Ben Kichwa...Amewahi kusuluhisha mgogoro gani?.
The Devil you know is better than the Angel you don't know! Kwangu mimi is an Angel I don't know, so namkubali Ben, pamoja na mapungufu yake lakini aliiacha TZ na uchumi wenye muelekeo! Thumb Up Ben!
Noo mkuu wangu aliyesimamisha usuluhisho huo alikuwa Kofi Anan, Mkapa na JK walishiriki kama wajumbe tu kama walivyokuwa viongozi wengineo....Ule wa Wajaluo na wakikiyu kule kenya!!
Noo mkuu wangu aliyesimamisha usuluhisho huo alikuwa Kofi Anan, Mkapa na JK walishiriki kama wajumbe tu kama walivyokuwa viongozi wengineo....
Genocide ya Rwanda ilianza mwishoni wa mwaka 1994..Kufikia 1995 Mkapa akiwa madarakani mauaji yalifikia peak na hakufanya kitu zaidi ya kutazama tu.. If he was than good angeweza kuyasimamisha mauaji ya Rwanda hata ikibidi kupeleka majeshi huko kama alivyofanya JK Comoro..Baada ya Rwanda tukaona Burundi na Kongo huyu kichwa chenu akitazama tu...
Mkandara said:Noo mkuu wangu aliyesimamisha usuluhisho huo alikuwa Kofi Anan, Mkapa na JK walishiriki kama wajumbe tu kama walivyokuwa viongozi wengineo....
Genocide ya Rwanda ilianza mwishoni wa mwaka 1994..Kufikia 1995 Mkapa akiwa madarakani mauaji yalifikia peak na hakufanya kitu zaidi ya kutazama tu.. If he was than good angeweza kuyasimamisha mauaji ya Rwanda hata ikibidi kupeleka majeshi huko kama alivyofanya JK Comoro..Baada ya Rwanda tukaona Burundi na Kongo huyu kichwa chenu akitazama tu...
Mwelekeo gani ambao Mkapa alituachia? Sekta ya Madini yote ilishaenda na maji kwa wazungu, mashirika ambayo yaliuzwa chini ya uongozi wake yote yalienda bure na kurekebisha TANESCO ilikuwa kasheshe. Bado akaona haitoshi akaamua kujipa KIWIRA na kujitengenezea mkataba wa kuzalisha umeme na kuuza TANESCO.
Ukiangalia figures kwenye vitabu utaambiwa uchumi wa Tanzania ulikuwa unakuwa sijui kwa wastani wa asilimia 6 au 7 wakati ya Mkapa, lakini ukijiuliza huo uchumi ulikuwa unasawaidia vipi wananchi wa kawaida? Hupati jibu la kueleweka, sana sana matajiri walizidi kuwa matajiri zaidi na walalahoi wakazidi kuwa hoi zaidi.
Ukichukua definition ya GDP ambayo ndio tunatumia kupima kukua kwa uchumi, wanaangalia thamani ya bidhaa na huduma zilizozalishwa ndani ya eneo la nchi bila kujali nani anamiliki. Ukiangalia kwenye sekta ya madini more than 80% ya kilichokuwa kinazalishwa kilikuwa kinaenda nje kwa wawekezaji, na hiyo kidogo ndo inabaki Tanzania kulipa mishahara ya wabongo ambayo ni midogo (hakuna multiplier effect), then mrahaba na bado kodi hawalipi na hata kodi ya mafuta mazito nayo hawalipi.
Ukija kwenye sekta ya utalii ndo balaa, huko wamejaa majambazi waliomilikishwa vitalu vya uwindaji kwa bei poa na hela zote wanazipleka nje. Over 50% ya wamiliki wa vitalu ni foreigners, hakuna kinachobaki. Njoo kwenye mahoteli ya kitalii, watalii wakija walishalipia kila kitu huko huko majuu, wakitua Tanzania wanaishia kununua vinyago vya dollar 20 ambazo hazina manufaa kwa mlalahoi. Hata vyakula vinavyouzwa kwenye hizo hoteli za kitalii vinaagizwa toka nje, tunaambiwa vyakula vyetu haviko kwenye viwango vinavyotakiwa! Matokeo yake sekta ya utalii haimsaidii mwananchi wa kawaida with exception of the employees ambao mishahara yao ni siri yao kwa jinsi ilivyo midogo.
Baada ya hapo unaenda kwenye sekta ya huduma za taasisi za fedha, nao wanachangia kiasi, lakini sehemu kubwa ya mapato wanapeleka kwenye makao makuu yao.
