Mke anakwepa sana tendo la ndoa, nini kifanyike?

Tatizo hili lilianza tangu mke wangu alipopata mimba, na tatizo hili limedumu hadi sasa hivi, ambapo alishajifungua na mtoto ana miezi sita. Yaani hata wakati wa kulala mke wangu ananipa mgongo, ye yuko bize na mtoto wake tu. Hali hii inaweza kuwa imesababishwa na nini, na nifanye nini ili nirekebishe hali hii? Nisaidieni, kwani naona hii ndoa inanishinda.

Wewe baba unataka umbemende mtoto miezi 6 tu unataka mzigo subiri ifike hatua ya kuzibua masikio na kukazia meno yakue fresh.
 
tatizo hili lilianza tangu mke wangu alipopata mimba, na tatizo hili limedumu hadi sasa hivi, ambapo alishajifungua na mtoto ana miezi sita. Yaani hata wakati wa kulala mke wangu ananipa mgongo, ye yuko bize na mtoto wake tu. Hali hii inaweza kuwa imesababishwa na nini, na nifanye nini ili nirekebishe hali hii? Nisaidieni, kwani naona hii ndoa inanishinda.

muulize kwanza huyo mtoto ni wako hilila unyumba unaweza badili lakini kutunza mtoto wa mtu mi sishauri wala kukushauri
kilimo kwanza pesa huruma baadae usije ukwa walikulimia wenzako we unalea mpwa
 
kaka piga nje mpaka atakapo kuwa na hamu nawe!hupaswi kulalamika wakati ukipita mwenge stand au posta mpya unaopoa tuu
 
labda anataka tendo la uchumba.

Anyway,
kama ndo mtoto wenu wa kwanza ni kawaida kabisa kuwadatisha akina mama.

Alijifuanguaje? Normal/c-zar? Wengine hapa huumwa migongo kwa muda mrefu na yale mambo yanakuwa unstable

depression baada ya kujifungua sijui inaitwaje kitaalam nimesahau hivi, kuna wengine wakijifungua wanapata deppression labda kutokana na maumivu alopata anaogopa kufanya tena na kujikuta anapata ujauzito.

zungumza naye kiutu uzima kama anahitaji msaada wa kisaikolojia mpeleke mkeo.

point of correction: sio mtoto wake ni mtoto wenu

Mtoto ni wa kwanza, na alijifungua kwa opereshen/ceaserian section.
 
pdidy acha chokochoko si nzuri

matron kwa hili simtanii bwana mi nimerejister ngo ya kutunza watoto walioibiwa kwenye ndoa
yaani familia nyingi usione mtu anajitapa ana mitoto minne mwaya nimeona live familia moja kwenye gorofa pale masaki mama anatoa siri wawili si wa mzee wameishia kugaiana gorofa ya kwanza ya mama ya pili baba tatu watoto uko juu ili mungu akishuka awahi kuwachukua mapema nakwambia ndoa si mchezo mwaya hasa anapofanana na houseboy wako kwa bahati mbaya ndio loh
 
mtoto ni wa kike, tena amefanana na mimi ile mbaya.

kufanana na wewe sio tatizo bana unaweza kuwa unafanana na xboyfriend wa mumeo mpwa
omba tu mungu akufunulie huko mbele ya safari hata kama itachukua muda isizidi kumi uwe na uhakika wako
 
Mi nimeona mwanamke mmoja ameolewa kabla ya kuolewa akaniambia didy unajua yaani huyu wa sasa kama rey nakwambia kasoro mrefu sura kila kitu nakwambia nilipomwona niliogopa mpwa kama jamaa yake wa zamani na leo hii jamaa ameoa so kama wa zamani akiamua kukumbushia nakwambia jamaa anatulia kama mboga tena anaasema kafanana na bibi yangu wa kiraracha kumbe loh

hata hivyo haya ni maneno ya dunia tu usikate tamaa mpwa
 
kaka piga nje mpaka atakapo kuwa na hamu nawe!hupaswi kulalamika wakati ukipita mwenge stand au posta mpya unaopoa tuu
muulize kwanza huyo mtoto ni wako hilila unyumba unaweza badili lakini kutunza mtoto wa mtu mi sishauri wala kukushauri
kilimo kwanza pesa huruma baadae usije ukwa walikulimia wenzako we unalea mpwa
I wonder what happen to you "two" the day of today
tatizo mtoto ame divert attention ya mama kwa mume. na hapo usikute huyo mtoto ni wa kiume bila shaka!
labda anataka tendo la uchumba.

Anyway,
kama ndo mtoto wenu wa kwanza ni kawaida kabisa kuwadatisha akina mama.

Alijifuanguaje? Normal/c-zar? Wengine hapa huumwa migongo kwa muda mrefu na yale mambo yanakuwa unstable

depression baada ya kujifungua sijui inaitwaje kitaalam nimesahau hivi, kuna wengine wakijifungua wanapata deppression labda kutokana na maumivu alopata anaogopa kufanya tena na kujikuta anapata ujauzito.

zungumza naye kiutu uzima kama anahitaji msaada wa kisaikolojia mpeleke mkeo.

point of correction: sio mtoto wake ni mtoto wenu

Hope umepata mwangaza hapa kaka!
 
...mazowea yana tabu....hebu badili upande wa kitanda, kwani ni lazima ulale upande huo huo unaopewa mgongo
mlaze mwanao kati yenu uone mabadiliko au, nunua baby cot!
 
Hutokea kwa sio wanawake kua busy na mtoto mpaka kujisahau, ukiwa kama mume jiweke karibu na huyo mama na mtoto msaidie hata sikuza weekend apumzike usiku kama ameamka mtoto mwambie akufundishe vp kum change kama anahitaji maziwa mpe mtoto.

Hapo utaona atakavyokupa maunyumba, lakini wewe unataka majambo huku mwezio ananyonyesha labda umpe kikombe akukamulie maziwa unywe lakini chali hakupi kwa mtindo wako wa ukali....
 
Wanawake wengi sana huwa wanabadilika baada ya kujifungua. Kwa sehemu, sehemu ya Mapenzi huamia kwa mtoto na hivyo mume kujikuta nafasi yako kuwa ndogo kwa mkeo. Cancelling kwa mkeo kupitia kwa ndugu zako au mshauri nasaha inahitajika. Pia pata muda wa mara kwa mara na kumbukusha mkeo kuwa pia wewe ni mwanaume na unahitaji upendo wake pia.
 
Back
Top Bottom