RealTz77
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 738
- 40
wanajamii kuna jambo linanitatiza kikubwa katika familia yangu, wife anapenda sana kuomba hela toka kwa wazazi wake, au kufanyiwa service flani, but si kuwa amekosa kwangu la hasha, anadai amewazoea na alizoea hivyo, so anafeel good kufanya hivyo. tabu ni ndani ya nafsi yangu na perception ya upande wa wakwe je wataamini kweli anaomba tu for she feel like that?au tunataabika na kuanza kuniundermine kuwa namtesa binti yao, nimetaka kuchukua hatua ya kuwaeleza wazazi wasiwe wanampa hela anapowaomba, but nachelea.Pia anapenda kuelezea kwao each and everything kinachotokea kwetu, na haoni ni ubaya hata nimweleze vipi, zaidi naambulia kununiwa!hata wiki
NB, wife is employed with just enough salary, simdai chochote ndani anafanyia tu issue zake, tuna miaka saba ya ndoa!!
naomba japo mawazo how do i go about this situation my friends!
NB, wife is employed with just enough salary, simdai chochote ndani anafanyia tu issue zake, tuna miaka saba ya ndoa!!
naomba japo mawazo how do i go about this situation my friends!