Katiba mpya chini ya mkuu wa nchi haitaingizwa kinga ya raisi, hiyo tukate tamaa, kuweka kipengele hicho ni sawa na kumwambia mkulo afanye suicide!!! Tuvumilie CDM tutakapo chukua nchi tutaiandika katiba ya kudumu na kipengele hicho tutakiingiza. Hii katiba ya sasa hivi ni ya viraka tu!!! Katiba gani ambayo hairuhusu kujadili Muungano!!!???napendekeza katiba mpya waondoe kinga ya rais kutoshtakiwa
Mkapa:
Kwangu issue ya kodi ya Italy ni yao, sisi tulitaka jengo na tulipata.
Hadi nsataafu hakukua na malalamiko toka Wizara ya nje wala yeyote, na nilienda kufungua jengo, sijaambiwa nisijihusishe na hilo jambo, ila imetokea baada ya mimi kustaafu!
Nikiwa raisi, ntawekeza zaidi kwenye magereza kuliko shule.
Nimegundua, siwezi rudi shule ila naweza enda gerezani.
Mahalu ni rafiki yake mkapa sana,tangu udsm!huenda hili dili wamekula pamoja
Nikiwa raisi, ntawekeza zaidi kwenye magereza kuliko shule.
Nimegundua, siwezi rudi shule ila naweza enda gerezani.
Kwani ni kesi ya madai au kesi ya jinai? tuanzie hapo