Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
tumia neno lolote unaloona linakufaa kuondosha heshima yangu ila tetea hoja! Tatizo lenu mnatumia fimbo kuwachapa wenzenu kwa makosa fulani, fimbo hiyo hiyo ikitumika kuwachapa nyie kwa makosa yale yale, mnaona mwaonewa na maneno meeengi!
acha kulia lia, jibu hoja. Kama huna hoja tulia tuliiiii!