Hizo ndio analysis za kijinga, Ok kafanya mazuri. Jee hiyo ndio ticket ya kufanya ufisadi wa mali za watanzania? Alikuwa na shida gani kuiba wakati katiba inatutaka tuwatunze Maraisi wastaafu maisha yao yote? Pamoja na aliyofanya,hapa katulazimisha tumwadhibu kama mhalifu. Labda afe tuu, lakini itakuja siku serikali makini na itamwadhibu. Kosa la jinai halina ukomo.Tuache longolongo toa list ya watu unaowafahamu wamefanya Mazuri zaidi ya Mkapa ili tuchambue.Hata kama ni wewe pia weka Jina lako hapa. Lazima tuwapambanishe atakayeibuka mshindi basi tumkubali
Tuache longolongo toa list ya watu unaowafahamu wamefanya Mazuri zaidi ya Mkapa ili tuchambue.Hata kama ni wewe pia weka Jina lako hapa. Lazima tuwapambanishe atakayeibuka mshindi basi tumkubali
Tuache longolongo toa list ya watu unaowafahamu wamefanya Mazuri zaidi ya Mkapa ili tuchambue.Hata kama ni wewe pia weka Jina lako hapa. Lazima tuwapambanishe atakayeibuka mshindi basi tumkubali
1. Charles Keenja enzi za tume ya jiji la Dar.........Tuache longolongo toa list ya watu unaowafahamu wamefanya Mazuri zaidi ya Mkapa ili tuchambue.Hata kama ni wewe pia weka Jina lako hapa. Lazima tuwapambanishe atakayeibuka mshindi basi tumkubali
Mkombozi,Tuache longolongo toa list ya watu unaowafahamu wamefanya Mazuri zaidi ya Mkapa ili tuchambue.Hata kama ni wewe pia weka Jina lako hapa. Lazima tuwapambanishe atakayeibuka mshindi basi tumkubali
He is the greatest Prezo ever, after mwalimu, no doubt about that, nobody is perfect bwana...bravo "ankal" Ben.....,
Jamani nimesoma maoni yote ya watu humu, kwa kusema kweli na pia tuache unafiki, Mkapa alifanya kazi kubwa sana ambayo huwezi kulinganisha. Mimi namkubali sana jamaa, ukianzia kuinua mapato ya serekali, hazina ya fedha za kigeni BOT, ubinafsishaji ambao umeongeza ajira, barabara, Uwanja mkuu wa Taifa, Daraja kubwa la Rufiji, utendaji kazi masaa mengi ofisini na safari chache za nje, alipambana na mfumuko wa bei (mkate haba Dar ulikua TShs 150,sasa zaidi ya 700, Unga wa sembe ulikua Tshs 250, sasa 900, Daladala ilikua 150 kwa 50 kwa muda mrefu. Amepunguza madeni ya nje
Tumwache apumzike jamaa alifanya kazi kubwa Sana, ila hamna mtu ambaye ni Mungu au Malaika asiye na makosa. Kama swala ni kufanya biashara je ni wangapi wanafanya kwa kupitia migongo ya ndugu zao? Si afadhali huyu alifanya mwenyewe? Mimi nakwambia Tanzania ni kubwa sana, kwa hiyo alifanya mambo mazuri sana jamaa.
Unajua performance ya mtu inabidi uipime kwa kulinganisha na tulikotoka, Mkapa alipokea nchi ikiwa katika hali mbaya sana, vijana walikua hawataki shule, serekali ilikua haina hela, shule ilikua haithaminiki, hospitali dawa kulikua hamna, yeye alipambana kufa na kupona. Vyote tunavyojivunia sasa vimetoka kwenye uongozi wake.
