Kumbe kina Mzee Ali Hassan Mwinyi na Mkewe Sitti Mwinyi ni waislamu jina tu wataishia motoni! Kina mama Salama Kikwete wana puuza dini! mmh!!?Issue ya kubadili jina au kutobadili jina imekaa kidini zaidi. Kwa wanao fuata imani ya Kiislamu Uislam umekataza kubadilisha jina la baba na kutumia jina lolote jengine kama kutumia jina la mume.
Waiteni kwa baba zao, maana huo ndio uadilifu zaidi mbele ya Mwenyezi Mungu
Al-Ahzaab: 5
Na tabia ya mke kubadilisha jina kutumia jina la mume, mfano kuitwa Mrs Juma, ni tabia zisizolingana na maadili na mafundisho ya Kiislam kabisa!
Kufanya hivyo vile vile kuna madhara yake. Kwanza tabu ya kubadiisha pasipoti na vyeti vinginevyo kwa ajili ya utambulisho katika idara za serikali.
Pili, inapotokea kifo cha mume au talaka, inabidi mke arudie kubadilisha pasipoti na vyeti vyake vyote vingine kuweka jina la baba badala ya jina mume, hivyo ni usumbufu unaompotezea mtu fedha na wakati wake.
Kwa hiyo Muislamu ni bora kubakia katika amri na mafunzo ya dini yake ili kupata ridha ya Mola wake na pia kujiepusha na usumbufu mbali mbali.
Ila kwa wale wanao fuata kanuni za kimila na kikristo na kimagharibi ni jambo lililo zoeleka kwa mke kujiita kwa jina la ukoo wa mume wake.
...akasema, Kwa sababu hiyo, mtu atamwacha babaye na mamaye, ataambatana na mkewe; na hao wawili watakuwa mwili mmoja?
Hata wamekuwa si wawili tena, bali mwili mmoja. Basi aliowaunganisha Mungu, mwanadamu asiwatenganishe.
Matt 19:5-6
Hivi maana ya Mrs & Miss kwa kiswahili ni nini?
Masaki I knew u will come up with answer... weye ni mwalimu wa kiswahili?
mwanafunzi ni kama unaelekea kumpiku mwalimu vile??Hapana, mimi ni mwanafunzi wa Kiswahili, mwalimu wangu yupo hapa jamvini. Anaitwa Mwalimu bht.......!!!
mwanafunzi ni kama unaelekea kumpiku mwalimu vile??
ntapunguza kasi sasa....
Mwalimu anatakiwa kuona fahari kutokana na mwanafunzi wake kufanya vizuri kwenye somo lake. Kitendo cha kupunguza kasi kutokana na mimi kufanya vizuri kwenye somo lako kutafanya watu watilie shaka wito wako!
Je wao binafsi wanajiita hivyo, kwa majina hayo ya Mama Fulani... Pia huwezi juwa maisha yao ya akhera yatakuwaje... wao ni waja wa M'Mungu wanaweza tubia kabla ya mwisho wa uhai wao.Kumbe kina Mzee Ali Hassan Mwinyi na Mkewe Sitti Mwinyi ni waislamu jina tu wataishia motoni! Kina mama Salama Kikwete wana puuza dini! mmh!!?
Ukimwita mtu kwa jina la Mama Fulani, una maanisha ana mtoto anaitwa Fulani.Mrs - Mama fulani....say Mama Kikwete
Miss - Bi fulani......say Bi Mwenda
sio muhimu kubadili jina cha muhimu ni maisha ya maelewano ya raha, amani,uendo,kuvumliana,kusameheanani jirani zangu na nimeisha wasuluhisha sana lakini kila upande unadai uko sahihi..
Jamaa kaoa mwaka watano huu lakini mkewe ambaye ni mfanyakazi serikalini amekataa kutumia jina la mumewe kama ilivyo zoeleka kwa kina mama wengi wakiolewa. K.m vile mama maria nyrere, magret sitta,hilary clinton, lwiza mbutu n.k
yaani mrs kang'ang'nia tu kutumia jina la baba yake kitendo ambacho mume kinamuumiza mno! Na anaona mkewe anampuuza eti kwa vile hana hadhi kubwa kama baba wa mke.
Jamani hii inakuwaje ni lazima mke abadili jina akiolewa na kujiita jina la mumewe?
Duh, kama ni hivyo wanaume tutafute "uwezo" jamani, lasivyo unaweza kupuuzwa ukakosa raha ya dunia.
sio muhimu kubadili jina cha muhimu ni maisha ya maelewano ya raha, amani,uendo,kuvumliana,kusameheana
Kumbe kina Mzee Ali Hassan Mwinyi na Mkewe Sitti Mwinyi ni waislamu jina tu wataishia motoni! Kina mama Salama Kikwete wana puuza dini! mmh!!?
Well said Gaijin...!1. usimtilie x-pasta maneno kinywani.....hajasema wataingia motoni
2. inaweza kuwa wanapuuza dini ( si ajabu kwa kuwa wao sio viongozi wa uislam kama mkapa alivyokuwa si kiongozi wa Ukiristo )
3. Inawezekana kuwa wao hawajiiti, ila watu wanawaita. kwa maana ya kuwa yeye mwenyewe anapo jitambulisha hajisemi kuwa "mimi ni Siti Mwinyi"
tusipoteza muelekeo wa mada........mwaga data wewe unaonaje mke kutobadili jina?
upande wangu naona poa tu, whatever makes the lady happy ( isiwe tunafikiria whatever makes the guy happy pekee)
1. usimtilie x-pasta maneno kinywani.....hajasema wataingia motoni
2. inaweza kuwa wanapuuza dini ( si ajabu kwa kuwa wao sio viongozi wa uislam kama mkapa alivyokuwa si kiongozi wa Ukiristo )
3. Inawezekana kuwa wao hawajiiti, ila watu wanawaita. kwa maana ya kuwa yeye mwenyewe anapo jitambulisha hajisemi kuwa "mimi ni Siti Mwinyi"
tusipoteza muelekeo wa mada........mwaga data wewe unaonaje mke kutobadili jina?
upande wangu naona poa tu, whatever makes the lady happy ( isiwe tunafikiria whatever makes the guy happy pekee)