Mkapa: Kikwete ni robot

Hata robot huwa ina mtu anayeiongoza kwa kutumia mitambo maalum (computerized devices). Kwa wenzetu wamarekani, mtu yuko Florida lakini anaongoza silaha (predator-drones) Afghanistan, Yemen, au Somalia. Nafikiri Mh. Mkapa ata-appreciate uvumilivu wa watanzania, anatakiwa kuwaeleza wananchi wa Tanzania ni nani yuko control room kumsukuma remotely JK kufanya hayo anayofanya?
 
Tunataka viwanja vya ndenge vya kimataifa Bukoba na Meli zetu mpya na siyo mitumba kama iliyotuangamiza 1995
 
Inteligensia ya Gazeti la Raia Mwema imeweka wazi kwamba, hapo nyuma Limewai kumnasa Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa akimfananisha Rais Kikwete na Robot kwa sababu ya tabia zake za kusukumia wengine malalamiko ya matatizo mbalimbali na tabia ya kutopenda kuufikirisha ubongo wake.

Miifano ya Tabia hizi za kikwete ni
1. Kuikana Ilani ya Chama chake na kudai alipewa akiwa Jangwani katika harakati zake za kukwepa sakata la Mahakama ya Kadhi.
2. Kukurupuka kuanzisha Mchakato wa Katiba Mpya wakati haikuwa Ilani ya Chama chake wakati wa Kampeni wa Uchaguzi Mkuu wala haikuwa kwenye list ya ahadi za papo kwa papo za Bajaji, Hospitali za Rufaa, Viwanja vya ndege, n.k
3. Kusign kuwa sheria miswada yenye Mapungufu, kama ule wa Sheria ya Gharama za Uchaguzi.
4. Kupelekwa kwa Waganga na Waaguzi Feki
5. Kubembea pamoja na mama yetu na watu ambao hawajui na ndio kakutana nao papo kwa papo huko Jamaica.
6. Kupayuka kwamba na yeye hamjui Mmiliki wa Dowans kwenye Mkutano wa Hadhara.
7. nk

My Take
Chadema wakiingia kwenye Mazungumzo na huyu Jamaa wanaweza kutumia hulka hii ya Jakaya kumshauri kuachia ngazi na yeye Kama Robot anaweza kuachia.

Sangara you are right! kuchekacheka kwa mwanaume kuna dalili nyingi! LOL
 
kwani uongo? hawezi kuchanganya na zake ndo maana, amezoea kutafuniwa matokeo yake anameza hadi vilivyooza!
 
mbona na nyinyi mlisema mtaandamana nchi nzima kumbe mmejifungia mkimwandikia barua huyo Rais wenu? huu pia ni udanganyifu
Sawa na kama lilivyo jina lako kweli umeanza porojo .Chadema wako tayari kulala njiani hata mwaka mzima kama si Polisi wa CCM kuwapiga na kuwadhuru .Uongo hapa ni upi sasa ? Ruhusa si umeona imenyimwa ama unatumia elimu yako ndogo na masaburi kuandika JF ?
 
Inteligensia ya Gazeti la Raia Mwema imeweka wazi kwamba, hapo nyuma Limewai kumnasa Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa akimfananisha Rais Kikwete na Robot kwa sababu ya tabia zake za kusukumia wengine malalamiko ya matatizo mbalimbali na tabia ya kutopenda kuufikirisha ubongo wake.

Miifano ya Tabia hizi za kikwete ni
1. Kuikana Ilani ya Chama chake na kudai alipewa akiwa Jangwani katika harakati zake za kukwepa sakata la Mahakama ya Kadhi.
2. Kukurupuka kuanzisha Mchakato wa Katiba Mpya wakati haikuwa Ilani ya Chama chake wakati wa Kampeni wa Uchaguzi Mkuu wala haikuwa kwenye list ya ahadi za papo kwa papo za Bajaji, Hospitali za Rufaa, Viwanja vya ndege, n.k
3. Kusign kuwa sheria miswada yenye Mapungufu, kama ule wa Sheria ya Gharama za Uchaguzi.
4. Kupelekwa kwa Waganga na Waaguzi Feki
5. Kubembea pamoja na mama yetu na watu ambao hawajui na ndio kakutana nao papo kwa papo huko Jamaica.
6. Kupayuka kwamba na yeye hamjui Mmiliki wa Dowans kwenye Mkutano wa Hadhara.
7. nk

My Take
Chadema wakiingia kwenye Mazungumzo na huyu Jamaa wanaweza kutumia hulka hii ya Jakaya kumshauri kuachia ngazi na yeye Kama Robot anaweza kuachia.

Lingine ni kutukatisha tamaa Wananchi wake wakati alipoulizwa kwanini Tanzania ni masikini alijibu namnukuu "Hata mimi sijui kwanini Tanzania ni masikini kiasi hiki" Mwisho wa kunukuu. Huyu sii makini japo ni msika fimbo wetu
 
View attachment 41993
Hii ahadi kajitahidi kutimiza, hongera Dr Dr Dr Dr Dr Kikwete.
Acha umasikini wa mawazo kama siyo akili, unafikiri hizi bajaji ni sawa kwa mama mjamzito? hususani kwa hizi barabra zetu.
hizi zinafaa kwa barabara za lami tu na siyo vijijini. na kwenye shida zaidi ni vijijini na siyo mjini.
Naongea kama mwanamke ambaye nilishakuwa na hali hiyo(mimba), mfano barabara ya makoka tu mgonjwa atjifungulia njiani.
huku ni kucheza na maisha ya watu
 
Acha umasikini wa mawazo kama siyo akili, unafikiri hizi bajaji ni sawa kwa mama mjamzito? hususani kwa hizi barabra zetu.
hizi zinafaa kwa barabara za lami tu na siyo vijijini. na kwenye shida zaidi ni vijijini na siyo mjini.
Naongea kama mwanamke ambaye nilishakuwa na hali hiyo(mimba), mfano barabara ya makoka tu mgonjwa atjifungulia njiani.
huku ni kucheza na maisha ya watu

Tafadhali, read his comment between the lines. Why becoming so angry? What is wrong with him?
 
Back
Top Bottom