LGA/115/2010/1011/Non.c.
Ni kampuni ya PAVICO LTD, ya Mkuu wa Mkoa wa Singida iliyoanza kufanya kazi ya kuzoa taka 19/08/2011 katika Manispaa ya Singida. Mkuu wa Mkoa huyo akalipwa na Manispaa shilingi 7,500,000/- Niambieni Mshahara wa Mkuu wa Mkoa ni kiasi gani mpaka akaamua kuwa mjasiriamali.
Kazi za Mkuu wa Mkoa ni pamoja na kusimamia Halmashauri zilizopo Mkoani kwake, kazi hiyo inamnyima sifa ya kufanyakazi yoyote ile ya ukandarasi au hata ya kuwa mjasiriamali. Tunalazimika kuishi katika uchafu kwa sababu ya UFISADI, Je haya tusihoji?.
Jamani wananchi wa Singida hivi kweli mtu kama Mkuu wa Mkoa wa Singida anaweza kupewa tenda ya kuzoa takataka wakati hana rikwama,lori, toroli, hana uzoefu wa kuzoa takataka na hajasomea kazi ya kuzoa takataka halafu nani atakayemwuliza endapo hatafanyakazi hiyo, lakini fedha ni lazima alipwe na Manispaa? Hata aliposhindwa kazi ya kuzoa taka, mtoto wake akaenda kulazimisha ndugu zetu kwa kuwamwagia SUMU.
POLISI WANAENDELEA KUMLINDA MTOTO WA KIGOGO HUYU KWANINI? Kikwete sawa tu, endelea kumlinda atukandamize zaidi.
Ni kampuni ya PAVICO LTD, ya Mkuu wa Mkoa wa Singida iliyoanza kufanya kazi ya kuzoa taka 19/08/2011 katika Manispaa ya Singida. Mkuu wa Mkoa huyo akalipwa na Manispaa shilingi 7,500,000/- Niambieni Mshahara wa Mkuu wa Mkoa ni kiasi gani mpaka akaamua kuwa mjasiriamali.
Kazi za Mkuu wa Mkoa ni pamoja na kusimamia Halmashauri zilizopo Mkoani kwake, kazi hiyo inamnyima sifa ya kufanyakazi yoyote ile ya ukandarasi au hata ya kuwa mjasiriamali. Tunalazimika kuishi katika uchafu kwa sababu ya UFISADI, Je haya tusihoji?.
Jamani wananchi wa Singida hivi kweli mtu kama Mkuu wa Mkoa wa Singida anaweza kupewa tenda ya kuzoa takataka wakati hana rikwama,lori, toroli, hana uzoefu wa kuzoa takataka na hajasomea kazi ya kuzoa takataka halafu nani atakayemwuliza endapo hatafanyakazi hiyo, lakini fedha ni lazima alipwe na Manispaa? Hata aliposhindwa kazi ya kuzoa taka, mtoto wake akaenda kulazimisha ndugu zetu kwa kuwamwagia SUMU.
POLISI WANAENDELEA KUMLINDA MTOTO WA KIGOGO HUYU KWANINI? Kikwete sawa tu, endelea kumlinda atukandamize zaidi.