Mkapa ni kapa kweli amani ya nchi na utulivu kwake ni msamiati,tatizo hajafikishwa the Hague kujibu mashitaka ya mauaji ya halaiki ya watu huko Pemba na sehemu zingine nchini mwetu.Kwa kuwa anadhani Watanzania ni watu wa kubeep aendelee kubeep ndipo ataona jeuri na nguvu ya umma,na kwa kuwa mchuma janga hulia na wakwao nafikiri wakati sasa umefika wa kulia na kusaga meno.Zamani tulidhani kipara ni ishara za ukomavu na uelewa wa mambo kumbe kweli ule usemi wa akili ni nywele sasa unajidhihirisha wazi
Huyu mzee anamatatizo. Mashavu yake!
Jana Dr. Slaa amedai kuwa ktk vikao vya siri vya ccm anekaririwa rais mstaafu BWM akiishinikiza tune ya uchaguzi kuitangaza ccm imeshinda uchaguzi wa Arumeru hata kama wameshindwa kwa sababu wataenda mahakamani na kesi itafia huko.
Napata picha kuwa ccm ni wezi, wanyang'anyi na wauwaji mbinu kama hii ndio iliyompa ubunge Makala baada ya mkapa kumtishia maisha mbunge wa cdm aliyekuwa ameshinda Mvomero baada ya kushindwa kumhonga
Tusikubali ushenzi huu cz wanajua fika tume na mahakama ni wateule wa mwenyekiti wao