sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Nimeamini basi siifahamu vizuri JF afadhali unazidi kuniambia ilivyo!
ninamiaka kibao humu hayo mambo sikufikilia eeeti!
:flypig:
Nimeamini basi siifahamu vizuri JF afadhali unazidi kuniambia ilivyo!
ninamiaka kibao humu hayo mambo sikufikilia eeeti!
eti wakati wenzako wamelala wewe unatembeatembea nje....usiku wa manane.....
hata uwe malaika...mgao unaendeleanani kakudanganya wema wa mke unamzuia mume kugawa dudu nje?
sio kutembea tu anatembeza mdudu
wanawke wa JF mnavihelehele imesemwa kwa wanaume tuu!
mi kweli kwamba mwanaume anapopata mke responsible,anayejua majukumu yake na kuyafanya,kumpenda mume wake na watoto wake, na nduguze ni dawa kumfanya mume awe mume mwema na ikiwezekana kutokutembea nje?
eti wakati wenzako wamelala wewe unatembeatembea nje....usiku wa manane.....