Mkataa pema pabaya panamwita

engmtolera

JF-Expert Member
Oct 21, 2010
5,150
1,437
Kwenye CCM ya Nyerere, ushindi huu mdogo wa CCM .ungesababisha baadhi ya watu kuwajibika ili kuleta heshima mbele ya jamii. Lakini kwa UONGOZI WA SASA WA CCM hilo ni gumu kufanyika, labda kutokana na kafara katika ngazi za chini badala ya kushughulikia masuala ambayo chama kimeshindwa kuyashughulikia.Kigezo cha kura za maoni si kipimo pekee cha matokeo mabaya ya CCM katika uchaguzi uliomalizika,Ndani ya CCM, kwa takribani miaka mitano, wapo waliosema kama Mwalimu na wanastahili kuimbwa kama alivyoimbwa lakini hawakusikilizwa KWANI WANA CCM WALIKATAA PEMA SASA PABAYA PANAWAITA KWA KUTO KUSIKILIZA USHAURI ULIOTOLEWA NA JAMII KWA UJUMLA

Chama Cha CCM sasa kinakataliwa sehemu nyingi nchini.Si sahihi kudhani hii ni kwa sababu ya kura za maoni,kwani wananchi wamekichoka chama kutokana na mambo yake na watu wake wanaojari chao zaidi kuliko jamiii,
tulidhani labda vijijini wasingeweza kubadilika kwa kuwapigia ccm kura lakini imekuwa tofauti na matarajio ya wengi hasa wana ccm wenyewe

NDUGU WANA CCM SIJUI KAMA MNALIONA HILO LA KUKATALIWA HADI VIJIJINI AMA MMEZIBA MASIKIO,HAMJUI KUSOMA NA HATA PICHA HAMUONI?

MIMI KWA UJUMLA NIWAPONGEZE CHADEMA KWA CHANGAMOTO WALIZOLETA NA NI IMANI YANGU KUWA KWA MWELEKEO HUU WA CHADEMA,WENGI WATASHANGAZWA 2015

MALA NYINGI MKATAA PEMAAAAAAA PABAYAAAA PANAMWITAAAAA

Mapinduziiiiiiiii daimaaaaaaaaa.
 
Ichukie na wewe! Expire date ya CCM 201...............!!!!!!!!!!!!!!
 
Angalia usije ukaambiwa umemtukana mh. Mwenyekiti. Maana yule jamaa alitoa mfano wa methali kama hivi akaambiwa amemtukana rais wa nchi.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom