MzalendoHalisi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2007
- 4,520
- 1,368
Nina jirani jamaa yangu ameoa mwaka jana Novemba! Ilikuwa hivi: binti alipata mimba: basi jamaa kachagizwa fasta fasta wafunge arusi. Na kweli ilikuwa arusi babu kubwa! Wote wanafanya kazi: binti mwal. primary na jamaa anafanyia Benki!
Sasa mtoto amezaliwa: mtoto mzuri na tena mtundu sana wa kiume ana miezi mitano- yule mtoto copy right anafanana na ex boyfriend wa huyu dada! Inaonekana binti alikuwa na hawa jamaa wote wakati mmoja: ndo akaamua kumsingizia huyu wa benki!
Huyu jamaa yangu nae ameshtuka: juzi alishare nami kama rafiki akaniomba ushauri! Kumrudisha kwao: ni aibu kubwa sasa kwake na familia zao wote! Pia jamaa anaogopa kumuuliza mke wake kama huyu mtoto ni wake! Ila anasema mapenzi yake kwa mkewe yameanza kupungua kila akimtazama mtoto!
Je afanyeje??
Sasa mtoto amezaliwa: mtoto mzuri na tena mtundu sana wa kiume ana miezi mitano- yule mtoto copy right anafanana na ex boyfriend wa huyu dada! Inaonekana binti alikuwa na hawa jamaa wote wakati mmoja: ndo akaamua kumsingizia huyu wa benki!
Huyu jamaa yangu nae ameshtuka: juzi alishare nami kama rafiki akaniomba ushauri! Kumrudisha kwao: ni aibu kubwa sasa kwake na familia zao wote! Pia jamaa anaogopa kumuuliza mke wake kama huyu mtoto ni wake! Ila anasema mapenzi yake kwa mkewe yameanza kupungua kila akimtazama mtoto!
Je afanyeje??