Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
Ukiuliza Biblia jibu ni "ndiyo"! Sasa nimejiuliza.. kwanini hayo maandiko hayasemi
Mke mzuri
Mke mrembo
Mke mwenye figure ya namba 8
Mke msomi
Mke mwenye sura ya umodo
Mke mkamilifu
Mke mtulivu
Mke mpole
Mke mwenye mapozi
n.k
Anatoka kwa Bwana!?
Maana wengine katika maisha yetu tumewatafuta "wake" wenye sifa nyingine kibao na kushindwa kuitafuta ile ambayo ni prerequisite ya sifa nyingine zote yaani "wema". Ndio maana ikaulizwa mahali fulani (msiniulize wapi).. "mke mwema ni nani awezaye kumpata"? ..
Well.. I'm still searching!!! Wakati mwingine nafikiria nimempata and I get all elated and euphoric to find out.. she has everything else but 'THAT' ..
Umeshampata, bado unatafuta, wewe ni mmojawapo, unajitahidi uwe.. au ndiyo inabidi "to settle" na kile ulichonacho?