Mkapa: Yote yanayosemwa juu yangu namuachia Mungu

Mkapa should know better. Yeye alimsoma Shakespear ambaye alisema “ The good things men do get interred with their bones once they die but the bad ones live long after them”. Yaani ukifa unazikwa na mazuri uliyofanya hapa duniani lakini mabaya uliyoyafanya hukumbukwa muda mrefu baada ya kifo chako.


Hivi inawezekana Mkapa wakati anaapishwa kuwa raisi hakuyajua haya? Na je ndiyo maana aliyafanya hayo yote? Nashindwa kuamini. Ila kinachokuja akilini mwangu ni kuwa Mkapa alifanya kwa kiburi kabisa akijua kwamba hakuna atakayeweza kumfikia wala kuuliza. Ubabe wa Chama aliutumia kwenye uraisi. Viongozi wa CCM wana hilo tatizo, wanapokuwa Mawaziri au Raisi wansaahau kuwa wakati huo ni viongozi wa nchi nzima wa hata wale wasiokuwa wanachama wa chama chochote.
 
Mkapa kaiweka Tanzania kwenye ramani, alijua anafanya nini na kauli zake zilikuwa na mantiki siyo ubabaishaji. Ukisema Mkapa aliiba na hii inayotokea sasa hivi utasemaje?

Tujifunze kushukuru kwa madogo aliyofanya, siyo mwehu kwamba hakufanya chochote. Watanzania nyie vipi???

Kauli nyingine siyo jamani learn how to argue.



Kweli Caroline umesema kitu cha maana. Watu wameshindwa kuwasema wezi wa NICOL ambao wameibia watu waziwazi tena. Inabaki kupiga kelele tu. Naona Pengo alikuwa sahihi kwamba wengi wanapiga kelele kwa sababu hawajapata nafasi za kufisadi
 
Jamani hivi kama kuna jizi mtaani, basi haliwezii kuwa jizi ikiwa kuna vibaka mtaani pia!.. Huu utenganisho na upimaji wa wizi na Ufisadi unatoka wapi..Imani hizi ndizo zinampelekea Mkapa akubali kumwachia Mungu, kwani anafahamu hataweza hukumiwa hapa duniani ila Akhera!
 
Jamani hivi kama kuna jizi mtaani, basi haliwezii kuwa jizi ikiwa kuna vibaka mtaani pia!.. Huu utenganisho na upimaji wa wizi na Ufisadi unatoka wapi..Imani hizi ndizo zinampelekea Mkapa akubali kumwachia Mungu, kwani anafahamu hataweza hukumiwa hapa duniani ila Akhera!

Mkandara,

Si bure kuna romanticism kuhusu Mkapa hapa, especially baada ya colossal failure ya Kikwete, watu wanaona bora hata Mkapa na wizi wake lakini serikali ilikuwa na discipline (debatable though)

Hii comparison revision hii, ambayo amei popularize baba Nyerere ni mbaya sana.Inawataka watu waangalie mazuri tu ya mtu bila kuangalia au kuneglect mabaya.This is as bad as kuangalia mabaya tu ya mtu bila kuangalia mazuri.

Ili kupata picha halisi inabidi mazuri na mabaya yote yawekwe mezani.

Mkapa was a walking contradiction.

The president who refused presents from Kitwana Kondo and his ilk after winning the election (telling them "take a page in the paper and congratulate me there") but at the same time accepted a cool Range Rover from Chande.

The proud if not brilliant African literati diplomat who couldn't get the better side of his diplomatic side to deal with simpleton journalists.

The coach potato alcoholic who built that impressive stadium.

The irreligious intelligentsia who is leaving everything to god.

The anti-corruption championing Mr. Clean who institutionalized grand corruption.

Grotesque contradictions over gross inconsistencies!
 
Blueray,
Hii comparison revision hii, ambayo amei popularize baba Nyerere ni mbaya sana.Inawataka watu waangalie mazuri tu ya mtu bila kuangalia au kuneglect mabaya.This is as bad as kuangalia mabaya tu ya mtu bila kuangalia mazuri
Maneno yako kweli kabisa.. Nyerere alifanya hivyo na ndio tunaona kizazi kipya kikitumia mawazo hayo hayo..Ndio kukataa kusololewa huko.
Inatisha!
 