Viwanda angalau unaweza kusema vinatoa ajira, lakini angalia mishahara yake ilivyo midogo, mtu anafanyishwa kazi masaa 10 - 12 kwa siku na bado analipwa mshahara ambao uko less than kima cha chini, hapa ninawaongelea akina Urafiki.
Sekta pekee ya kumsaidia mwananchi wa kawaida ni Kilimo ambayo serikali imeitelekeza na kuwaachia wababaishaji wanaojiita makampuni ya kununua mazao. Pembejeo wanauza kwa bei mbaya, ikifika wakati wa kununua mazao wananunua kwa bei ya chini. Mfano ni kahawa, ukiwa Karagwe bei ni mbaya sana, ukivuka mpaka na kuingia Uganda unakutana na bei nzuri. Jiulize, waganda wanapata wapi soko zuri la Kahawa ambalo wanunuzi wa Tanzania hawawezi kwenda kuuza? Hali iko hivyo kwenye zao la tumbaku na mazao mengineyo. Hii sekta ndo ina ajiri zaidi ya 80% ya wananchi na inachangia pato la taifa kwa wastani wa 50%.
Sasa mkuu Kilembwe niambie huo mwelekeo wa uchumi aliotuachia Mkapa ni upi? Kutuachia EPA? Kutuachia Twin Towers? Kutuibia Kiwira na baadaye akairudisha na nina mashaka atafidiwa wakati haku-invest chochote. Kuuza nyumba za serikali ili Kikwete akija aanze kujenga nyumba nyingine ambayo ni burden nyingine. Mimi nilidhani walipouza nyumba walikuwa wanaachana na habari ya ku-provide nyumba kwa viongozi wa serikali. Last time tumelia hapa kwamba Sitta anakaa kwenye nyumba ya kupanga ambayo ni ya bei mbaya sana. Lakini ndiyo mavuno ya huyo mpendwa wenu Mkapa.
Hali mbaya tunayoiona kwenye hizi zama za Kikwete ni matokeo ya sera mbovu za Mkapa. Kikwete alipoingia aliahidi kubadilisha kila kitu, lakini yako wapi? Kila anapogusa anakuta pamefungwa. Alisema atarudisha nyumba zilizouzwa, ziko wapi? Alisema atapitia mikataba yote ya madini, kiko wapi? Alisema atadai chenji ya Radar, mpaka leo yuko kimya.
Mkapa alifanya damage kubwa sana kiuchumi na ndio maana mkwere amefika mahali anakosa majibu ya ahadi zake za kurekebisha kasoro zote alizokuwa anaziona kwamba zinaweza kurekebishika. Huyu Mkapa ndo unasema aliacha uchumi unamwelekeo? May be ulikuwa na mwelekeo kwa akina Karamagi, Malegesi, Chenge, RA, Patel na wengineo waliotafuna hela za EPA, Radar, Ndege ya Rais, na mikataba ya kifisadi kama TICTS, na kuiuza ATC kwa makaburu.
Hitimisho langu ni hili: Mkapa aliacha Tanzania ikiwa na uchumi wenyewe mwelekeo kwenye makaratasi na vitabu, lakini kwenye hali halisi aliacha damage kubwa na ndiyo maana sasa tunasema hali ni ngumu ni kwa sababu ya madudu aliyoyaacha Mkapa na hasa aliyoyafanya ngwe ya pili ya lala salama. Endeleeni kumsifia na kumpigia debe kwamba alirekebisha uchumi.
Noo mkuu wangu aliyesimamisha usuluhisho huo alikuwa Kofi Anan, Mkapa na JK walishiriki kama wajumbe tu kama walivyokuwa viongozi wengineo....
...
Acha upumbavu wewe! umetumwa hapa kuja kumpigia debe Mkapa? Tofauti ya Mwalimu na Mkapa, Mwalimu hakuwa mwizi wala mroho wa utajiri. Mkapa kafanya makosa mangapi? Hebu yahesabu kisha utwambie kama kweli aliingia madarakani ili kulinda maslahi ya nchi ama kujitajirisha
Ben Kichwa...Amewahi kusuluhisha mgogoro gani?.
Duh! yaani mkuu wangu tunarudia ubishi uleee tulokuwa nao miaka ileeeee..Mkapa hana kitu mkuu wangu Yusuph Lule aliwekwa na Nyerere kama alivyowekwa Bina Issa, Obote na hata Museveni. Kifupi binafsi naamini hata marais wa Rwanda, Burundi na Kongo wote ni wateule wa Mwalimu kama alivyomweka Mkapa mwenyewe madarakani Tanzania.Mkandara,
..Mkapa alifanya kazi kubwa sana ya kusimamia mazungumzo ya Waganda kule Moshi na kupelekea kuundwa kwa serikali ya muda ya Uganda iliyoongozwa na Prof.Yussuf Kironde Lule.
