Mkataba mwingine wa kijinga: Liganga na mchuchuma

Copied from ZITTO NA DEMOKRASIA Zitto na Demokrasia

MCHUCHUMA-LIGANGA PROJECT, A MILESTONE

By Zitto Kabwe

A new generation of mining regime has been set in Tanzania following the signing of Subscription and Shareholders Agreement between State owned National Development Corporation (NDC) and Sichuan Hongda Group from Sichuan Province in China for the development of the much talked about Mchuchuma and Liganga projects. The agreement that forms a joint venture company in the name of Tanzania China International Mineral Resources Limited aims at developing massive coal reserves at Mchuchuma colliery and iron reserves at Liganga Hills, both in Ludewa district in the newly created region of Njombe, southwestern Tanzania.

In my capacity as Chairman of the Parliamentary Public Investments Accounts Committee (POAC) of the Parliament of Tanzania both my committee and I have been keenly and actively involved in this project. In March of this year I led my committee to fact finding visits to these projects to see for ourselves on what progress had been done and in search of a lasting solution to our perennial electricity power shortages facing our country. Having participated in an oversight capacity in the process towards this deal, I feel I should share my views about the deal and its implications to Tanzania and the Tanzanian economy, in brief.

Why is this NDC-SHC (Sichuan Hongda Corporation Limited) a new generation of mining regime in Tanzania? It is simple; the current Tanzania’s mining regime is that of offering mineral rights to private companies and let them prospect/explore for minerals, develop mines, produce, process and sell the minerals abroad. Once a private company is offered a mineral right, then it belongs to it, it can be traded and even being used as security to financial institutions for raising capital. The government only waits for the company to pay royalty, taxes and other related fees. Government participation, as itself or through a state enterprise, is nil. This is the regime existing now.

All six major gold mines in Tanzania now are operating in this regime and that is the reason why Tanzania as a state does not have a stake in these mines. There are few exceptions though – Mwadui Diamond Deposits and now Buckreef Gold Resource whereby the state has a stake. But this is not due to a clear policy orientation but stalled privatization process.

For the Mchuchuma-Liganga projects the mineral right is owned by the state through NDC. The Corporation invites investors and agree on the shareholding for developing the resource hence ensuring from the beginning the shareholding by Tanzanians. NDC started this approach in the Ngaka Coal project with an Australian Company to form TanCoal Energy in which NDC owns 30% of shares. When my parliamentary committee visited Ngaka after Mchuchuma and Liganga, it directed NDC to renegotiate such that the minority shareholding is at the beginning and apply a principle of payback period to determine shareholding such that the stake increases to 50-50 once an investor has returned his investment based on the business plan submitted.

This is what has been done on the Mchuchuma-Liganga Project. That NDC will have a stake of 20% to increase to 49% after Sichuan Hongda Corporation has recouped its investments in between the period of five to ten years. This is the regime recommended for future mining deals in Tanzania. But this will also mean that the current system of offering mineral rights must change for carefully selected mineral resources whereby the rights should be conferred to state corporations only.

Through a method of open tender, the state corporations invite investors and negotiate terms and enter into a joint venture to develop respective mineral resource. The joint venture company will apply for mining licence and may sign a Mineral Development Agreement (MDA) before mining starts. In MDAs issues of royalties, taxes and fees are laid down and binding. This means, for example apart from NDC benefitting from dividend but the state will receive taxes as par fiscal regime governing the mining sector according to Mining Act, Income tax Act and other laws including local government taxes.

Gold, Copper, Nickel, Cobalt, Uranium, Iron ore, Coal, Silver, Bauxite and all these kinds of mineral resources should be developed in this new model. It will give the country maximum benefits, ensure state participation from the initial stages, strengthen state owned enterprises (which shall then go on to be listed in the stock market i.e. DSE for with at least 25% of its shares to ensure wider ownership to the people and transparency), reduce or completely end speculative behavior of some people who holds mineral rights for purposes of selling them and end corruption related to mineral rights applications etc.

This “second generation” of mining regime should be transitional from my point of view. In the case of Mchuchuma and Liganga the structure is as follows; Sichuan Hongda Corporation (SHC) Limited is the majority shareholder in Tanzania China International Mineral Resources Limited (TCIMR) and they will use the Coal and Iron ore reserves as security to borrow money from Banks in China. Of the USD $3 billion investment that will be coming in, Sichuan Hongda Corporation will be contributing equity of USD $600m. NDC contribution on the other hand would be the mineral resources. The remaining USD $2.4bn will be loans from financial institutions secured against the mineral reserves belonging to Tanzanians and guaranteed by SHC Limited. This securitisation tells us that in future our Corporations should be able to access financing by building credibility in the financial markets. The “third generation” of mining regime should see Tanzanian companies (owned and managed) be able to develop resources themselves or with majority stake.

In concluding this blog post, which was solely to reply to a number of inquiries that I received with regard to the shareholding structure, I would like to bring to attention how huge the Mchuchuma-Liganga project is to our economy. It will have a great multiplier effect for our economy if well managed, utilized and executed guided by a focused strategy. The Mchuchuma-Liganga project will have a turnover of USD $1.2bn per year which is equal to 7.5% of the current GDP, it will create 8,000 direct jobs (NB: at present the total jobs created in the whole mining sector is 13,000), 600MW of electricity, supporting industries, new infrastructures i.e. roads, railway, airports and the backward and forward linkages make this project a key pillar for economic development of Tanzania.

To ensure maximum benefits, we must as a matter of urgency, prepare Tanzanians with the required skills. Construction of VETA in Ludewa District should start now, the development of Coal Road Map to guide the country for the whole Coal sub-sector in Tanzania is very crucial and the construction of the Ludewa-Mtwara Railway line with Mtwara Port development should start as soon as possible.

Tanzania requires to draw-up a Coal Road Map to guide its investments in Coal industry, a Natural Gas Master Plan as a strategy to maximize benefits of this resource to the country through various uses like for power generation, domestic use, industrial use and for exports, and ensure backward and forward linkages to the economy must be contemplated.

---
Zitto Kabwe is Member of Parliament representing Kigoma North(CHADEMA)
Deputy Leader of Opposition
Shadow Minister of Finance
Chairman of the Parliamentary Public Investment Accounts Committee(POAC)
 
Ukiangalia na kuwachunguza waliojaza huu Mkataba na Wachina, wamesomea Masomo ya Arts. Kwa hiyo msishangae Economics waliyoapply.
 
Hakuna mtu anayebisha kuwa Mchuchuma-liganga project ni CRUCIAL na mradi utakuwa na benefits nyingi mno kwa TZ.

Suala lingine muhimu la kuangalia ni kuwa China projects ambazo wanalazimisha mkopo lazima uende kwa kampuni ya China huwa zinakuwa inflated mno kwenye cost structure. Ni vizuri Serikali ya TZ ikatumia funds zake kuajiri International evaluators ili watupe cost structure ya huu mradi ili tuweze kuwaridhisha wananchi kuwa ni kweli mradi utacost $3 billion kwa sababu hizo hela inabidi zilipwe kwanza kutoka kwenye mapato ndio serikali ianze kutengeneza faida kwenye shareholding Angle.

Hiyo hadithi ya 20% to 49% ni NULL & Void kwa sababu wakati ukifika mradi kununua hizo extra 29%, cost yake itakuwa into billions of dollars, sasa kama tumeshindwa kuinvest hiyo $2.4 billion ya sasa hivi, ambayo tunajua kabisa in 5 yrs hizo hela zitarudi, uko mbele tutaweza vipi kununua hiyo 29% wakati mradi value yake itakuwa kubwa mno??

anyways, muhimu kwa sasa ni kumake sure cost ya mradi inadhibitiwa na kuhakikishwa na independent consultants.
 
@Candid Scope,
Pamoja na jitihada zako za kutuelimisha kuhusu huu mkataba wa Mchuchuma bado tujiulize, miaka 50 tangu uhuru hivi ni kweli Tanzania haina wataalam wa kuendesha huu mradi? Kuna watu lukuki najua wanauwezo kabisa (world class) na wana experience zaidi ya miaka 15. Na kuhusu capital, wachina wanachofanya hapa ni kujaza application form za mkopo world bank - collateral asset ni mgodi wenyewe.

