Mkataba wa TRL (TRC)

FD..... I salute!!! Duh, kumbe sio viini macho............ na huo mkataba tulioahidiwa nadhani sasa ni wakati muafaka kuupata ili tuone kulikoni!!!
 
Morani75, Thanks

Haya mambo tunayazungumzia sana humu. Tuliyazungumzia kwenye topic ya IPTL...

Mengi tunasema ila SIRIKALI HAISIKII kaka!
 
Mwafrika wa kike, na huyu hapa tena anatokea ...:


"Chenge said the government is optimistic that, once in the hands of investors, transportation of cargo to Rwanda, Burundi, Democratic Republic of Congo (DRC), and others, could generate a lot of money for the country.

He insisted that it is the pursuit of favourable terms that compelled the government to extend the signing of the agreement to officially hand over TRC to the investors last month."



Huyo ndio Mheshiwa wetu...
 
Toka lini mhindi akawa muwekezaji.Kwanza ni wanyonyaji,wakandamizaji,wana zarau.
Ebu imagine badala ya kufufua engine zilizopo wanaenda chukua za kwao.Yale yale ya URAFIKI ata pamba wakati mwingine wanaagiza toka kwao ati yetu haina ubora.Kumbe to them wanagain forex na mwisho wa mwaka wanaonyesha wamepata loss thus gvt haiambulii gawio lolote.10% izi zitzimaliza nchi jamani


BANIANI MBAYA

Majira January 18, 2008:

“Urgently Required: Sales person male/female for a pharmacy at Shoppers Plaza. Should be: Form 1V/V educated. Fluent in English. Tanzanian of Asian Origin. Please contact 0754-673586.”


KIATU CHAKE DAWA!

Tanzania secures more scholarships from Indian Govt


Guardian 2008-03-26 09:13:19
By Special Correspondent, New Delhi

The government of India has increased the number of scholarships to Tanzanians. Indian Prime Minister Dr Manmohan Singh said the increase was made in response to a request by Vice-President Dr Ali Mohamed Shein who is on an official tour of India.

Singh said Dr Shein requested the Indian government
to increase the number of scholarships so as to enable more Tanzanians acquire expertise for the country`s development.

Dr Shein also requested the government of India to offer
scholarships which would be used to train water engineers as the country currently experiences shortage of water expertise.

Dr Shein appreciated Indian government assistance to Tanzania, which he said has brought development to the people ...insisted on the importance of the sub continent`s govt assisting Tanzania in various spheres of development.

UFISADI UNATUFANYA MASIKINI, TUSIO NA HADHI, TUKAUZA NCHI NA UTU WETU
 
Kasheshe is right!!!

Government inaangalia umuhimu wa huu mradi ndio maana wanaweza kufanya re-allocation..

Hapa hamna kitu, sababu mkopo wa 3.6 B sio fedha za kutisha compared na tatizo na umuhimu wa mradi..Ila hapa kuna maneno ohh, matapeli au tunaibiwa!! oh, kwa nini...Solution = 0..Watanzania tumekuwa weepesi wa kuongea na kulaumu..Mlitaka wake tu.

Alafu zamani kumuita mtu neno chafu ulikuwa unafikiria kwanza, sasa hv kila kitu usanii...hoja endelevu ????

Hata RADA serekali iliona ina umuhimu wake, lakini kilichowekwa ndani kilikuwa ni kwa maslahi ya Nani??
Ndege ya Raisi etc.
Kwa hiyo ngurutodoto usiwe unaangalia vitu kijuuu juu, utaishia kulishwa majani ili Raisi aruke na ndege.
Hata tulipo wapa TICTS bandari serekali iliona umuhimu wa huo mradi matokea yake tunayaona tuna kuwa kichekesho, bandari tunayo lakini wateja wanaikimbia.Tena soko la Bandari liko wazi kabisa, lakini tuna shindwa kulitumia kisa tunaona Dummarage charges ni biashara nzuri kuliko, ya kupakua mizigo na kuipeleka inako takiwa..
Akili ni nywele kila mtu anazake
 
Hivi huu mkataba wa RITES ni wa Management au ni wa share holders ambao unaendeshwa basing on the contribution of both parties?
Mana nimemsikia Siraji Kaboyonga mmoja wa Board Member wa hilo Shirika TRL na Mbunge akidai kuwa hata kabla ya hapo serekali ilikuwa ikitoa Pesa kuiendesha TRC, bila kuelewa kwamba wakati huo shareholding ya serekali ilikuwa ni 100%, sasa hivi ni 49%. So kama ni hela za Mishahara or what ever what is the contribution ya hao Wahindi???
Pili hao RITES wamelipa nini mpaka sasa ili kupata hio 51% ya Share na Nini ni Contribution ya Serekali kwa hiyo 49%??? Au ndio huo usanii??? na So far nani haja tekeleza sehemu ya mkataba?? na Hiyo 620 millioni paid to rites kwa ajili ya Management Fees au ndio njia kusafirisha Profit kwa Mlango wa Nyuma???
 
