MduduWashawasha
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 1,653
- 601
Hivi mbona hakuna mtu anayezungumzia kuunganisha gridi ya Tanzania na Zambia.Ili zamani wakati Nyerere hajafa ilikuwa katika mikakati ya serikali ya wakati huo kukabiliana na mgao.inaonekana alivyokufa tu watu wakaamua kupiga dili.Ndo haya tunayoyaona sasa