Labda nikuulize, hii list uliyoandika hapa chini inafanana kabisa na orodha ya zawadi toka kwa father x'mas, sasa kwanini wachina wameamua kuwa father x'mas kwa watanzania? wanatupenda sana? au wamegundua sisi na wao ni wandugu tuliopoteleana muda mrefu uliopita hivyo wanatusadia kama ndugu? Why would anyone give so much sweets in order to get a contract? Tanzania hatujawa na historia ya kufaidi machimbo, ila tuna experience ya kuingizwa mkenge kwenye mikataba!




Kuna watu wanaleta ubishi bila kuelewa yaliyomo ndani ya mkataba huo ukilinganisha na mikataba mingine ya madini.

Mikataba mingine yote ya madini iliyopo Tanzania ina

  • 0% shares.
  • 3% Royatly

Mkataba wa wachina

  • 20% shares ambayo itapanda hadi kufikia 49%.
  • 5% royatly
Manufaa ya mkataba huu wa Wachina kitaifa:
  1. Miundombinu ya barabara na reli ukanda wa kusini na Nyanda za juu.
  2. Kiwanda cha chuma kujengwa karibu na machimbo.
  3. Ufuaji umeme kutokana na madini yaliyopo na kuingizwa grid ya taifa.
  4. Serikali kunufaika na Revenue mabilioni ya pesa.
  5. Ajira kwa wananchi 8000 kila mwaka.

Je, ni mkataba gani wa madini ambao una unafuu kama huu. Tujue kuwa mkopo wa pesa toka China si kwa Tanzania ila ni kwa kampuni iliyofanya mkataba na Tanzania. Nadhani wale waliokuwa wanafanya mizengwe ya mkataba huu ushindikane ndio wanaokazana kuukandia.

Na angalisho tuondokane na tabaka la kimaendeleo kwamba mbona mradi huu uko karibu na Ziwa Nyasa, labda ungekuwa karibu na ukanda wa kati, au kaskazini, au ziwa au Pwani nk. Wenye kunufaika ni watanzania wote.

Badala ya kutegemea serikali tu iwaondelee kero wananchi na kuwapatia ajira, makampuni kama haya yanasaidia kuokoa jahazi. Mataifa makubwa makampuni ndio eneo kubwa na la hakika kiajira kuliko serikalini ambako ajira ni very limited na kuna kupunguzwa wanafanyakazi mara nyingi bajeti inapoyumba.


 
@Candid Scope,
Pamoja na jitihada zako za kutuelimisha kuhusu huu mkataba wa Mchuchuma bado tujiulize, miaka 50 tangu uhuru hivi ni kweli Tanzania haina wataalam wa kuendesha huu mradi? Kuna watu lukuki najua wanauwezo kabisa (world class) na wana experience zaidi ya miaka 15. Na kuhusu capital, wachina wanachofanya hapa ni kujaza application form za mkopo world bank - collateral asset ni mgodi wenyewe.

Labda nikuulize, hii list uliyoandika hapa chini inafanana kabisa na orodha ya zawadi toka kwa father x'mas, sasa kwanini wachina wameamua kuwa father x'mas kwa watanzania? wanatupenda sana? au wamegundua sisi na wao ni wandugu tuliopoteleana muda mrefu uliopita hivyo wanatusadia kama ndugu? Why would anyone give so much sweets in order to get a contract? Tanzania hatujawa na historia ya kufaidi machimbo, ila tuna experience ya kuingizwa mkenge kwenye mikataba!

Nikujibu kama ifuatavyo:
Zaidi ya miaka 10 mradi huu ulikabidhiwa kwa shirika la maendeleo la taifa, na kila kukicha kulikuwa na visingizio ambavyo taifa haliwezi kuvibaba. Pamoja na visingizio hivyo, taarifa ya kukatisha tamaa kwamba madini yako juu juu tu na hayawezi kulipa gharama za uendeshaji. Huo ndio uswahili mnaotaka tuendelee?

Kamati ya Zito Kabwe pamoja na Makamu wake Mbunge Philikhunjombe walipotembelea mradi huo na kuwauliza maswali maofisa wa NDC hakuna hoja za msingi zilizozuia uanzishwaji wa mradi huo ila kila kukicha ni majaribio na kumaliza pesa zaserikali na kila bajeti mpya wanapangiwa. Hao ndio unaosema tunao wataalamu nchini?


 
Nikujibu kama ifuatavyo:
Zaidi ya miaka 10 mradi huu ulikabidhiwa kwa shirika la maendeleo la taifa, na kila kukicha kulikuwa na visingizio ambavyo taifa haliwezi kuvibaba. Pamoja na visingizio hivyo, taarifa ya kukatisha tamaa kwamba madini yako juu juu tu na hayawezi kulipa gharama za uendeshaji. Huo ndio uswahili mnaotaka tuendelee?

Kamati ya Zito Kabwe pamoja na Makamu wake Mbunge Philikhunjombe walipotembelea mradi huo na kuwauliza maswali maofisa wa NDC hakuna hoja za msingi zilizozuia uanzishwaji wa mradi huo ila kila kukicha ni majaribio na kumaliza pesa zaserikali na kila bajeti mpya wanapangiwa. Hao ndio unaosema tunao wataalamu nchini?



Candid Scope,
Nimefuatilia yote uliyoandika, na napata kuona wewe una concept kuwa wale wanaocriticise huu mradi basi hawataki huu mradi ufanyike, you can be wrong. Si kweli. Hapa wengi wanashindwa kuelewa uwezo wa watendaji wetu, jinsi wanavyofikiri na uwezo wa kuamua mambo. Hawafanyi the right thing.

Yes is a massive project, very good and for the beneficial of Tanzanians, lakini muhumi zaidi modality.
 
Hakuna mtu anayebisha kuwa Mchuchuma-liganga project ni CRUCIAL na mradi utakuwa na benefits nyingi mno kwa TZ.

Suala lingine muhimu la kuangalia ni kuwa China projects ambazo wanalazimisha mkopo lazima uende kwa kampuni ya China huwa zinakuwa inflated mno kwenye cost structure. Ni vizuri Serikali ya TZ ikatumia funds zake kuajiri International evaluators ili watupe cost structure ya huu mradi ili tuweze kuwaridhisha wananchi kuwa ni kweli mradi utacost $3 billion kwa sababu hizo hela inabidi zilipwe kwanza kutoka kwenye mapato ndio serikali ianze kutengeneza faida kwenye shareholding Angle.

Hiyo hadithi ya 20% to 49% ni NULL & Void kwa sababu wakati ukifika mradi kununua hizo extra 29%, cost yake itakuwa into billions of dollars, sasa kama tumeshindwa kuinvest hiyo $2.4 billion ya sasa hivi, ambayo tunajua kabisa in 5 yrs hizo hela zitarudi, uko mbele tutaweza vipi kununua hiyo 29% wakati mradi value yake itakuwa kubwa mno??

anyways, muhimu kwa sasa ni kumake sure cost ya mradi inadhibitiwa na kuhakikishwa na independent consultants.
Na ndio maana nikasema kwamba kuna fineline ktk kufanikiwa na kufungiwa kanyaboya. Mimi niliposoma mahala mwanasheria mkuu akiwakataza kuweka mkataba hadi waupitie lakini wizara ikaenda mbele na kusaini hapo ndipo niliposhangaa sana..

Mkuu sisi tumeishi huku majuu na tunajua wazi kwamba ile sisi kukubali 20% ktk mradi worth billions kwa shirika ambalo miaka miwili iliyopita limekuwa likiingiza hasara na hata kufikia kuuza baadhi ya share zake, kumwachisha kazi CEO na kubadilisha management ni ukombozi au niseme a win win situation kwa Sichuan Hongda Group.

Halafu ukitazama maelezo ya juu juu tu kwamba NDC itaweza tu kununua the rest of it's share pindi Sichuan watakapo rudisha mtaji wao! wakati dhamana ya deni ni madini yetu, ina maana tunafungwa sisi kamba shingoni. Na haitakuwa kesho wala kesho kutwa Hongda kurudisha mraji wa Billioni 3 ambao wanakopa with interest ambayo hatufahamu ni kiasi gani na watalipa kwa muda gani hadi hilo deni liishe (ipo mikopo ya lifetime ya mradi na benki wanaipenda sana). With that in mind, for the next 20 or 30 years NDC hawataruhusiwa kununua share zilizobakia. mchezo huu unafanywa na mashirika mengi kama sii yote kwa nchi masikini wasiojua...

