Mkapa na ndege ya rais

Mupirocin

JF-Expert Member
Jan 28, 2011
1,739
744
Habar za jioni wanajamvi, naomba kuuliza hivi ndege anayotalii nayo m.kwere si ndo alonunua Mkapa au ile ilishakuwa screper kama ilivyosemwa mwanzoni alipotoka madarakani. kama ndo hii basi Mzee Mkapa tulimuonea kusema amenunua ndege mbovu. kwani jk inamsave sana otherwise angekuwa anatumia gharama kubwa zaidi angekuwa anakodi
 
Back
Top Bottom