huh!?
Unatumia na matusi katika ukumbi wetu mwanana!? Moderators hebu mfungieni huyu kijana aliyekosa adabu.
Wewe mbona unakuwa na mtindio wa ubongo!Ukiambiwa utaje matusi utayaweka hayo.
Iwekwe wazi kama hapa ni mahala pa kuungana kwa jambo lolote kuhusu mtu fulani anaye dhaniwa kuwa mwovu bila kujali lina sound vipi.And you bubu sijui kiziwi don't be biased ,matusi na kuua lipi ni baya zaidi ya jingine ?unaweza kubadili maneno yawe matusi na kusema mutu afungiwe ,ila aliyetoa wazo la mimi kuning'inizwa jiwe kutoswa baharini hujamuona.By the way kwangu hajanishtua najua ni domo lake tu she can't get in my way.Ila wewe kwa kuwa uko baised hujaliona.
Sasa mtu anasema Mkapa atoroka sijuhi na pumba nyingine inahusu nini?Watu wanakuja mkuku na madongo eti waonekane eti wana uchungu,Damn !niambie jambo ambalo kweli ntaona baya kuhusu mtu sio kutoroka sherehe au kutokwenda ...inaingizia nini taifa au inapunguzia nini,wako watu ambao ni must go viongozi active kwa sasa.
Kwa kifupi hii thread "Mkapa 'Atoroka' Sherehe za muungano"ni pumba kama mnao penda kuongeza idadi ya post kazi kwenu.