Kwa hiyo tunachoweza kutazama ni hiyo 20% lakini of what?..ya faida au mtaji wetu unakadiriwa kwa kiwango hicho. Halafu basi with 20% hatuna nguvu ktk board of Directors ina maana Hongda makes all decision na tukumbuke tu hili shirika sii la mtu mmoja bali lipo ktk soko huria la Australia, share zake zinauzwa pamoja na madudu mengineyo yasiyolipa na mkombozi wao atakuwa Mchuchuma.

Halafu ningependa sana Mh. Zitto kama angekuja hapa akatueleza yale mashirika mengine 48 maana nimesoma hili shirika limeshinda tender kati ya mashirika 49 yaliyokuwa interested. Je, ni yapi hayo mengine na merit zipi ni vigezo hadi hawa jamaa wakachaguliwa!. Still napenda kusema kwamba imefika wakati lazima tujaribu kila mbinu kuondoka ktk shimo hili, ni jambo zuri sana mradi huu umefanikiwa kuanza na yapo mazuri lakini we have to be very very careful na Wachina hawa na nitawashauri tu kama mnaweza kwenda Youtube - tazameni kipindi cha Diego Bunuel kinaitwa - Don't tell My mother - Congo. Mtapata kichaa kama Mugabe leo katangaza anataka kuona mashirika yote ya nje yanauza share zao zisizopungua asilimia 51 kwa wazawa - They have til sunday!..
 
Na ndio maana nikasema kwamba kuna fineline ktk kufanikiwa na kufungiwa kanyaboya. Mimi niliposoma mahala mwanasheria mkuu akiwakataza kuweka mkataba hadi waupitie lakini wizara ikaenda mbele na kusaini hapo ndipo niliposhangaa sana..

Mkuu sisi tumeishi huku majuu na tunajua wazi kwamba ile sisi kukubali 20% ktk mradi worth billions kwa shirika ambalo miaka miwili iliyopita limekuwa likiingiza hasara na hata kufikia kuuza baadhi ya share zake, kumwachisha kazi CEO na kubadilisha management ni ukombozi au niseme a win win situation kwa Sichuan Hongda Group.

Halafu ukitazama maelezo ya juu juu tu kwamba NDC itaweza tu kununua the rest of it's share pindi Sichuan watakapo rudisha mtaji wao! wakati dhamana ya deni ni madini yetu, ina maana tunafungwa sisi kamba shingoni. Na haitakuwa kesho wala kesho kutwa Hongda kurudisha mraji wa Billioni 3 ambao wanakopa with interest ambayo hatufahamu ni kiasi gani na watalipa kwa muda gani hadi hilo deni liishe (ipo mikopo ya lifetime ya mradi na benki wanaipenda sana). With that in mind, for the next 20 or 30 years NDC hawataruhusiwa kununua share zilizobakia. mchezo huu unafanywa na mashirika mengi kama sii yote kwa nchi masikini wasiojua...

Kwa hiyo tunachoweza kutazama ni hiyo 20% lakini of what?..ya faida au mtaji wetu unakadiriwa kwa kiwango hicho. Halafu basi with 20% hatuna nguvu ktk board of Directors ina maana Hongda makes all decision na tukumbuke tu hili shirika sii la mtu mmoja bali lipo ktk soko huria la Australia, share zake zinauzwa pamoja na madudu mengineyo yasiyolipa na mkombozi wao atakuwa Mchuchuma.

Halafu ningependa sana Mh. Zitto kama angekuja hapa akatueleza yale mashirika mengine 48 maana nimesoma hili shirika limeshinda tender kati ya mashirika 49 yaliyokuwa interested. Je, ni yapi hayo mengine na merit zipi ni vigezo hadi hawa jamaa wakachaguliwa!. Still napenda kusema kwamba imefika wakati lazima tujaribu kila mbinu kuondoka ktk shimo hili, ni jambo zuri sana mradi huu umefanikiwa kuanza na yapo mazuri lakini we have to be very very careful na Wachina hawa na nitawashauri tu kama mnaweza kwenda Youtube - tazameni kipindi cha Diego Bunuel kinaitwa - Don't tell My mother - Congo. Mtapata kichaa kama Mugabe leo katangaza anataka kuona mashirika yote ya nje yanauza share zao zisizopungua asilimia 51 kwa wazawa - They have til sunday!..

Mkandara,
Halafu ujue kuwa; China ipo Sheria kabisa kuwa JOINT VENTURE YoYote hairuhusiwi mbia mgeni Kukopa kwa kuweka rehani mradi. Joint Venture lazima iwe na mbia mgeni anayetoa pesa cash au equipment na technology kama equity kamili na sio mkopo. Na hiyo pesa aliyoileta au equipment haziruhusiwi ziwe mkopo kutoka kokote kule.
Huku kwetu wanageuza kibao! Wajinga ndiyo waliwao.
 
tusubiri tuone,mala nyingi wachina niwajuawo mimi huwa hawana longolongo sana kama wa USA,wao huchukuwa mali zetu lakini pia hutuachia kitu kinacho onekana machoni na kinafaida,na mpaka ukiona wanafanya biashara nawe ujue inafaida kwako

tuendelee kusubiri tuone
Ni kweli wanaweza kuwa hawana longolongo sana hao wachina ni ni amin na kweli viongozi wetu wana matatizo makubwa.
Alafu usisahau wachina wa siku hizi ni mabepali tofauti na wale wa enzi za mwalimu.
 
Na ndio maana nikasema kwamba kuna fineline ktk kufanikiwa na kufungiwa kanyaboya. Mimi niliposoma mahala mwanasheria mkuu akiwakataza kuweka mkataba hadi waupitie lakini wizara ikaenda mbele na kusaini hapo ndipo niliposhangaa sana..

Mkuu sisi tumeishi huku majuu na tunajua wazi kwamba ile sisi kukubali 20% ktk mradi worth billions kwa shirika ambalo miaka miwili iliyopita limekuwa likiingiza hasara na hata kufikia kuuza baadhi ya share zake, kumwachisha kazi CEO na kubadilisha management ni ukombozi au niseme a win win situation kwa Sichuan Hongda Group.

Halafu ukitazama maelezo ya juu juu tu kwamba NDC itaweza tu kununua the rest of it's share pindi Sichuan watakapo rudisha mtaji wao! wakati dhamana ya deni ni madini yetu, ina maana tunafungwa sisi kamba shingoni. Na haitakuwa kesho wala kesho kutwa Hongda kurudisha mraji wa Billioni 3 ambao wanakopa with interest ambayo hatufahamu ni kiasi gani na watalipa kwa muda gani hadi hilo deni liishe (ipo mikopo ya lifetime ya mradi na benki wanaipenda sana). With that in mind, for the next 20 or 30 years NDC hawataruhusiwa kununua share zilizobakia. mchezo huu unafanywa na mashirika mengi kama sii yote kwa nchi masikini wasiojua...

Kwa hiyo tunachoweza kutazama ni hiyo 20% lakini of what?..ya faida au mtaji wetu unakadiriwa kwa kiwango hicho. Halafu basi with 20% hatuna nguvu ktk board of Directors ina maana Hongda makes all decision na tukumbuke tu hili shirika sii la mtu mmoja bali lipo ktk soko huria la Australia, share zake zinauzwa pamoja na madudu mengineyo yasiyolipa na mkombozi wao atakuwa Mchuchuma.

Halafu ningependa sana Mh. Zitto kama angekuja hapa akatueleza yale mashirika mengine 48 maana nimesoma hili shirika limeshinda tender kati ya mashirika 49 yaliyokuwa interested. Je, ni yapi hayo mengine na merit zipi ni vigezo hadi hawa jamaa wakachaguliwa!. Still napenda kusema kwamba imefika wakati lazima tujaribu kila mbinu kuondoka ktk shimo hili, ni jambo zuri sana mradi huu umefanikiwa kuanza na yapo mazuri lakini we have to be very very careful na Wachina hawa na nitawashauri tu kama mnaweza kwenda Youtube - tazameni kipindi cha Diego Bunuel kinaitwa - Don't tell My mother - Congo. Mtapata kichaa kama Mugabe leo katangaza anataka kuona mashirika yote ya nje yanauza share zao zisizopungua asilimia 51 kwa wazawa - They have til sunday!..

