ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 931
Wakati wa kuchangia hoja kwenye mjadala juu ya ripoti za Kamati za Hesabu za Serikali leo tarehe 19.04.2012, kama ilivyo jina lake, Mhe. Nundu, Waziri wa Uchukuzi alionesha nundu na kujikanganya alipoibuka na hoja ya ufisadi wa matumizi mabaya ya fedha za umma kukarabati kichumba kidogo sana cha watu mashuhuri (VIP) pale JNIA...