DASA
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 1,031
- 301
Tatizo la kina mama kutoelewana na mama wakwe zao ni tatizo sugu sana duniani. Hata siku moja hawawezi kuishi vizuri pamoja chini ya dari moja. Je kuna mtu ameshuhudia hawa watu wawili wakiishi vizuri! kama hakuna kabisa je ni kwamba ni laana za toka enzi hizo au ni nini. Kwanini inakuwa ngumu hawa watu kuelewana na kupendana. Kama ni wivu kwa mtoto/mume ni wivu gani huo mbona kila mmoja ana mapenzi tofauti kwa kijana/mtoto.