Mkandala, unajua fika kwamba NDC kwa zaidi ya miaka 15 wamekuwa katika mradi huu, hata kujaribia uyeyushaji wa ndondo za kujengea wameshindwa. Hata kuproduce makaa ya mawe for cooking energy hoi kabisa. Kwa jibu la haraka wataalamu tulio nao hawajiamini, na serikali haijawajengea mazingira ya kujiamini kufanya makubwa, au virus walioingia serikalini wanaitafuna kila sekta. Vinginevyo tunatetea hewa tu na kuendelea na yaleyale.

Mkandala pamoja kwamba umeishi majuu na kuwa na vielelezo si kweli kwamba wawekezaji huwa na share 50/50. Nilipokuwa chuoni huko majuu maeneo ya jiji la NY State, NJ, PA nk kinachokera ni road toll. Garden Parkway ya NJ kila baada ya 15-25mls unakumbana na kizuizi cha kulipa road toll, maana yake kila kipande cha maili 20 lazima ulipie wakati wa kuingia na kama umeingia katikati basi utakapotoka lazima ulipie hata kama umeendesha kwa 1/2ml. Barabara zinazoingia NY city kulipia ni zaidi ya $6, ndio watu hutumia zaidi public trans. Ukienda state nyingine kuna barabara kadhaa kwa baadhi ya state na madaraja kulipia vinginevyo hupiti, unarudi ulikotoka. Uwezo ukikuruhusu bora uwe na E-Z Pass, vinginevyo usumbufu mtupu. UK niliona sehemu tatizo kama hilo pia.

Kwa udadisi wangu nikajibiwa makampuni yaliwekeza pale na serikali haikutia pua, hivyo ni mali yao na serikali inavuna kodi tu kutokana na mapato. Hayo makampuni yakishavuna hela yao kwa miaka kadhaa kadiri ya mkataba wao ndipo serikali itakabidhiwa. Tanzania tulikuwa tunalalamika road toll ambayo ilikuwa unapoingia mkoa mwingine kwa wakati ule, je ingekuwa hii ya kila 20-25 mls tungeweka kibindoni ile kitu ya
adenrage maana hatukawii kujichukulia sheria mkononi.
Hiyo ni kwa miaka zaidi ya 6 iliyopita niliposhuhudia na huenda gharama zikawa zimepanda zaidi siku hizi.

Siri moja ni hii. Kwa jinsi makampuni ya nchi za magharibi yasivyo na huruma yafanyavyo mikataba ya madini ndivyo tabia iliyozoeleka huko kwao, kwani mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. Wanavyofanya wachina unaona kuna dalili ya kujali maslahi ya taifa wanakowekeza kuliko mchi za magharibi.

Jeuri hiyo ya makampuni ndiyo inayozipa serikali za nchi za magharibi kufanya tozo kubwa la kodi na katika hilo ni sawa na ukitaka kumwua nyani usimwangalie usoni. Tatizo la serikali yetu inafanya kosa kubwa sana msamaha wa kodi na hivyo kuwafanya wawekezaji kujichukulia maliasili zetu for free plus tax examp.
 
Mkandala, unajua fika kwamba NDC kwa zaidi ya miaka 15 wamekuwa katika mradi huu, hata kujaribia uyeyushaji wa ndondo za kujengea wameshindwa. Hata kuproduce makaa ya mawe for cooking energy hoi kabisa. Kwa jibu la haraka wataalamu tulio nao hawajiamini, na serikali haijawajengea mazingira ya kujiamini kufanya makubwa, au virus walioingia serikalini wanaitafuna kila sekta. Vinginevyo tunatetea hewa tu na kuendelea na yaleyale.

Mkandala pamoja kwamba umeishi majuu na kuwa na vielelezo si kweli kwamba wawekezaji huwa na share 50/50. Nilipokuwa chuoni huko majuu maeneo ya jiji la NY State, NJ, PA nk kinachokera ni road toll. Garden Parkway ya NJ kila baada ya 15-25mls unakumbana na kizuizi cha kulipa road toll, maana yake kila kipande cha maili 20 lazima ulipie wakati wa kuingia na kama umeingia katikati basi utakapotoka lazima ulipie hata kama umeendesha kwa 1/2ml. Barabara zinazoingia NY city kulipia ni zaidi ya $6, ndio watu hutumia zaidi public trans. Ukienda state nyingine kuna barabara kadhaa kwa baadhi ya state na madaraja kulipia vinginevyo hupiti, unarudi ulikotoka. Uwezo ukikuruhusu bora uwe na E-Z Pass, vinginevyo usumbufu mtupu. UK niliona sehemu tatizo kama hilo pia.

Kwa udadisi wangu nikajibiwa makampuni yaliwekeza pale na serikali haikutia pua, hivyo ni mali yao na serikali inavuna kodi tu kutokana na mapato. Hayo makampuni yakishavuna hela yao kwa miaka kadhaa kadiri ya mkataba wao ndipo serikali itakabidhiwa. Tanzania tulikuwa tunalalamika road toll ambayo ilikuwa unapoingia mkoa mwingine kwa wakati ule, je ingekuwa hii ya kila 20-25 mls tungeweka kibindoni ile kitu ya
adenrage maana hatukawii kujichukulia sheria mkononi.
Hiyo ni kwa miaka zaidi ya 6 iliyopita niliposhuhudia na huenda gharama zikawa zimepanda zaidi siku hizi.

Siri moja ni hii. Kwa jinsi makampuni ya nchi za magharibi yasivyo na huruma yafanyavyo mikataba ya madini ndivyo tabia iliyozoeleka huko kwao, kwani mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. Wanavyofanya wachina unaona kuna dalili ya kujali maslahi ya taifa wanakowekeza kuliko mchi za magharibi.

Jeuri hiyo ya makampuni ndiyo inayozipa serikali za nchi za magharibi kufanya tozo kubwa la kodi na katika hilo ni sawa na ukitaka kumwua nyani usimwangalie usoni. Tatizo la serikali yetu inafanya kosa kubwa sana msamaha wa kodi na hivyo kuwafanya wawekezaji kujichukulia maliasili zetu for free plus tax examp.
Lakini who are NDC? sii serikali hii hii ambayo huwachagua CEO na ku control everything! eweje leo wewe unataka kunambia mkataba huu ni wa maana sana kwetu toka serikali ile ile iloshindwa miaka yote iliyopita!. Mbona mnataka kulaumu vitu visivyo na maana kwani huko nyuma NDC wangeweza kuingia mkataba na China au nchi yeyote bila serikali?.

Ni maneno haya haya yalizungumzwa kuhusu Tanesco ilihali wanaoweka sahihi ya mikataba ni serikali hii na leo wameifunga Tanesco ktk mikataba mibovu halafu lawama wanadai ni za Tanesco sii serikali tena. Ebu angalia jinsi walivyohamisha Richmond to Dowans na leo hii shirika jingine kwa mtambo ule ule tuloukataa miaka minne iliyopita lakini wametafuta njia hadi mtambo umeingia ktk matumizi ya Tanesco na tatizo la umeme liko palepale. Mara ooooh tusiponunua Taifa litakuwa kizani mbona hatuoni mwanga baada ya...

I don't trust this government and will never trust anyone associated with!.. Hata misheni town matapeli hutafuta mtu mzuri sana wa kuzungumza na kuwaweka sawa wananchi au mnunuzi, ukiingia kingi tu wanakumaliza na hata yule msemakweli mwenye kauli tamu hubadilika na kuomba samahani nyingi ya kwamba hakujua kwamba nia ya jamaa ilikuwa kukutapeli hali yeye mwenyewe yumo ktk utapeli... Hii ndio serikali yetu na watu ni wale wale..On Mchuchuma hakuna la kujivunia najua kwa uhakika kuna watu wamelamba dume!.

Ya Marekani yanawezwa na Wamarekani hawa ni watu wengine kabisa na mazingira tofauti, kila mwenye gari huko can afford road tolls na ujue kwa uhakika unemployment is 10% kwa uhakika na hao 10% wanaweza kula na kulala vizuri tu tofauti na maskini unemployed Tanzania. A private company Marekani ni ya Mmarekani mwenye kulipa kodi ndani na Ubia wowote na serikali ni sawa na kusema 100% American.. sii sawa na sisi wenye Ubia na China na wanachukua asilimia 80. Halafu hizi fedha unazolipa zinabakia Marekani, barabara ziumejengwa na Wamarekani..Hivyo fedha inazunguka humo humo na kila mmoja wao analipa kodi ndani lakini haya madini yanayokwenda kuuzwa China na shirika lenye makao makuu China huwezi kulinganisha mazingira yao na yetu hata kidogo.
 
