Alfu Lela Ulela
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 1,255
- 77
Wana JF mnaichukulia vp kauli ya Mkapa aliyoitoa juzi kuwa "kwa vyovyote vile Uongozi wa Tanzania lazima utokane na CCM"
Kisha akaongeza "mimi sipingi Serikali ya umoja wa Kitaifa, ila nataka serikali ya umoja wa kitaifa inayotokana na CCM"
Binafsi naiona Statement hiyo kama inadumaza Demokrasia nchini maana tafsiri yake ni kuwa ccm lazima iwe madarakani kwa kuichagua au bila kuichagua. Na kama ndivyo it means what we did today for Dr.Slaa is meaningless.??
Je, Mkapa was serious au ndo wameshajipanga kuchakachua?? Je, kwa kauli hii nikimwita Mkapa Dikteta nitakuwa nimevunja kifungu gani cha katiba??
Kisha akaongeza "mimi sipingi Serikali ya umoja wa Kitaifa, ila nataka serikali ya umoja wa kitaifa inayotokana na CCM"
Binafsi naiona Statement hiyo kama inadumaza Demokrasia nchini maana tafsiri yake ni kuwa ccm lazima iwe madarakani kwa kuichagua au bila kuichagua. Na kama ndivyo it means what we did today for Dr.Slaa is meaningless.??
Je, Mkapa was serious au ndo wameshajipanga kuchakachua?? Je, kwa kauli hii nikimwita Mkapa Dikteta nitakuwa nimevunja kifungu gani cha katiba??