GAMBLER
JF-Expert Member
- Nov 22, 2009
- 303
- 11
habari zenu
Kuna gari ya mzigo nimetumiwa ya tonne 3, sasa nilikuwa nataka kumpa dereva afanyie kazi alete hesabu kwa wiki, nimesikia kuwa natakiwa niwe na mkataba naye, na pia awe na mtu wa kumdhamini, nilikuwa nauliza hivi vitu vina umuhimu gani? na nini hatari zake asipokuwa na mkataba na dhamana. naomba wenye ujuzi na hii kazi watoe darasa kidogo kwa faida ya wote
Kuna gari ya mzigo nimetumiwa ya tonne 3, sasa nilikuwa nataka kumpa dereva afanyie kazi alete hesabu kwa wiki, nimesikia kuwa natakiwa niwe na mkataba naye, na pia awe na mtu wa kumdhamini, nilikuwa nauliza hivi vitu vina umuhimu gani? na nini hatari zake asipokuwa na mkataba na dhamana. naomba wenye ujuzi na hii kazi watoe darasa kidogo kwa faida ya wote