Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,329
- 92,596
Asichofahamu huyo Pimbi ni kwamba Baba wa Taifa jina lake lilikuwa ni Julius, sasa ukiingiza jina Nyerere linajumuisha wote waliozaliwa na Mzee Nyerere, Mkapa angekuwa sahihi kama angesema Vicent sio mtoto wa Julius kambarage Nyerere, lakini hata kama angesema hivyo hili lina tija gani kwa wana Arumeru ambao wameporwa ardhi zao? hukumu ya CCM ni kuwanyima kura tu basi.HAKUSEMA familia ja JKN Alisema familia ya Nyerere na kwa maana hiyo yako hata Akina Madaraka sio familia ya Nyerere pia....