Lakini who are NDC? sii serikali hii hii ambayo huwachagua CEO na ku control everything! eweje leo wewe unataka kunambia mkataba huu ni wa maana sana kwetu toka serikali ile ile iloshindwa miaka yote iliyopita!. Mbona mnataka kulaumu vitu visivyo na maana kwani huko nyuma NDC wangeweza kuingia mkataba na China au nchi yeyote bila serikali?.

Ni maneno haya haya yalizungumzwa kuhusu Tanesco ilihali wanaoweka sahihi ya mikataba ni serikali hii na leo wameifunga Tanesco ktk mikataba mibovu halafu lawama wanadai ni za Tanesco sii serikali tena. Ebu angalia jinsi walivyohamisha Richmond to Dowans na leo hii shirika jingine kwa mtambo ule ule tuloukataa miaka minne iliyopita lakini wametafuta njia hadi mtambo umeingia ktk matumizi ya Tanesco na tatizo la umeme liko palepale. Mara ooooh tusiponunua Taifa litakuwa kizani mbona hatuoni mwanga baada ya...

I don't trust this government and will never trust anyone associated with!.. Hata misheni town matapeli hutafuta mtu mzuri sana wa kuzungumza na kuwaweka sawa wananchi au mnunuzi, ukiingia kingi tu wanakumaliza na hata yule msemakweli mwenye kauli tamu hubadilika na kuomba samahani nyingi ya kwamba hakujua kwamba nia ya jamaa ilikuwa kukutapeli hali yeye mwenyewe yumo ktk utapeli... Hii ndio serikali yetu na watu ni wale wale..On Mchuchuma hakuna la kujivunia najua kwa uhakika kuna watu wamelamba dume!.

Ya Marekani yanawezwa na Wamarekani hawa ni watu wengine kabisa na mazingira tofauti, kila mwenye gari huko can afford road tolls na ujue kwa uhakika unemployment is 10% kwa uhakika na hao 10% wanaweza kula na kulala vizuri tu tofauti na maskini unemployed Tanzania. A private company Marekani ni ya Mmarekani mwenye kulipa kodi ndani na Ubia wowote na serikali ni sawa na kusema 100% American.. sii sawa na sisi wenye Ubia na China na wanachukua asilimia 80. Halafu hizi fedha unazolipa zinabakia Marekani, barabara ziumejengwa na Wamarekani..Hivyo fedha inazunguka humo humo na kila mmoja wao analipa kodi ndani lakini haya madini yanayokwenda kuuzwa China na shirika lenye makao makuu China huwezi kulinganisha mazingira yao na yetu hata kidogo.

Ungejaribu kunisoma utetezi wangu ni juu ya nini.
Wengi wamedokeza kwamba:
  • Tutumie wataalamu wetu waliopo nchini
  • Mkataba hauna manufaa kwa taifa kwa share ya 20% na 5% loyalty.
  • Viongozi wa serikali tuliona nao sasa hawaaminiki.

Jibu:

Wataalamu wetu nchini
NDC ambayo ina wataalamu wa madini na kukabidhiwa mradi huo zaidi ya miaka 15 imeshindwa kuzalisha hata nondo za kujengea na wala kuproduce makaa ya mawe kwa ajili ya kupikia ambayo hayahitaji process ya pekee. Hao ndio wataalamu tunaosema tunao wanaweza kufanya mradi huo?

Kwa nini mkataba huu umekwenda kasi?
Kumekuwepo na shinikizo la kuzuia mkataba huu kutoka waandamizi ndani ya serikali kwa sababu wachina wako wazi, hawapendi mambo ya nyuma ya pazia, na hasa ile commission ya 10% baadhi ya watendaji serikali kuizoea, ndio maana walifanya kila jitihada kusitisha. Jambo hilo lililalamikiwa na Mbunge wa Ludewa Filikunjombe kipindi cha kikao cha bunge kilichofanyika majuzi. Na mmoja anayehusika katika mikataba ya madini ambaye ni Katibu mkuu wa Wizara ya Madini
David Jairo kuwa nje kwa lock up ya muda kwa ajili ya tuhuma za matumizi mabaya ya pesa, umetumika mwanya huo kuharakisha mkataba huu vinginevyo danadana zingendelea kudai commission ya 10%.

Viongozi wa Serikali kutoaminika
Pamoja na matatizo ya minyoo inayoendelea kuozesha miundombinu ya utendaji serikalini, si kila kitu tukione kibaya, kwa maana ya kwamba tenga la samakini likianza kunuka basi samaki wote wameoza, la hasha, kwani tukiwatoa samaki waliooza na kubakiza wazuri na kuwaanika juani kutoa harufu bado tutaweza kuwafaidi minofu yao, au kuwasaga na unga wake kuwa kikoleza cha utamu kwenye mboga ya maboga, mchicha, kisamvu, mlenda, nk

Athari za kutojali utaifa ila ukanda.
Viongozi wengi serikalini wemekuwa na mwelekeo wa kujali maendeleo kikanda hasa wanakotoka badala ya kitaifa. Mfano Rais kama atatoka Bagamoyo basi hata uwanja wa kimataifa tutapendekeza ujengwe Bagamoyo ingawe ni pua na mdomo na Dar es Salaam. Tungeiga mfano wa Mkapa pamoja na kasoro nyingine lakini kuna mema mengi tu kama kuamua maji ya Ziwa Victoria kusambazwa mikoa ya Shinyanga, Tabora, Singida na Baadaye Dodoma. Ingawa kule Masasi kuna matatizo hayo, ila jicho la kitaifa limeona priority.

Kwa mtazamo huo viongozi wengi wameathiriwa sana na ukanda wanaotoka, jambo hilo limelalamikiwa sana na wabunge wengi katika bajeti ya serikali safari hii kutokana na miradi ya maendelea kuwa na upendeleo wa kiongozi anakotoka, na pia kama kiongozi mwenzake ni rafiki basi atapata kipa umbele. Hilo ni tatizo lililosababisha mradi wa Ludewa pia bila kuangalia manufaa kitaifa zaidi. Na mwanya ulipopatikana basi jitihada za kasi zimefanyika ili kunusuru usijeingiliwa na virus waliokwamisha awali.
 
Ungejaribu kunisoma utetezi wangu ni juu ya nini.
Wengi wamedokeza kwamba:
  • Tutumie wataalamu wetu waliopo nchini
  • Mkataba hauna manufaa kwa taifa kwa share ya 20% na 5% loyalty.
  • Viongozi wa serikali tuliona nao sasa hawaaminiki.

Jibu:

Wataalamu wetu nchini
NDC ambayo ina wataalamu wa madini na kukabidhiwa mradi huo zaidi ya miaka 15 imeshindwa kuzalisha hata nondo za kujengea na wala kuproduce makaa ya mawe kwa ajili ya kupikia ambayo hayahitaji process ya pekee. Hao ndio wataalamu tunaosema tunao wanaweza kufanya mradi huo?

Kwa nini mkataba huu umekwenda kasi?
Kumekuwepo na shinikizo la kuzuia mkataba huu kutoka waandamizi ndani ya serikali kwa sababu wachina wako wazi, hawapendi mambo ya nyuma ya pazia, na hasa ile commission ya 10% baadhi ya watendaji serikali kuizoea, ndio maana walifanya kila jitihada kusitisha. Jambo hilo lililalamikiwa na Mbunge wa Ludewa Filikunjombe kipindi cha kikao cha bunge kilichofanyika majuzi. Na mmoja anayehusika katika mikataba ya madini ambaye ni Katibu mkuu wa Wizara ya Madini
David Jairo kuwa nje kwa lock up ya muda kwa ajili ya tuhuma za matumizi mabaya ya pesa, umetumika mwanya huo kuharakisha mkataba huu vinginevyo danadana zingendelea kudai commission ya 10%.