Najua huyu mtu kuna pahala alichemka katika utawala wake. Hasa kuuza ardhi na raslimali zetu kwa wakoloni. Lakini he's a capable leader katika kuweza kutoa tangible ouputs. Anastahili kupongezwa na kuenziwa kwa mazuri mengi ya utawala wake. Hastahili kashfa kiasi hiki. Wanaostahili kashfa zaidi ni mafisadi waliotuwekea kiongozi pale magogoni na wanaendelea kutunyonya damu.
 
"Tutakuwa na utamaduni mbaya kama tunakuwa jasili wa kufumba macho na kuziba masikio yetu kuruhusu milango yetu ya fahamu kupokea maovu pekee" Waone wazee wetu walioitumikia Jumuia ya Afrika Mashariki wanavyosumbuka kwa ajili ya mafao yao, wakivua hadharani na kufunga barabara, "haitushughulishi kwa sababu walishindwa kuufanya muungano udumu!!!" Watazame wazee wetu waliopigana vita ya pili ya dunia, "wamegeuka mawakili" na mafaili yanawashinda kubeba kwa sababu nguvu zimepungua. Jamani, mzee Mkapa ni binadamu kama binadamu mwingine, tumeumbiwa makosa, alikosea na anathubutu kusema 'palikuwa na haja ya kufanyika marekebisho katika mikataba.' Angekuwa mzazi, kwa makosa yaliyotokea angevuliwa hadhi yake? Ni vyema tukatambua nyakati na kukubali kukosoana ili mapunguvu tuliyoyagundua yawe misingi ya uimara wetu.
 
Mkandara,

Si bure kuna romanticism kuhusu Mkapa hapa, especially baada ya colossal failure ya Kikwete, watu wanaona bora hata Mkapa na wizi wake lakini serikali ilikuwa na discipline (debatable though)

Hii comparison revision hii, ambayo amei popularize baba Nyerere ni mbaya sana.Inawataka watu waangalie mazuri tu ya mtu bila kuangalia au kuneglect mabaya.This is as bad as kuangalia mabaya tu ya mtu bila kuangalia mazuri.

Ili kupata picha halisi inabidi mazuri na mabaya yote yawekwe mezani.

Mkapa was a walking contradiction.

The president who refused presents from Kitwana Kondo and his ilk after winning the election (telling them "take a page in the paper and congratulate me there") but at the same time accepted a cool Range Rover from Chande.

The proud if not brilliant African literati diplomat who couldn't get the better side of his diplomatic side to deal with simpleton journalists.

The coach potato alcoholic who built that impressive stadium.

The irreligious intelligentsia who is leaving everything to god.

The anti-corruption championing Mr. Clean who institutionalized grand corruption.

Grotesque contradictions over gross inconsistencies!

Bluray, this is quite an analysis.One that would make old Bennie wince,or miss a heartbeat while sipping his favourite whisky.
The man let us down, but let him keep his peace.
Moreover, the guy is untouchable by the layers that the constitution buffeted him from the sans cullotes.
While we cannot undo what has been done and on record,we can at least rectify some of the institutional wrongs that make our lives unbearable.
Mkapa bashing might make us fell good, but still we have got to make BOT work,TANROADS be on track,TRA must collect tax and the Government be accountable to the people on the wrongs observed-the Bunge that is.
 
Bluray, this is quite an analysis.One that would make old Bennie wince,or miss a heartbeat while sipping his favourite whisky.
The man let us down, but let him keep his peace.
Moreover, the guy is untouchable by the layers that the constitution buffeted him from the sans cullotes.
While we cannot undo what has been done and on record,we can at least rectify some of the institutional wrongs that make our lives unbearable.
Mkapa bashing might make us fell good, but still we have got to make BOT work,TANROADS be on track,TRA must collect tax and the Government be accountable to the people on the wrongs observed-the Bunge that is.

