Maria Roza
JF-Expert Member
- Apr 1, 2009
- 6,797
- 1,567
aaawww njoo nakusubiria honey :A S 8::A S 8::A S 8::A S 8:
aaawww njoo nakusubiria honey :A S 8::A S 8::A S 8::A S 8:
ila naona hapa kuna watu wengi, na watoto, ni me ku PM. u r such the best Air hostes
Thanx alot mr captain woww!!! enjoy ur dream:hug:
Afrodenzi njoo uone:whoo:
Tulikuwa tunapiga soga wakati wa kuukaribisha mwaka mpya; moja ya hoja iliyotolewa ilikuwa ni suala la mmoja wetu ambaye alisema kuwa "lazima mke wangu awe msomi bwana, mimi mambo ya kuoa wa darasa la saba simo". Huo ukawa mwanzo wa mjadala mzito wa umuhimu wa usomi (wa elimu ya juu hasa yenye shahada) katika ndoa. Wengine walikuwa wanadai kama wote hamjasoma hamuwezi kuendesha mijadala ya kisomi; na kuwa ndoa haiwezi kudumu au kuwa ya furaha kwani mume anaweza kuwa na dharau fulani hivi kwa mke wake.
Wengine wakasema mwanamke akiwa msomi sana kuliko mwanamme, mwanamme atajiona duni sana na italeta shida kwenye ndoa. Na mmoja akadai wote wakiwa wasomi sana uhusiano wao unaweza kuwa mzuri sana au unaweza kuwa na matatizo kwani itakuwa vigumu sana kumaliza mijadala itakuwa inabakia kuahirishwa na wote wawili wanakuwa very independent minded.
Hadi kengele ya saa sita za usiku inagonga tulikuwa hatujapata jibu muafaka maana tuliona mahali fulani mtu anatangaza anatafuta mchumba na kigezo cha kwanza kabisa kilikuwa "awe na elimu ya chuo kikuu". Mtu mmoja akasema "we unafikiri kwanini baadhi ya wanawake wenye madaraka sana na wasomi wanajikuta hawana waume wa kudumu"?
Hivyo swali linabakia.
Ole wenu mwanmke aliyesoma hata akawa na Masters, & mumeo Dr, most of time hakuna NDOA hapo, go & search, wanawake wengiiiiiii
wakiwa na high level ya Education say from ka degree, most of them kwenye ndoa are trouble makers, why...!!!? wanachanganya U Beijing (
women rights, gender equality hadi home) & NATURE
that means waliosoma haki degree & above most wanataka KUWA KICHWA NDANI YA NYUMBA, in short mwanmke anataka kuwa dume home, since when..? hamna ndoa hapo, go & do reseach ndogo
lakini % kubwa inabakia kuwa mapenzi hayachagui labda kama mpo after kitu fulani
Kwanza lazima tukubali kwamba mfumo dume hauwezi kufutika katika uso wa dunia, at least kwa upande wetu huu wa dunia..
kwa mantiki hiyo, wanawake wasomi hawawezi kuishi na wanaume kwa amani, maisha yatakuwa ya taabu sana. Wanawake wasomi are trouble makers, kama alivyoeleza Mr. President hapo juu, Gender Rights, Sleeping Rights, Drinking Rights, Walking Rights, we acha tu...
Kuta 4 za nyumba zinaficha mambo mengi....
Kuta 4 za nyumba zinaficha mambo mengi....
Kwa Ndoa za siku hizi lazima mmoja akubali kuwa chini mwingine juu hapo Ndoa itadumu.
Mkigangamaa wote hapo hakuna kitu kila siku kwenye usuluhishi
Kwa Ndoa za siku hizi lazima mmoja akubali kuwa chini mwingine juu hapo Ndoa itadumu.
Mkigangamaa wote hapo hakuna kitu kila siku kwenye usuluhishi
Kwanza lazima tukubali kwamba mfumo dume hauwezi kufutika katika uso wa dunia, at least kwa upande wetu huu wa dunia..
kwa mantiki hiyo, wanawake wasomi hawawezi kuishi na wanaume kwa amani, maisha yatakuwa ya taabu sana. Wanawake wasomi are trouble makers, kama alivyoeleza Mr. President hapo juu, Gender Rights, Sleeping Rights, Drinking Rights, Walking Rights, we acha tu...
Kuta 4 za nyumba zinaficha mambo mengi....
Mpwa mbona unakorofisha? Hapo kwenye bold hebu kapa-edit pasomeke mwanamke. Tafazali tafazali.
Umenena vema Askofu,,,mara nyingi mwanamke akiwa juu kuliko mwanaume mambo mengi yanajitokeza,kiburi,dharau,jeuri,,n.k no respect
Umenena vema Askofu,,,mara nyingi mwanamke akiwa juu kuliko mwanaume mambo mengi yanajitokeza,kiburi,dharau,jeuri,,n.k no respect
Hahahaha! Nimesoma kwa mawani yangu. Mwanamke akiwa juu hiyo style hata Mungu hapendi bana. Mungu napenda mwanamke kuwa chini mwanaume nakuwa juu yake. Sasa nyie vijana wa siku hizi mnataka mpaka mmwanamke achunge mbuzi mpaka mnatumia mbuzi kagoma style, sijui ndo nini hicho.
Babu anarudi kulala.