Mupirocin
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,739
- 744
Habar za jioni wanajamvi, naomba kuuliza hivi ndege anayotalii nayo m.kwere si ndo alonunua Mkapa au ile ilishakuwa screper kama ilivyosemwa mwanzoni alipotoka madarakani. kama ndo hii basi Mzee Mkapa tulimuonea kusema amenunua ndege mbovu. kwani jk inamsave sana otherwise angekuwa anatumia gharama kubwa zaidi angekuwa anakodi