Amelianzisha analo hilo!!!
Haya maneno yanaweza kuwa na ukweli ndani yake kwa asilimia 80-90! Maana kama Mwalimu alimpendekeza Mkapa kuwa Rais kwa kumpigia debe kuwa ni Mr. Clean LAKINI HAMADI AKAMGEUKA MWALIMU KWA KUWA FISADI NA MUUZA NCHI BILA SHAKA lazima alikuwa na kila sababu ya kumwondolea mbali Mwalimu mwaka 1999. Mkapa kama binadamu alikuwa anajua kabisa kuwa UCHAGUZI WA MWAKA 2000 ASINGEPATA NAFASI HIYO YA KIPINDI CHA PILI KWA UOZA ALIOKUWA AMEANZA KUUFANYA NA MWALIMU AKIUONA.
Lazima Marehemu Nyerere angelimwekea pingamizi kuingia 2nd term yake kama alivyowazuia kina Lowassa na Malecela.Mkapa aliliona hili na ndiyo maana alifanya namna ya kummaliza kwa kutumia janja hiyo ya ugonjwa ambao hatuna hakika kama kweli ilikuwa ni mapenzi ya Mungu au MKONO WA MTU(Mkapa + Mwakyusa).
Tusubiri tuone hatima ya movie hii tamu.
Benjamen kaua watu wengi zaidi ya huyo mmoja kiuchumi,kwa njaa baada ya kugawa mashirika yoote kwa bei ya unga wa dona na migodi kwa mrahaba wa 3% bila kuhesabu waliofukiwa Nyamongo,wachilia mbali mambo ya Imrani,waandamanaji wa Zanzibar
Hana majibu yoyote ya maana atakoyotoa labda aende huko kwao Nanyumbu
Mkapa aliliona hili na ndiyo maana alifanya namna ya kummaliza kwa kutumia janja hiyo ya ugonjwa...(Mkapa + Mwakyusa). Tusubiri tuone hatima ya movie hii tamu.
Mkapa is "WANTED"
Huyu mzee hana washauri, au ukishastaafu unaondolewa wale washauri?
Alianza kwa kuwaita wapinzani MAKOKOTO!..wakakaa kimya!
Sasa hivi Arumeru kasema wapinzani ni wajinga sana!..alitegemea watakaa kimya!
Mbona hata JK hajawahi kutamka kuwa Wapinzani ni wajinga sana?..yeye anajiamini nini?..Ni freemason nini?
Akaenda mbali zaidi kwa kumpandia mtu mmoja personally, akidhani mpango wake wa kumnyonga Mwalimu kwa kutumia sumu kali ya Arsenic ulikuwa wa siri na hakuna ambaye angejua!..Aisee huyu mzee mbaya sana wakuu!
kwa kuwa tulikuwa tunahisi alifanya hivyo,
na sasa mtoto wa mwl. amesema alifanya
je atatuambia nini ili tumwelewe.
[h=3]Toxicity of Arsenic:[/h] The acute lethal dose of inorganic arsenic to humans has been estimated to be about 0.6 mg/kg/day: RAIS data . This means that for a 70 kg (150 pound) adult, a toxic dose is 42 mg or 0.042 grams. For a 20 pound child, this works out to 6 mg or 0.006 grams. For comparison, a 12 foot long 2x6 contains about 27 grams of arsenic, enough to kill more than 200 adults. Exposure to high levels of inorganic arsenic - greater than 100 ppm parts of arsenic in food or water - can also be fatal. Arsenic and arsenic compounds are known cancer-causing agents and have been implicated in lung and skin cancer and associated with birth defects. While organic arsenic (arsenic combined with carbon compounds) is less toxic it causes similar effects.Ngoja ni gugo hiyo sumu Arsenic
ili niunganishe dots.
Update:
=============
BBC - Health: Arsenic poisoning
Mkapa, umefanya maovu mengi mno kwa taifa hili la Tz!
1. Umeiba rasilimali za nchi ulizopewa uwe kama mdhamini na mtunza hazina wetu, ukajimilikisha madini na kufungua biashara Ikulu wewe mkeo na watoto wako
2. Mkapa alifanya mauaji kwa wananchi wa Pemba na Unguja Mwaka 2000 kwa maslahi madogo ya kisiasa na kutojali roho za watu. Zaidi ya hapo hakuna aliyewajibishwa na kwa dharau aliwapandisha vyeo wauaji
3. Mkapa aliua waandamanaji wa Kiislam pale mwembe chai
4. Mkapa alimtuma mramba awaambie wale nyasi ili yeye anunue ndege ya kifahari ili aishi maisha ya kifalme huku watanzania wakifa kwa njaa!
5. Mkapa aliuza nyumba za serikali ambazo zilijengwa kwa jasho la wakulima, wafanya biashara na wafanyakazi, kwa watu wachache!
6. Hili la kumuua Mwalim ni moja tu ya ukatili na roho mbaya yake kwa taifa la tz