Viongozi wa Serikali kutoaminika
Pamoja na matatizo ya minyoo inayoendelea kuozesha miundombinu ya utendaji serikalini, si kila kitu tukione kibaya, kwa maana ya kwamba tenga la samakini likianza kunuka basi samaki wote wameoza, la hasha, kwani tukiwatoa samaki waliooza na kubakiza wazuri na kuwaanika juani kutoa harufu bado tutaweza kuwafaidi minofu yao, au kuwasaga na unga wake kuwa kikoleza cha utamu kwenye mboga ya maboga, mchicha, kisamvu, mlenda, nk

Athari za kutojali utaifa ila ukanda.
Viongozi wengi serikalini wemekuwa na mwelekeo wa kujali maendeleo kikanda hasa wanakotoka badala ya kitaifa. Mfano Rais kama atatoka Bagamoyo basi hata uwanja wa kimataifa tutapendekeza ujengwe Bagamoyo ingawe ni pua na mdomo na Dar es Salaam. Tungeiga mfano wa Mkapa pamoja na kasoro nyingine lakini kuna mema mengi tu kama kuamua maji ya Ziwa Victoria kusambazwa mikoa ya Shinyanga, Tabora, Singida na Baadaye Dodoma. Ingawa kule Masasi kuna matatizo hayo, ila jicho la kitaifa limeona priority.

Kwa mtazamo huo viongozi wengi wameathiriwa sana na ukanda wanaotoka, jambo hilo limelalamikiwa sana na wabunge wengi katika bajeti ya serikali safari hii kutokana na miradi ya maendelea kuwa na upendeleo wa kiongozi anakotoka, na pia kama kiongozi mwenzake ni rafiki basi atapata kipa umbele. Hilo ni tatizo lililosababisha mradi wa Ludewa pia bila kuangalia manufaa kitaifa zaidi. Na mwanya ulipopatikana basi jitihada za kasi zimefanyika ili kunusuru usijeingiliwa na virus waliokwamisha awali.
1.Mkuu wangu kwa nini tunapiga chenga wakati ukweli uko wazi? Umewahi kuwauliza kwa nini walishindwa!..Mtaaalam gani anaweza kufanikiwa kwa lolote ikiwa serikali haitaki kuinvest fedha ktk miradi ya maendeleo badala yake wanaweka fungu kubwa ktk matumizi ya ndani..Bila fedha na kuanzisha miradi ulitegema huyo utaalam atafanya kipi?..

What Sichuan walichokileta nchini sii utaalam bali fedha na ndio maana imeandikwa Sichuan are investing Usd 3mil in Tanzania..Zipo kati watazi contract kwa mashirika mengine sii kwamba hao Schuan wana wataalam wote ktk miradi yote. They are investors!. Na hata wao wakinyimwa fedha hizo na bank, hawatafanya lolote kwa hiyo unataka kusema watalaam wao hawafai?.. Miradi mingapi nchini imesimama kwa sababu ya fedha na sii swala la wataalam..

Toka Nyerere ameondoka wewe nambie serikali yetu imeinvest kiasi gani cha fedha ktk miradi ya maendeleo kama sii kukodisha generators za mafuta na gas kufidia uhaba wa umeme na bado ukiwauliza kwa nini hatuna umeme wanakwambaia Mtera hakuna maji! Sasa hizi jenerata mlokodisha zinatumia maji ya Mtera?..au utasikia gas kwani kabla ya kuagiza hiyo mitambo hawakufahamu kwamba bomba la gas lilitakiwa kuboreshwa ili kuongeza supply ya gas kabla hamjaweka mkataba kukodisha hayo magenerata ya gas.

2. Nakusoma vizuri sana kwa nini mkataba huu umepelekwa haraka haraka. Wewe umeshindwa kutazama ukweli na nakuhakikishia ni kwamba wameharakishia kwa sababu kuna vipengele vya kisheria vinavyotukwaza. Hili ni kanyaboya na kama kulikuwepo na pingamizi lolote JF ipo na vyombo vya habari vipo kwa nini hao viongozi wasizungumze kwa uwazi ni kina nani wanataka kukwamisha mradi huu na kwa nini? Hizi habari za 10% kama zipo na wapo viongozi waliodai kwa nini wasiwafikishe mbele ya sheria badala yake mradi umeharakishwa kichjinichini. Tutajuaje kama hawa walioharakisha ndio wamechukua 10% kwa sababu tunacholalamika ni hiyo 20% kwa serikali what if it was 30% hawa wakubwa wamechukua 10$ yao ndani ya shares za Hongda?

3. Mkuu hakuna mtu anayesema kila kitu ni kibaya isipokuwa kila kiongozi ktk utawlka huu ndiye haaminiki. hakuna mtu anayechukia kuona mradi huu wa Mchuchuma umesimama na hakika mimi nimesifia jitihada zilizofanyika lakini kwa mavuno yapi?.. hilo ndilo tunalolalamikia na imekuwa hivi katika miradi mingi sana kiasi kwamba tunashindwa kuelewa kwa nini viongozi wetu wanashindwa kudai ushirika wa 50/50..Tulichonacho Mchuchuma hakipatikani sehemu zote duniani ni Utajiri ambao Mwenyezi Mungu katupa sisi, watake wasitake kutokana na mahitaji yao (demand) watakuja tu.

4. Swala la Ukanda ni tatizo nje ya swala hili la mradi wa Mchuchuma.. hata tunapozungumzia Ukanda haileti akilini Gas inachimbwa Mtwara na kuletwa Dar ili kusambazwa. Kwa nini isiwe Mtwara kwenyewe tukajenga mtambo huko na kuingia ktk grid ya taifa moja kwa moja badala ya gas kuletwa Dar?..Hivyo swala la ukanda tusilitazame kwa kuwatazama viongozi bali lenyewe kwa sababu alichofanya JK na Bagamoyo haina tofauti na Mkapa kujenga daraja kubwa kusini ambako hardly 30 trucks cross a day! vyote hivi havina maana. hata hayo maji ya kutoka ziwa Victoria yanakwenda ktk miradi ya uchimbaji dhahabu haikuwa swala la kuwapelekea wananchi maendeleo kwa sababu vipo vijiji vingi sana bomba la maji linapita kwao lakini hawana maji hadi leo..
 
1.Mkuu wangu kwa nini tunapiga chenga wakati ukweli uko wazi? Umewahi kuwauliza kwa nini walishindwa!..Mtaaalam gani anaweza kufanikiwa kwa lolote ikiwa serikali haitaki kuinvest fedha ktk miradi ya maendeleo badala yake wanaweka fungu kubwa ktk matumizi ya ndani..Bila fedha na kuanzisha miradi ulitegema huyo utaalam atafanya kipi?..

What Sichuan walichokileta nchini sii utaalam bali fedha na ndio maana imeandikwa Sichuan are investing Usd 3mil in Tanzania..Zipo kati watazi contract kwa mashirika mengine sii kwamba hao Schuan wana wataalam wote ktk miradi yote. They are investors!. Na hata wao wakinyimwa fedha hizo na bank, hawatafanya lolote kwa hiyo unataka kusema watalaam wao hawafai?.. Miradi mingapi nchini imesimama kwa sababu ya fedha na sii swala la wataalam..

Toka Nyerere ameondoka wewe nambie serikali yetu imeinvest kiasi gani cha fedha ktk miradi ya maendeleo kama sii kukodisha generators za mafuta na gas kufidia uhaba wa umeme na bado ukiwauliza kwa nini hatuna umeme wanakwambaia Mtera hakuna maji! Sasa hizi jenerata mlokodisha zinatumia maji ya Mtera?..au utasikia gas kwani kabla ya kuagiza hiyo mitambo hawakufahamu kwamba bomba la gas lilitakiwa kuboreshwa ili kuongeza supply ya gas kabla hamjaweka mkataba kukodisha hayo magenerata ya gas.

2. Nakusoma vizuri sana kwa nini mkataba huu umepelekwa haraka haraka. Wewe umeshindwa kutazama ukweli na nakuhakikishia ni kwamba wameharakishia kwa sababu kuna vipengele vya kisheria vinavyotukwaza. Hili ni kanyaboya na kama kulikuwepo na pingamizi lolote JF ipo na vyombo vya habari vipo kwa nini hao viongozi wasizungumze kwa uwazi ni kina nani wanataka kukwamisha mradi huu na kwa nini? Hizi habari za 10% kama zipo na wapo viongozi waliodai kwa nini wasiwafikishe mbele ya sheria badala yake mradi umeharakishwa kichjinichini. Tutajuaje kama hawa walioharakisha ndio wamechukua 10% kwa sababu tunacholalamika ni hiyo 20% kwa serikali what if it was 30% hawa wakubwa wamechukua 10$ yao ndani ya shares za Hongda?

