Wakuu natumaini wote muwazima wa afya!!!!
Leo naomba wataalam wa mahusiano na saikolojia mnisaidie kuondokana na utata huu!
Ni muda sasa nimekuwa nikisikia kuwa Wana ndoa wakiishi pamoja baada ya muda fulani hufikia kiwango cha kufanana (kwa sura). Nimesikia mara kadhaaa na mimi nahisi kama kuwa watu ninao wafahamu wanaofanana (wana ndoa).
Lakini cha ajabu zaidi ya watu watatu nao wameniambia "wewe (Mimi) umefanana na Mkeo", nikashtuka sana. Inakuwaje nifananane na mtu ambaye nilikutana naye akiwa mtu mzima tayari? Na ndoa yenyewe ndio kwanza ina miaka mitano tu?
Wataalam naomba mnijuze nini kinasababisha watu (wana ndoa) waonekane kama wanafanana? na je dhana hii ni ya kweli au ni upofu wa macho yetu tu?
Leo naomba wataalam wa mahusiano na saikolojia mnisaidie kuondokana na utata huu!
Ni muda sasa nimekuwa nikisikia kuwa Wana ndoa wakiishi pamoja baada ya muda fulani hufikia kiwango cha kufanana (kwa sura). Nimesikia mara kadhaaa na mimi nahisi kama kuwa watu ninao wafahamu wanaofanana (wana ndoa).
Lakini cha ajabu zaidi ya watu watatu nao wameniambia "wewe (Mimi) umefanana na Mkeo", nikashtuka sana. Inakuwaje nifananane na mtu ambaye nilikutana naye akiwa mtu mzima tayari? Na ndoa yenyewe ndio kwanza ina miaka mitano tu?
Wataalam naomba mnijuze nini kinasababisha watu (wana ndoa) waonekane kama wanafanana? na je dhana hii ni ya kweli au ni upofu wa macho yetu tu?