Jamani
Hii post ni ya zamani sana kabla hajasema kuwa amestaafu siasa. Watu mnaandika kana kwamba amesema hayo mambo baada ya kusema amestaafu siasa. Ni mjadara mzuri ukiondoa hiyo kasoro ndogo.
Lakini, Ben anaposema EL hakukosea kuhs City Water, maneno hayo yanabidi kufanyiwa kazi kubwa sana. KWanza kuangalia uhusiano wa Mkapa na City Water, EL na City Water.
Kama sikosei, Superdol walikua na hisa ktk City Water na Mkapa na Superdol(Mtibwa/Kagera Sugar) unafahamika ila kwa ufupi ni kwamba Mkapa ana shamba na nyumba Mtibwa linalohudumiwa na Superdol na yeye kupelekewa fedha tu.... Mkapa ndiye aliyewapa Kagera Sugar dhamana ya BoT ya USD 65m... Ndiye aliyeshinikiza Superdol kufutiwa deni la mamilioni NBC kwa serikali kulipa deni hilo na kuilazimisha NBC kufuta kesi mahakamani (kumbukumbu zipo)...... Kwa hiyo hili suala hapa MKAPA ANAJARIBU KUJIWAHI MAANA ISSUE YA CITY WATER THISDAY HAWAJAIGUSA NA SI KWAMBA HAWAIFAHAMU BALI NI SUALA LA WAKATI TU. NA KWA KWELI UNAPOMZUNGUMZIA MKAPA/CITY WATER/ LOWASA/SUPERDOL UNAKUA NA MAANA PANA ZAIDI, NA HII KWA WENYE KUFAHAMU WATAONA NI JINSI GANI ILIVYO NGUMU KWA MKAPA KUCHUKULIWA HATUA, LABDA AANZE KUCHUKULIWA HATUA EL, NA HAPO NDIPO NAONA HATA KINA HOSEA NAO WAMEINGIZWA KATIKA MKUMBO
JENGA HOJA INGINE KUHUSIANA NA MAHUSIANO HAYO LAKINI SI TABIA NJEMA KUPEANA MENU ZILIZO LALA