elewa pia hata kwa Mungu warembo wapo na wanachati na Mungu haswaaaa na kinaeleweka!
Then hata mke mrembo naye anaweza kutoka kwa Bwana si wote waliowarembo wao ni wa shetani au hawatoki kwa Bwana!

Masuala ya kufahamiana yapo tu kwani sipeleki mahari moja ka moja kuna process nyingi so kitaeleweka tu hapo katikakti! Kingine pia bwana CPU Mke aliye wako na haswa mwenye sifa nilizozipa kipaumbele lazima tu ataniona katika ulimwengu wa Roho kwani ADAMU ALIPEWA MUDA GANI WA KUFAHAMIANA NA HAWA? huoni kuwa just alijikuta akisema huyu ni ubavu wangu...... cha Mungu is directly not need more akili ya Mwanadamu!
Wabeja!
 
Jamani wanaJF,
a) Wanaopenda kukandia karibuni
b) wenye nia njema karibuni saaaana!

Lengo
Natafuta mchumba aliyekamili na tayari kwa ajili ya ndoa Sifa:
i. Mlokole wa kweli
ii. Kati ya 21 hadi 24
iii. Akiwa mweupe ni extra sifa
iv. Awe na shule kuanzia FM4 na kuendelea
v. Awe na kazi/uchumi asiwe golikipa.
vi. Siyo siri napenda awe mrembo tena haswaaaaaaa!
vii. Awe tayari kufahamiana namimi kwa kina NGONO KABLA YA NDOA HAIPO!

Sifa za Zinazopewa kipaumbele.
i. Ulokole wa kweli
ii. Maono ya kumtumikia Mungu
iii. Idea ya kuwa Mama Mchungaji

Nb: Napatikana central Tanganyika! Nami pia najishughulisha na uchumi. Sifa zingine zote nitakupa baada ya kuwasiliana at the first time! Niandikie email: dmadulu@yahoo.com SHETANI HANA NAFASI HATA KAMA NI KWA LIPI, MUNGU MAPENZI YAKO NA YATIMIZWE!

Nenda Q-Bar au Jolly au Ohio Street utawapata walokole wengi sana wa kweli!
 
Mwanamke mwenye sifa hizo kaka hayupo mungu hatoe vyote unapaswa umuombe akupe mke mwema.
 
kuna mdada anaitwa mary-will nae anatafuta mchumba knye thred yake utaiona, jf imewakutanisha kazi kwenu ushindwe mwenywe hata kama una domo zege mwenyewe anataka na wewe unataka jf amewarahisishia kazi kwenu

Ushaona ee? But what is this kwenye red?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom