Micro E coli
JF-Expert Member
- Oct 31, 2011
- 938
- 192
day dreamKishawamaliza CHADEMA nyie mnatapatapa sasa humu JF. Jiandaeni tu kukataa matokeo si ndo zenu safari hii sijui viongozi wenu watajifisha wapi.
day dreamKishawamaliza CHADEMA nyie mnatapatapa sasa humu JF. Jiandaeni tu kukataa matokeo si ndo zenu safari hii sijui viongozi wenu watajifisha wapi.
jibu hoja,miaka yote chama kimetawala na hawakuona kama kuna tatizo kwenye maswala ya ardhi, leo wameambiwa na nani kuwa wameru wana matatizo ya ardhiKishawamaliza CHADEMA nyie mnatapatapa sasa humu JF. Jiandaeni tu kukataa matokeo si ndo zenu safari hii sijui viongozi wenu watajifisha wapi.
"Wapinzani ni wajinga na hawana Adabu". Hii ni kauli ya Mkapa. Mzee gani huyu? Nitaiga nini kutoka kwake? Mzee mzima ametoka Dar kwenda Arumeru kutoa matusi?
Je, na mimi nikipewa jukwaa pembeni nikaanza kutoa hotuba kuwa Mkapa ni Mjinga na hana adabu, maneno hayo hayo aliyotumia jukwani tutafika? Inaelekea ametoa matusi kibao ila TBC wameona hayo ndo yanafaa kutuletea kwenye Taarifa ya habari ya saa mbili usiku.
Kwa busara hii inayopaswa kutiliwa shaka na kila Mwenye akili, Mkapa ana sifa zote za kuwa "Mzee wa Dar es Salaam".
Unahangaika na huyo mwigulu hajui siasa zaidi ya kubwatuka tu na propaganda za kitoto.CCM is full of fake People,Mwigulu anafaa kuimba taarabu,anamameno ya shombo Mzee Yussuph hampati...
Nimeshuhudia jana swaga zake...si mwanasiasa Mwigulu ni mwana mipasho...
mkapa kajidhalilisha sana na kujivua nguo,kama nakumbuka aliingizwa kwenye hy familia ya mwalimu km mwanafamilia,leo ameanza kukana ukoo huo huo hv kweli ni hanazo kusema mh vincent ni mtt wa hayati julius kambarage?hk akijua ukweli kuwa ni mtt wa marehemu mzee kiboko na mbaya zaidi hata mazishi ya huyo mzee alikuwepo!kweli siasa mchezo mchafu!
Dharau hzi zmekuwepo na kujidhirisha jana katika uzinduzi wa kampeni zao za kusomba watu kama magunia ya mahindi kutoka Arusha.Huu ni udhalilishaji wa haki za binadamu.
Yule mzee ana bahati sana kuendelea kuwa uraiani kwa ufisadi aliofanya. Ndio maana anasimamia uovu aliouanzisha katika CCM. Ila akae akijua kuwa wana wa Meru wana other ideas kwa sasa, wanataka Nassary mjengoni na sio mvuta bange Siyoi
kaka it is hard to think and doing at the same time, hebu fikiria Sioi anapozungumza jukwaani huku taswira ya Nassari ikiwa karibu kabisa utosini, akiwaza na anavyowapokonya haki waTZ ilhali ye ni Mkenya, lazima tu atachemkaKinachonifanya niamini maneno yako ni uwezo wake mdogo wa kujieleza na kuongea vitu vingine kabisa sijui anapoteza kumbukumbu mara aseme Arumeru ni Mkoa kali zaidi akawaomba wampe ridhaa ya kupeperusha bendera ya chama wakati ridhaa hiyo walishampa. Enyi wameru yatafakarini hayo!!!!
Mkapa analeta sarakasi za kijinga sana, yeye ana hofu kubwa kuwa CCM ikitoka madarakani lazima akanyee debe kwa ufisadi aliofanya akiwa Ikulu kisha kukingiwa kifua na Kikwete. Lingine ni suala la uraia wake tutalianzisha upya. Benjamin William Mkapa ni M'meto toka Msumbiji, aliingia Tanganyika akiwa na umri wa miaka 5, na hakuna mahali popote aliwahi kuukana uraia wa Mocambique. Taarifa hizi ni kwa mujibu wa kaka yake anayeitwa Mwinyi Nkanona ambaye alitoa habari wakati mkapa anachaguliwa kuwa rais, kwa ufinyu wake wa ufahamu hakuelewa kuwa taarifa hii ilikuwa inamharibia mdogo wake, kwa vile ushahidi wa hili upo ni muda tu ndiyo utaamua.