Swala hapa ni kuchambua kwa upeo wa mpana wa kiuchumi na sio kuleta siasa, unayesema mkapa hakufanya kitu je ni nani aliyefanya? Hamna aliyemsafi 100%
Wanaoamini biblia, Yesu aliletewa mwanamke moja mzinzi na watu wengi. Ila kwa sheria ya kiyahudi ilimpasa kupigwa mawe hadi kufa. Yesu akawaambia makutano, kwa yeyote anayejiona hana dhambi yeyote awe wa kwanza kumpiga jiwe, Yesu akainama chini akawa anachora kwa kidole chini, hapo alikua anandika amri za Mungu. Aliponyanyua kichwa hakumkuta mtu hata mmoja, na akamwamuru yule mama aende zake na asirudie tena dhambi. Kwa mfano huu, anayejiona hana dhami yeyote awe wa kwanza kumyooshea mkapa kidole.
Amefanya makubwa sana, tumwache apumzike
Huyu anaonyesha alivyo na upungufu mkubwa wa kupambanua mambo. Yeye anasubiri Watanzania mpaka wamzomee ndiyo aamini kwamba utendaji wake ulijaa ufisadi wa kutisha.
Kahusika na kufanya biasha Ikulu hadi leo hajatwambia Watanzania biashara hiyo alifanya na nani na ilikuwa ni biashara ya nini. Alilazimisha kununua Rada ambayo sasa imejulikana kwamba ununuzi ule ulijaa ufisadi wa hali ya juu.
Alilazimisha kuwaingiza makaburu wa Net Group Problems pale TANESCO pamoja na Watanzania kuwapinga na hakuna chochote walichokifanya pamoja na kulipwa mabilioni.
Miezi michache kabla ya kumaliza muda wake mabilioni chungu nzima yalichotwa kupitia EPA, Meremeta na Mwananchi Gold. Alilazimisha kuuza nyumba za Serikali kwa bei ya kutupa uamuzi ambao umeliingizia Taifa hasara ya shilingi bilioni 200.
Alilazimisha kununua ndege ya Rais kupitia yule yule wakala wa Rada akiwa amebakisha miezi mitatu tu kumaliza awamu yake na ndege yenyewe sasa hivi iko juu ya mawe.
Alisaini mikataba ya kuchimba dhahabu ambayo haina maslahi na nchi yetu ambayo tunaambulia 3% tu ya mapato yote. Aliiba Kiwira yenye thamani ya shilingi bilioni 7 na kujiuzia kwa shilingi milioni 700 na kulipa shilingi 70 milioni tu.
Kachukua mkopo NSSF wa shilingi bilioni 7 ambao hadi leo hii hajalipa hata senti. Sera zake uwazi na ukweli ilikuwa ni changa la macho tu. Sasa sijui anazungumzia utendaji gani alioufanya ambao unastahili sifa toka kwa Watanzania. Mtu mzima..........
Cha msingi tusihukumu, mimi nimeangalia pamoja na mabaya aliyotenda lakini ametenda azuri mengi sana. Wengi waliopo madarakani hawawezi kuwa perfect 100%. Wewe mwenyewe jiangalie je uko perfect 100%? Mimi nawaeleza mkapa alifanya kazi yake vizuri sana. Kuzomewa sio tatizo hata malaika wanazomewaga na shetani. Sure I'm tell you guys, historia itahukumu, jamaa alichapa mzigo kweli kweli. Sasa tumezongumzia mabaya tu mbona mazuri hatuyasemi? Au dhamira yetu inatusuta? Unajua watu tusizungumze kwa kusikia vyombo vya habari tu, tuzungumzie pia vinavyoweza kuonekana kwa nacho pia. Tusidanganayane Mkapa alipiga mzigo sana, alikua hataki utani na kazi hata kidogo.
In the name of ''NOBODY IS PERFECT'' watu huwa wanafanya madudu hata ambayo wangeweza kuyaacha kwa kutoweka tamaa za kibinafsi mbele...............He is the greatest Prezo ever, after mwalimu, no doubt about that, nobody is perfect bwana...bravo "ankal" Ben.....,
He is the greatest Prezo ever, after mwalimu, no doubt about that, nobody is perfect bwana...bravo "ankal" Ben.....,
Yaani umesema utafikiri umeusoma moyo wa Mkapa unafikiri nini. Ufisadi unamnyima raha, apende asipende. Rekodi yake kubwa ni wizi na ufisadi utamlindaje?