Huyu atakuwa Mkare.Ha ha haaa! Mkuu umeliona eeh! Niliposoma post yake tu nikawa na mashaka kama ID yake ni Mkala au Mkara?!
Huyu atakuwa Mkare.Ha ha haaa! Mkuu umeliona eeh! Niliposoma post yake tu nikawa na mashaka kama ID yake ni Mkala au Mkara?!
Hii itavunja rekodi hapa bongo, sijawahi sikia mkuu wa kaya au aliyewahi kuwa mkuu wa kaya akakanyaga kizimbani kutoa ushahidi au hata kushitakiwa.Rais Mstaafu Benjamin Mkapa anatarajiwa kutinga mahakamani Kisutu, katika kesi inayomkabili Prof Mahalu juu ya manunuzi wa nyumba akiwa balozi nchini Italia. Rais Mkapa atatua Kisutu kutoa ushahidi katika kesi husika.
Source: Gazeti la Mwanahalisi, Aprili 27, 2011
Mbona yeye ajashitakiwa kwa kununua mladi wa Kiwila kwa Mil 70 badala ya makubaliano ya awali ya Mil 700 ingawa Mladi wenyewe ulikuwa unathamani ya Shiling Bilion 70!!!!!!!!!!!!! hapo ni changa la kope tuuuuuuuuuu