..Genocide ya Rwanda ilianza April 1994 wakati huo Raisi akiwa Mwinyi, Waziri Mkuu John Malecela, na Waziri wa Mambo ya Nje Ahmed Hassan Diria. Genocide ilidumu kwa siku 100 na baada ya hapo RPF wakachukua madaraka. Ben Mkapa[waziri wa sayansi na teknolojia] wakati huo hakuwa ktk nafasi yoyote ile ya kuweza kuwasuluhisha na kuepusha genocide ile.
..infact, serikali ya Mzee Mwinyi ilifanya juhudi kubwa sana kutatua mgogoro Rwanda, na hata ule wa Burundi, tatizo ni kwamba wenye mgogoro wenyewe hawakuwa na nia ya dhati ya kupatana. mara nyingi walikuwa wanatumia mazungumzo ya amani kama nafasi ya kuvuta pumzi na kujipanga upya.
..ushiriki na mchango wa Mkapa ktk mazungumzo ya amani ulikuwa mkubwa kuliko wa Raisi Kikwete. muda wote wa mazungumzo Mkapa alikuwa bega kwa bega na Koffi Annan. it took a combination of Koffi Annan's international status ang gravitas, and Mkapa's knowledge about the background and "intricacies" of Kenyan politics, kuweza kusuluhisha mgogoro ule. Kenya wameanzisha nafasi ya Waziri Mkuu mwenye mamlaka kama ya Waziri Mkuu wa Tanzania na suala hili tunaweza kabisa ku-speculate kwamba inawezekana lilitokana na mapendekezo ya Mkapa.
..Mkapa ana mapungufu yake ya kimaadili na kiutendaji lakini haya masuala ya kimataifa-taifa ndiyo anayoyaweza haswa. kwa maoni yangu anastahili nafasi aliyoteuliwa.
Kama kawaida ya Watanzania na upumbavu wao. Mitanzania ndivyo ilivyo! Mara tu wanampigia debe Mkapa pamoja na makosa yake chungu nzima aliyoyafanya. Mkapa kichwa! angekuwa kichwa angefanya upumbavu alioufanya akiwa Ikulu? Kweli Miafrika ndivyo ilivyo!
Ule wa Wajaluo na wakikiyu kule kenya!!
Mkuu hakuna mtu anayempima Mkapa kwa kumlinganisha na JK.. Hakuna mashindano baina ya JK na Mkapa, isipokupowa tunapinga sifa anazopewa Mkapa..mbona huyu aliyepo anaendelea kufanya upumbavu kwani nini kimefanyika....
Hofstede said:Na ule wa wapemba na waunguja kwa kuwatwanga risasi watu 30 na kupandisha vyeo waliowaua rai wasio na hatia, ule wa mwembe chai kwa kutwanga risasi waliokuwa wanatupa mawe n.k.
mwelekeo gani ambao mkapa alituachia? Sekta ya madini yote ilishaenda na maji kwa wazungu, mashirika ambayo yaliuzwa chini ya uongozi wake yote yalienda bure na kurekebisha tanesco ilikuwa kasheshe. Bado akaona haitoshi akaamua kujipa kiwira na kujitengenezea mkataba wa kuzalisha umeme na kuuza tanesco.
Ukiangalia figures kwenye vitabu utaambiwa uchumi wa tanzania ulikuwa unakuwa sijui kwa wastani wa asilimia 6 au 7 wakati ya mkapa, lakini ukijiuliza huo uchumi ulikuwa unasawaidia vipi wananchi wa kawaida? Hupati jibu la kueleweka, sana sana matajiri walizidi kuwa matajiri zaidi na walalahoi wakazidi kuwa hoi zaidi.
Ukichukua definition ya gdp ambayo ndio tunatumia kupima kukua kwa uchumi, wanaangalia thamani ya bidhaa na huduma zilizozalishwa ndani ya eneo la nchi bila kujali nani anamiliki. Ukiangalia kwenye sekta ya madini more than 80% ya kilichokuwa kinazalishwa kilikuwa kinaenda nje kwa wawekezaji, na hiyo kidogo ndo inabaki tanzania kulipa mishahara ya wabongo ambayo ni midogo (hakuna multiplier effect), then mrahaba na bado kodi hawalipi na hata kodi ya mafuta mazito nayo hawalipi.