3. Mkuu hakuna mtu anayesema kila kitu ni kibaya isipokuwa kila kiongozi ktk utawlka huu ndiye haaminiki. hakuna mtu anayechukia kuona mradi huu wa Mchuchuma umesimama na hakika mimi nimesifia jitihada zilizofanyika lakini kwa mavuno yapi?.. hilo ndilo tunalolalamikia na imekuwa hivi katika miradi mingi sana kiasi kwamba tunashindwa kuelewa kwa nini viongozi wetu wanashindwa kudai ushirika wa 50/50..Tulichonacho Mchuchuma hakipatikani sehemu zote duniani ni Utajiri ambao Mwenyezi Mungu katupa sisi, watake wasitake kutokana na mahitaji yao (demand) watakuja tu.

4. Swala la Ukanda ni tatizo nje ya swala hili la mradi wa Mchuchuma.. hata tunapozungumzia Ukanda haileti akilini Gas inachimbwa Mtwara na kuletwa Dar ili kusambazwa. Kwa nini isiwe Mtwara kwenyewe tukajenga mtambo huko na kuingia ktk grid ya taifa moja kwa moja badala ya gas kuletwa Dar?..Hivyo swala la ukanda tusilitazame kwa kuwatazama viongozi bali lenyewe kwa sababu alichofanya JK na Bagamoyo haina tofauti na Mkapa kujenga daraja kubwa kusini ambako hardly 30 trucks cross a day! vyote hivi havina maana. hata hayo maji ya kutoka ziwa Victoria yanakwenda ktk miradi ya uchimbaji dhahabu haikuwa swala la kuwapelekea wananchi maendeleo kwa sababu vipo vijiji vingi sana bomba la maji linapita kwao lakini hawana maji hadi leo..

Naomba kutofautiana nawe kama ifuatavyo:
  • Pesa za maendeleo zimekuwa zikitolewa kwa miaka mingi tu, na fungu hilo mara nyingi halijatumika na kisha kurudishwa kwenye hazina wakati shughuli iliyokusudiwa haijafanyika. Bora kama shughuli ingefanyika kidogo kwa pesa kidogo iliyopo kuliko kuirudisha hazina. Matokea yake inazuka kasumba pesa zinazotengwa kwa maendeleo kama hayo zimefanyiwa mizengwe kwa kubuni njia mbalimbali za kuzitumia kama ujtafiti usioisha, mikutano, safari na makongamano. Hilo linaeleweka na halina kificho. Kwamba serikali haiwatengei pesa si kweli vinginevyo kusingekuwa na watu wanaendelea na shughuli za kawaida katika vitengo hivyo, na pia wajumbe wa bodi wangefanyaje vikao bila posho?


  • Mikataba mingi ya madini iliyofanyika hadi sasa hatujui nini kilichokuwemo, ni afadhali huu tuna hata cha kuongelea kinachoeleweka. Na usichoelewa kuharakisha mkataba huu bora tukuache tu kwani kama hujaelewa makandokando na miezengwe iliyotokea tusubiri walio lock up wapate uhuru waendelee kuvuruga jitihada. We unajua fika vyombo vyote vya dola na sheria viko mikononi mwao, utampeleka chombo gani cha sheria na nani atafungua faili ya malalamiko? Umeona Msemakweli anavyotetea na yanayotokea? Umeona kesi za hujuma zinavyokuwa kitendawili kati ya kamishna wa mashtaka na ofisi ya TAKUKURU?

  • ​NI jambo rahisi sana mashabiki wawapo uwanjani kuona makosa ya wachezaji uwanjani utafikiri ndio makocha, lakini ni nadharia tu. Na ni mtazamo finyu kufikiria hiyo 50/50 wakati hao wawekezaji wanahitaji
  1. ​kurudisha mkopo wa pesa na riba bank
  2. Kujenga viwanda vya kuzalishia chuma
  3. kujenga reli
  4. kununulia mitambo ya kufua umeme
  5. Kulipa wafanyakazi
  6. kutengeneza miundombinu mingine nk Hayo ni ya kufanywa hapa nchini si kwao China. Nani atalipa gharama hizi?

  • Swala la maendeleo ya kikanda si la kulifunikafunika. Kumbuka Wabunge walivyolalamikia hilo Bungeni, tena ni wabunge wa CCM wenyewe walioshika dola na kisima cha pesa wanalalamika. Ukiona jambo linasemwa kwa uwazi na wabunge wenyewe hadharani na vyombo vya habari jua jipu limevunda sasa linapasuka. Jambo hilo tunalijua na ni kama ugonjwa wa ukoma likiendekezwa. Ndio maana watu kwa mtazamo rahisi wanaona faida ya sasa tu kwenye daraja la msumbiji bila kuona kwamba daraja hilo ni njia ya kukuza uchumi kati ya nchi hizi siku zijazo. Kilichodumaza maendeleo katika eneo hilo la kusini ni mawasiliano ya watu kwa pande zote mbili ambao walitenganishwa na mto Ruvuma. Maji ya mtu Victoria tusitazamie kwamba kila kijiji na familia wapate maji sasa, tutakuwa na mtazamo finyu. Ni kwa awamu, na tunaanza na vipaumbele kwa matumizi makubwa zaidi ya kwanza katika viwanda vya uzalishaji, huduma za afya, elimu, kisha kuelekeza nguvu vijijini.
 
Candid Scope,
Tunabishana bila maelezo ya kina unazunguka huku na kule pasipo kunipa majibu yanayohusiana na contract yetu..

1. Umesema pesa hizo zilikuwa allocated kwa NDC wakazirudisha unaweza kunithibitishia hilo. Nionyeshe mahala popote NDC walipewa fedha kwa ajili ya mradi wa Mchuchuma na wakashindwa kuanzisha.

2. Nakushangaa sana unaposema miradi mingi ya madini tulikuwa hatujui kitu gani kilikuwepo, hivi wewe unaishi Tanzania mwenzetu? hao wachimbaji wadogowadogo wanaoondolewa katika maeneo ya madini kabla ya hii mikataba walikuwa wanachimba kitu gani? Anza na Bulyanhulu.. halafu kama ni mradi huu imeje NDC wapewe fedha ikiwa tulikuwa hatujui kilichopo! nashindwa kukuelewa mkuu wangu.

3. Uchimbaji wa madini haya serikali yetu iko responsible sawa na wawekezaji kwa sababu fedha ya kulipa mkopo huo unatoka kwenye madini yetu na ndio maana mkopo unatoka.. Fedha hazitoki mfukoni mwao bali wanapewa na Bank, hivyo unapozungumzia gharama zao hata sikuelewi..De beers waliingia mkataba na serikali ya Botswana 50/50 kuunda ubia wao hizi gharama hazikuwepo? Nyerere aliingia mikataba mingiapi ikiwa ni pamoja na reli ya Tazara worth billions hapakuwepo na gharama hizo!..halafu mkuu wangu mwekezaji hatazami anakujengea nini wewe bali ni faida gani ataipata toka ujenzi huo, kugharamia sii lugha ya mwekezaji hata kidogo isipokuwa returns kama wewe unapopeleka fedha Bongo unategemea zitajenga au kuzaa vitu gani in profit hata kama nyumba hiyo hulali wewe..Tazama majumba yote ya Kariakoo watu wameingia Ubia sii kwa kutazama gharama bali faida itakayotokana na ujenzi wa majengo hayo bila kujali gharama za ku furnish vyumba..

4. Swala la kikanda hata sikuelewi unatoka wapi na kuelekea wapi. Tunachozungumzia ni mradi wa Mchuchuma na kama kuna matatizo ktk uongozi na Ukanda haya yota ni madudu ya CCM ambao UBINAFSI ndio msingi walioujenga, na hao wabunge wanalalamika kwa kutazama kanda zao wakipewa nafasi watafanya kaa waliowatangulia..

Lakini kama litafuata Ukanda utafuata misingi bora ya kiutawala linaweza kutokuwa na matatizo. Maelezo yako mengi yapo ktk mfumo wa kugawana umaskini badala ya kuelezea jinsi gani tunaweza kujenga misingi bora ya maendeleo kwa sababu binafsi sioni tatizo la kujenga Bandari Bagamoyo ikiwa bandari ya Dar haifai kabisa na ndio sababu kubwa ya kupoteza kazi nyingi za Bandari kwa Mombasa isipokuwa naliona kosa la kujenga Bandari Bagamoyo wakati zipo Bandari za Mtwara na tanga ambazo zinaweza kabisa kuboresha na zikafanya kazi mara mbili ya Bandari ya Mombasa.