Kuhusu hui mkkataba, wafanyakazi wa TRL wamewataja viongozi ambao wameiingiza mkenge serikali.

hao ni:
Waziri wa Miundombuni, Andrew Chenge,
Abdallah Kigoda,
Profesa Mark Mwandosya,
Linford Mboma na
Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa

Mwandosya hakuhusika na haku-sign chochote, hakuwa waziri mkataba ulivyokuwa signed (alikuwa waziri wakati wa bidding process na Psrc ndio wanahusika na tender za bidding na kuchagua nani kashinda)...kufa na Chenge na Psrc(always look at timelines ppl)


October start for Tanzania rail concession
12 Sep 2007


THE TANZANIAN government and RITES Ltd of India signed a 25-year concession agreement for the 2 700 km metre-gauge state railway on September 3. The government holds 49% in the newly-established Tanzania Railway Ltd, with RITES holding 51%, and operation of Tanzania Railways Corp is scheduled to be officially handed over on October 1.

An asset holding company, Reli Assets Holding Company (RAHCO), has been formed to oversee implementation of the agreement and monitor TRL's performance. It will also supervise future investments in the railway's infrastructure. The Surface & Marine Transport Regulatory Authority, a department of the Ministry of Infrastructure Development, will act as regulator.

The agreement was signed by TRL Director Sudhir Kumar and Agnes Bukuku, Acting Chairman of the RAHCO board. The ceremony had initially been scheduled to take place in 2006, but was postponed after the government, RITES Ltd and the International Finance Corp differed on the terms of the agreement.

The concessionaire's top initial priority is to revive passenger services from Dar-es-Salaam to the hinterland, suspended some time ago due to the poor condition of the infrastructure. 3 286 TRC employees are to be employed by TRL when the new management takes over, on terms and conditions no less favourable than those they currently enjoy. Headcount will be reduced by 3 204.
 
Nimesoma gazeti la Majira jana kuwa Pinda ni waziri masikini, lakini waandishi wetu wanashindwa kujua kuwa ndio kwanza anaingia hata Mkapa aliingia akiwa masikini.

tathimini si mwanzo wa mchezo inatakiwa mwisho wa mchezo.
 
Nimesoma gazeti la Majira jana kuwa Pinda ni waziri masikini, lakini waandishi wetu wanashindwa kujua kuwa ndio kwanza anaingia hata Mkapa aliingia akiwa masikini.

tathimini si mwanzo wa mchezo inatakiwa mwisho wa mchezo.

haha, tunakumbuka mkapa alitangaza mali alipoingia, akaondoka kimyakimya
 
india kuna njaa sana,sasa kazi ipo na reli yetu,,,,,kila jambo bongo limekuwa dili,sasa kazi tunayo na mikataba feki...serikali imeoza sana,,,,,,watatuuza hata sisi wananchi bila kujua
 
Heshima mbele wana JF,

Kwanza kabisa napenda kuchukua nafasi hii kuomba msamaha kwa kile nilicho ahidi kukifanya na kutokukifanya kama nilivoahidi, kuna kupindi fulani kama miezi miwili iliopita niliahidi kuleta hii mali na nikataja na siku lakini nikuweza kufanya hivyo kwa ajili hiyo basi ninaomba kuwaomba radhi rasmi leo wana JF.

Pia napenda kuwalikisha hii mali hapo chini, natumaini sijaichelewesha,

Nawatakieni heri na siku njema.
 

Attachments

  • MKATABA-TRC.zip
    252.3 KB · Views: 287
Last edited by a moderator:
Shukrani mkuu Tuandamane,

Nimeondoa details za Author na kuli-zip file liweze kuwa dogo na downloadable kirahisi.

Invisible
 
Heshima mbele wana JF,

Kwanza kabisa napenda kuchukua nafasi hii kuomba msamaha kwa kile nilicho ahidi kukifanya na kutokukifanya kama nilivoahidi, kuna kupindi fulani kama miezi miwili iliopita niliahidi kuleta hii mali na nikataja na siku lakini nikuweza kufanya hivyo kwa ajili hiyo basi ninaomba kuwaomba radhi rasmi leo wana JF.

Pia napenda kuwalikisha hii mali hapo chini, natumaini sijaichelewesha,

Nawatakieni heri na siku njema.


Lots of thanks for this info ndio nilikuwa nalisoma nimegain sana.
Big up.
 
Ahsante sana mkuu, hii stuff inaitaji muda kuipitia kabla ya kuja na coment and with this we will be able to measure TRL's performance over time.
 
You guys are lights that will trully shine in the dark corners! No flattery is intended? Hivi jamani kuna mtu anajua mkataba mzima wa Richmond ulipo? Invisible can you help?
 
TRL ordered some parts from a local company, signed a proforma stating they should pay an advance of 50% upfront with an LPO ... some of the parts were supplied and others were to be supplied in 2 weeks time, after arrival of same TRL was informed of the arrival of the goods but the company required now 100% payment before delivery of the remaining parts ... to their suprise TRL refused to honour this instead they decided to cancel the LPO but has never returned the previously supplied lot.

Are these guys really genuine?
 
Back
Top Bottom