Patamu hapo.....get me the popcorn!
acha ujinga na magamba yako! ulitaka isemwe lini, kila jambo lina time yake kaanzisha mwenyewe amalize yeye! acha kutetea gaidi wewe mkeshaji na ukome!
Patamu hapo.....get me the popcorn!
Hayo aliyofanyia taifa ni yepi mkuu wangu? Ku implement IMF and Word bank recommendations!! Kitu gani alibuni kama rais? Mbinu ya kutengeneza mazingira bora ya uwekezaji ndio hiyo hiyo imetumika kutuliza bila faida!!Huyu Mkapa ni fisadi wa daraja la kwanza, sawa alilifanyia taifa mengi mazuri ila kipengere za ufisadi hakisafishiki! Kiwira coal mining, Net Solution, EPA ni mshiriki mkubwa.
Yangu macho na masikio. Lakini kwa nini hii kitu isemwe muda huu?
Yangu macho na masikio. Lakini kwa nini hii kitu isemwe muda huu?
Hoya no uchaguzi aw mbunge wa Arumeru mashariki,watu wenye akili hawawezi kujeadili matatizo ya Wameru na uhusiano wa matatizo hayo na uchaguzi we mbunge mkaanza kuzua mambo yanaweza kujeadili mfarakano usiokuwa na Tina kwa taifa. Baba aw taifa aliaga dunia miaka12 iliyopita iweje muuaji apatikane tokana na uchaguzi mdogo wa Arumeru. Tusche kuchezea amani ya nchi yetu kwa yasiyokuwa na msingi.
kila jambo na wakati wake, wakati umefika ndo mana imesemwa wakati huu.Yangu macho na masikio. Lakini kwa nini hii kitu isemwe muda huu?