Mkapa bashing, if this is what it is -I see it more as truth telling and setting the record straight- is quite a necessary step for several reasons.

In order to build successive and sustainable governance, we need to realize our past mistakes and address them squarely.This will not only give us perspective, but we need to do so in order to set precedents, precedents need records.Hata kama hatuwezi kumfunga (debatable,ile presidential immunity ina apply kwenye official presidential business, kwa hiyo hawezi kushitakiwa kwa mauaji ya January 27 kwa sababu alisaini kama Ben W. Mkapa, president of Tanzania, na ananweza kushitakiwa kwa uporaji wa Kiwira kwa sababu alisign kama ben W. Mkapa, mtu binafsi) but let's say the practicality of the situation says he will never see a trial, you always have the trial of public opinion, which is where JF comes to play. Yeye ana nafasi kubwa ya kuita press conference na kujitetea, lakini kaamua kusema anamwachia mungu, which is typical of mafisadi na mafarisayo wanaotaka kujionyesha wacha mungu kuliko walivyo.

Kumsema Mkapa na mafisadi wenzake si vizuri na haki tu, ni wajibu.
 
We need to get the discourse right. Mkapa was a preseident of the republic, not a parent. He does not have the blood relationship but constitutional with Tanzanians. He had to execute the leadership according the supreme law of the land, not according to fatherly whims. After all Tanzanians were paying him during and after his tenure. There is no way the Tanzania public is liable to forgive him for his mess! Please get the discourse right. Is KIA worth the mere US$1000 monthly fee for cool 25 years? Rais hapashwi kuwa mchumia tumbo. Those messing-up leadership right should expect similar teatment tomorrow during their turn. Tanzanians should remain vigilant, at least not those CCM stalwarts.
 
Ony God can judge Mkapa!

Kuna wengine hatutaki kabisa kusikia hizo habari za "god"

Huyo "god" angekuwapo kweli Mkapa asingekuwa rais.

Wafanyabiashara ya utumwa walitumia gia hiyo hiyo ya "god" ili kufanikisha biashara yao chafu.Wakoloni walitumia gia hizo hizo za god kutupora nchi na mali, sasa mpaka leo bado tunataka kudanganyana na huu upupu wa "god".

If there is an all powerful god that made Mkapa possible then I will hold him personally responsible on judgement day, and I will read him the riot act.
 
Kuna wengine hatutaki kabisa kusikia hizo habari za "god"

Huyo "god" angekuwapo kweli Mkapa asingekuwa rais.

Wafanyabiashara ya utumwa walitumia gia hiyo hiyo ya "god" ili kufanikisha biashara yao chafu.Wakoloni walitumia gia hizo hizo za god kutupora nchi na mali, sasa mpaka leo bado tunataka kudanganyana na huu upupu wa "god".

If there is an all powerful god that made Mkapa possible then I will hold him personally responsible on judgement day, and I will read him the riot act.

god is OK and not God!
 
hamna lolote hivi mmewahi kuangalia hizo economic data za wakati wa Mkapa na mtuambie zilibadilika vipi?


NI WIZI MTUPU Mkjjj! hizo data zilikuwa zinapikwa maana uchumi wa nchi ukikua kwa asilimia 5 au zaidi basi Wananchi wengi huneemeka kutokana na kuongeza ajira na vipato mbona wenzetu Rwanda uchumi wao ukikua wananchi wanaona mabadiliko ya kweli!? Kwa nini uchumi wa Tanzania ukikua Watanzania walio wengi hawayaoni mabadiliko yoyote na si ajabu wengine hali zao za kimaisha ndiyo zinazidi kuwa duni!? Mkapa hastahili kupongezwa kwa lolote ni fisadi tu huyu ambaye alitumia madaraka yake kujitajirisha yeye, familia yake, jamaa na marafiki.
 
Huyu mzee atakuwa na matatizo .. Wananchi wanalalamika jinsi alivyo tafuna hela za nchi hii yeye bila AIBU anatamka ANAMWACHIA MUNGU ambaye wala hatumuoni..! Hawa wote walitakiwa wapitie pale Milembe DODOMA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom