babycandy
Member
- Apr 6, 2009
- 5
- 0
Pole zake kaka huyo..namshauri kupima DNA, ili kuprove kama mtoto ni wake au si wake, isije ikawa anahisi tu kwa sababu may be anamfahamu huyo exb wa mkewe..then baada ya hapo uamuzi anao mwenyewe..moyo wake ndo utaamua maana kama love itaisha maisha machungu hapo...Mungu amtangulie ampe kusamehe na kusahau..The baby is innocent!