Ukija kwenye sekta ya utalii ndo balaa, huko wamejaa majambazi waliomilikishwa vitalu vya uwindaji kwa bei poa na hela zote wanazipleka nje. Over 50% ya wamiliki wa vitalu ni foreigners, hakuna kinachobaki. Njoo kwenye mahoteli ya kitalii, watalii wakija walishalipia kila kitu huko huko majuu, wakitua tanzania wanaishia kununua vinyago vya dollar 20 ambazo hazina manufaa kwa mlalahoi. Hata vyakula vinavyouzwa kwenye hizo hoteli za kitalii vinaagizwa toka nje, tunaambiwa vyakula vyetu haviko kwenye viwango vinavyotakiwa! Matokeo yake sekta ya utalii haimsaidii mwananchi wa kawaida with exception of the employees ambao mishahara yao ni siri yao kwa jinsi ilivyo midogo.
Baada ya hapo unaenda kwenye sekta ya huduma za taasisi za fedha, nao wanachangia kiasi, lakini sehemu kubwa ya mapato wanapeleka kwenye makao makuu yao.
Viwanda angalau unaweza kusema vinatoa ajira, lakini angalia mishahara yake ilivyo midogo, mtu anafanyishwa kazi masaa 10 - 12 kwa siku na bado analipwa mshahara ambao uko less than kima cha chini, hapa ninawaongelea akina urafiki.
Sekta pekee ya kumsaidia mwananchi wa kawaida ni kilimo ambayo serikali imeitelekeza na kuwaachia wababaishaji wanaojiita makampuni ya kununua mazao. Pembejeo wanauza kwa bei mbaya, ikifika wakati wa kununua mazao wananunua kwa bei ya chini. Mfano ni kahawa, ukiwa karagwe bei ni mbaya sana, ukivuka mpaka na kuingia uganda unakutana na bei nzuri. Jiulize, waganda wanapata wapi soko zuri la kahawa ambalo wanunuzi wa tanzania hawawezi kwenda kuuza? Hali iko hivyo kwenye zao la tumbaku na mazao mengineyo. Hii sekta ndo ina ajiri zaidi ya 80% ya wananchi na inachangia pato la taifa kwa wastani wa 50%.
Sasa mkuu kilembwe niambie huo mwelekeo wa uchumi aliotuachia mkapa ni upi? Kutuachia epa? Kutuachia twin towers? Kutuibia kiwira na baadaye akairudisha na nina mashaka atafidiwa wakati haku-invest chochote. Kuuza nyumba za serikali ili kikwete akija aanze kujenga nyumba nyingine ambayo ni burden nyingine. Mimi nilidhani walipouza nyumba walikuwa wanaachana na habari ya ku-provide nyumba kwa viongozi wa serikali. Last time tumelia hapa kwamba sitta anakaa kwenye nyumba ya kupanga ambayo ni ya bei mbaya sana. Lakini ndiyo mavuno ya huyo mpendwa wenu mkapa.
Hali mbaya tunayoiona kwenye hizi zama za kikwete ni matokeo ya sera mbovu za mkapa. Kikwete alipoingia aliahidi kubadilisha kila kitu, lakini yako wapi? Kila anapogusa anakuta pamefungwa. Alisema atarudisha nyumba zilizouzwa, ziko wapi? Alisema atapitia mikataba yote ya madini, kiko wapi? Alisema atadai chenji ya radar, mpaka leo yuko kimya.
Mkapa alifanya damage kubwa sana kiuchumi na ndio maana mkwere amefika mahali anakosa majibu ya ahadi zake za kurekebisha kasoro zote alizokuwa anaziona kwamba zinaweza kurekebishika. Huyu mkapa ndo unasema aliacha uchumi unamwelekeo? May be ulikuwa na mwelekeo kwa akina karamagi, malegesi, chenge, ra, patel na wengineo waliotafuna hela za epa, radar, ndege ya rais, na mikataba ya kifisadi kama ticts, na kuiuza atc kwa makaburu.
Hitimisho langu ni hili: Mkapa aliacha tanzania ikiwa na uchumi wenyewe mwelekeo kwenye makaratasi na vitabu, lakini kwenye hali halisi aliacha damage kubwa na ndiyo maana sasa tunasema hali ni ngumu ni kwa sababu ya madudu aliyoyaacha mkapa na hasa aliyoyafanya ngwe ya pili ya lala salama. Endeleeni kumsifia na kumpigia debe kwamba alirekebisha uchumi.