steven makoi
Member
- Aug 18, 2012
- 21
- 3
Nonoo
We unataka wa kukulea maisha ya mjini yamekushinda wewe una miaka 30 halafu unataka 35-45 maana yake ni kwamba unataka mtu mwenye kazi yake na maisha yake kwa ujumla.Tafuta vyako maana vya bure navo ghalama yake ni kubwa sana
jamani nahitaji mke awemweupe mnene mrefu.asiwe na maziwa makubwa elimu yoyote awe na kipato chochote.awe na umri miaka 35-45 mimi nina miaka 30,mrefu wastani,mnene kidogo mimi ni mfanyabiashara ninaishi mkoani moshi.Aliyeteyari tuwasiliane (stevenmakoi@yahoo.com)
jamani nahitaji mke awemweupe mnene mrefu.asiwe na maziwa makubwa elimu yoyote awe na kipato chochote.awe na umri miaka 35-45 mimi nina miaka 30,mrefu wastani,mnene kidogo mimi ni mfanyabiashara ninaishi mkoani moshi.Aliyeteyari tuwasiliane (stevenmakoi@yahoo.com)
mfanya biashara ya mshedede au bhange?
nimekuwa addicted na comment zako
leo nilikuwa namsubiria mama ya dollar naona hajaanzisha upompo wake