5. Halafu swala la maji umelileta wewe, mimi sioni lolote la maana Mkapa alofanya kama navyomtazama JK au Mwinyi hawa wote kwangu ni MAFISADI kwa sababu kati yao hakuna aliyejenga mradi wowote wa maana ktk kuleta maendeleo ya nchi yetu iwe ktk uzalishaji au huduma. Ufinyu ni pale unapoona maji yanapelekwa Bulyanhulu unafikiria kwamba yalikuwa kwa minajiri ya wananchi ambao hadi leo hawana maji isipokuwa kwa misaada ya NGOs..Nakuomba nionyeshe huo mpango wa kusambaza maji nchini kwa awamu zake, tena itakuwa vizuri unionyeshe hiyo ya kwanza maana kila kitu hupangwa kwanza kisha tunapima wamekamilisha kiasi gani - Masaki hawana maji toka Uhuru sijui wao wako ktk awamu ya ngapi?
 
Candid Scope,
Tunabishana bila maelezo ya kina unazunguka huku na kule pasipo kunipa majibu yanayohusiana na contract yetu..

1. Umesema pesa hizo zilikuwa allocated kwa NDC wakazirudisha unaweza kunithibitishia hilo. Nionyeshe mahala popote NDC walipewa fedha kwa ajili ya mradi wa Mchuchuma na wakashindwa kuanzisha.

2. Nakushangaa sana unaposema miradi mingi ya madini tulikuwa hatujui kitu gani kilikuwepo, hivi wewe unaishi Tanzania mwenzetu? hao wachimbaji wadogowadogo wanaoondolewa katika maeneo ya madini kabla ya hii mikataba walikuwa wanachimba kitu gani? Anza na Bulyanhulu.. halafu kama ni mradi huu imeje NDC wapewe fedha ikiwa tulikuwa hatujui kilichopo! nashindwa kukuelewa mkuu wangu.

3. Uchimbaji wa madini haya serikali yetu iko responsible sawa na wawekezaji kwa sababu fedha ya kulipa mkopo huo unatoka kwenye madini yetu na ndio maana mkopo unatoka.. Fedha hazitoki mfukoni mwao bali wanapewa na Bank, hivyo unapozungumzia gharama zao hata sikuelewi..De beers waliingia mkataba na serikali ya Botswana 50/50 kuunda ubia wao hizi gharama hazikuwepo? Nyerere aliingia mikataba mingiapi ikiwa ni pamoja na reli ya Tazara worth billions hapakuwepo na gharama hizo!..halafu mkuu wangu mwekezaji hatazami anakujengea nini wewe bali ni faida gani ataipata toka ujenzi huo, kugharamia sii lugha ya mwekezaji hata kidogo isipokuwa returns kama wewe unapopeleka fedha Bongo unategemea zitajenga au kuzaa vitu gani in profit hata kama nyumba hiyo hulali wewe..Tazama majumba yote ya Kariakoo watu wameingia Ubia sii kwa kutazama gharama bali faida itakayotokana na ujenzi wa majengo hayo bila kujali gharama za ku furnish vyumba..

4. Swala la kikanda hata sikuelewi unatoka wapi na kuelekea wapi. Tunachozungumzia ni mradi wa Mchuchuma na kama kuna matatizo ktk uongozi na Ukanda haya yota ni madudu ya CCM ambao UBINAFSI ndio msingi walioujenga, na hao wabunge wanalalamika kwa kutazama kanda zao wakipewa nafasi watafanya kaa waliowatangulia..

Lakini kama litafuata Ukanda utafuata misingi bora ya kiutawala linaweza kutokuwa na matatizo. Maelezo yako mengi yapo ktk mfumo wa kugawana umaskini badala ya kuelezea jinsi gani tunaweza kujenga misingi bora ya maendeleo kwa sababu binafsi sioni tatizo la kujenga Bandari Bagamoyo ikiwa bandari ya Dar haifai kabisa na ndio sababu kubwa ya kupoteza kazi nyingi za Bandari kwa Mombasa isipokuwa naliona kosa la kujenga Bandari Bagamoyo wakati zipo Bandari za Mtwara na tanga ambazo zinaweza kabisa kuboresha na zikafanya kazi mara mbili ya Bandari ya Mombasa.

5. Halafu swala la maji umelileta wewe, mimi sioni lolote la maana Mkapa alofanya kama navyomtazama JK au Mwinyi hawa wote kwangu ni MAFISADI kwa sababu kati yao hakuna aliyejenga mradi wowote wa maana ktk kuleta maendeleo ya nchi yetu iwe ktk uzalishaji au huduma. Ufinyu ni pale unapoona maji yanapelekwa Bulyanhulu unafikiria kwamba yalikuwa kwa minajiri ya wananchi ambao hadi leo hawana maji isipokuwa kwa misaada ya NGOs..Nakuomba nionyeshe huo mpango wa kusambaza maji nchini kwa awamu zake, tena itakuwa vizuri unionyeshe hiyo ya kwanza maana kila kitu hupangwa kwanza kisha tunapima wamekamilisha kiasi gani - Masaki hawana maji toka Uhuru sijui wao wako ktk awamu ya ngapi?

Tunapojaribu kujadili mambo ya kitaifa kama haya ambayo yanagusa vyombo vingi vya utendaji na jumuiya za kimataifa ni jambo zuri tuwe na fikra pevu kwa kutumia mizani kwa kuangalia pande zote. vinginevyo kukandamiza mizani upande mmoja na mkono ukishachoka mizani itarudia kwenye scale yake.

Mtoto anapolelewa na wazazi wake, mengi anayekatazwa na kueleweshwa na wazazi kwamba si mazuri hufikiria wanamzuia na anajisikia ana haki ya kufanya anavyoona. Lakini siku atakapokua na kuwa mzazi anaanza elewa aliyokuwa anafundwa na wazazi wake, na unaona anageuka kuwapenda wazazi wake kuliko alipokuwa kijana anafunzwa maisha.

Rahisi kuinyooshea serikali yetu kidole na kuonyesha, lakini pamoja na madhaifu yaliyopo hakuna serikali duniani isiyolaumiwa hata mataifa tajiri. Mengi yamefanyika kwa kadiri ya kiwango chao. Ila kwa sasa uwezo wao umefikia kikomo sawa na kocha wa timu ndogo aliyefanikiwa kuipandisha daraja, na ataendelea kung'ang'ania kufundisha lakini kiwango cha daraja ya timu iliko hafui dafu, timu inahitaji kocha mahiri zaidi atakayeweza kuiweka timu kwa kiwango kinachohitajika kwa daraja la juu.

Kama ni ufafanuzi nimeutoa, kwa mwenye kuelewa ameerefuka, kwa mwenye shida kuelewa na kuhitaji kueleweshwa zaidi, asubiri kocha mwingine atakayemsaidia zaidi.

Kwenye midahalo kuna muda wa kujadili na kuchanganua hoja, na hatuwezi kupoteza muda na hoja moja wakati tuna ratiba ya mambo mengine.

Kwa sasa mdahalo huu umefungwa, na wenye kuelewa wameelewa, na wenye mashaka tunawaacha wabaki na mashaka yao hadi siku watakapofungua akili zao kuelewa yaliyojadiliwa.

Mungu ibariki Tanzania.
 
  • Thanks
Reactions: KVM
Kweli sasa tunaona

Hello lifeofmshaba,

Natofautiana na wewe kwa mambo machache, huwezi kufananisha mkataba wa kuvuna rasilimali na mkataba wa kutoa huduma.
Kujenga daraja na kuchimba makaa ya mawe pamoja na chuma ni mikataba ambayo kudhibiti mapato yake ni tofauti kabisa.
Hakuna taifa lolote lilioendelea ambalo halitafuti super profit katika mikataba. Hivyo kujidanganya kwamba wachina ni wema tutakosea sana.
Kwa mkataba huu, ambao wachina wanagharamia kwa 100% , ina maana management itakuwa ya wachina hivyo kuwepo uwezekano mkubwa wa kudanganya kuhusu cost recovery na wakatoa operational costs kubwa, waka declare profit ndogo n.k.
Hatuhitaji elimu kubwa sana kujua uwezekano wa hayo kutokea.
Haya ndiyo aliyoyaepuka Mwalimu enzi hizo. Kwa nini leo tuyakubali? Kwa nini tusikope mitaji tukaendesha wenyewe? Mkataba huu unatofautiana kiwango gani na wa mangungo?
 
Back
Top Bottom