Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,732
Ndugu wanajamvi.........kama mmefuatilia kwa makini sasa hivi CCM wanafanya kazi kwa kupingana na habari na maoni ya wapinzani na watu wengine ambao wanagundua mipango yao kabla hawajaitoa kwa wananchi. Labda niwakumbushe machache ya hivi karibuni.
>Kikwete baada ya kuongea na madaktari mgomo ukaisha, vyombo vya habari na watu walesema kuwa Kikwete hatakuwa na haja ya kukutana na wazee kwa maana mgogoro umeisha..........baada ya hapo ilimlazimu Mkuu wa Mkoa wa DSM kuongea na vyombo vya habari kukanusha uvumi huo na kueleza kuwa kikao kingekuwepo kana kwamba kulikuwa na jambo jipya. Hivyo tukaona wazee wanaitwa na JK kaeleza yaleyale ya Madaktari.
>Jambo la pili ni pale vyombo vya habari vilipoandika kuwa Mkapa ameweka masharti na kusema kuwa hataenda Arusha mpaka kasoro zilizokuwepo zitatuliwe, Mkapa hakukanusha kuwa hamna kasoro......bali alikuja na kusema kuwa wapinzani wazushi na wajinga kwani yeye ni lazima aje kuetetea chama kwa kusahau kuwa wadhifa aliokuwa nao alikuwa Rais wa wananchi wote. Hii kwa mara nyingine liliwakimbiza kukanusha kinachosemwa.
Hivyo hali halisi na ukweli ulivyokuwa ni kuwa kweli Mzee Mkapa hakuwa tayari kwenda kujichafua Arusha maana baadhi ya tuhuma zilzoelekezwa CCM kuhusu rushwa na Migogoro ya makundi.zilikuwa kweli na wengine walikuwa wameshahojiwa na serikali.
Ili CCM waendeleze kupingana na mambo yao yanayovuja kujulikana kabla, Mzee Makapa akshikiwa bango aje Arusha ii ionekane sio kweli kuwa kinachosmwa si cha kweli.
Sasa ili kuwakomesha CCM kaamua kuharibu kwa kashfa zake kibao....na kashfa kwa Vicenti Nyerere..kuwa si mwana familia wakati pale Baba yake Vicenti nyerere alipokufa, Mkapa ndiye aliyepeleka fedha za rambirambi na Kumkabidhi Vicenti kwa niaba ya Serikali fedha ambazo zilitumiwa kukanilisha ujenzi wa kaburi la marehemu( Kwa mujibu wa Vicenti Nyerere Mwenyewe : Mtanzania la leo)
Baada ya kuharibu namna hii ikawa kama onyo kwa CCM kuwa wasimlazimishe siku nyingine kwenda asipopataka......kwa sababu ya kukanusha habari zao zilizovuja. Mkapa alichofanya ni Passive resistance. Kwa hili itakuwa ngumu siku nyingine kumsimamisha mzee Ben kufungua kampeni.
Lakini kama ilivyokawaida yao kusoma JF na kuanza kukanusha maana tayari.......wanaelewa kuwa watu wengi sana wanasoma JF habari wakiwemo watu wa Lowassa na wengine, CCM wanaweza kumsimamisha tena mzee Mkapa afungue kampeni mahala pengine ili kupinga habari hii hii niliyowaelezea kuwa kawakomesha indirectly ili wasimlazimishe siku nyingine.
Ni ngumu kama mtu hujanywa viroba vya regency au vodka kumpa mtu rambirambi tena kwa mkono wako mtu aliyefiwa na baba yake kisha useme......anajipendekeza si mwana ukoo.........na wakati huohuo wewe ni mwanaukoo wa heshima wa ukoo huo!!!!
>Kikwete baada ya kuongea na madaktari mgomo ukaisha, vyombo vya habari na watu walesema kuwa Kikwete hatakuwa na haja ya kukutana na wazee kwa maana mgogoro umeisha..........baada ya hapo ilimlazimu Mkuu wa Mkoa wa DSM kuongea na vyombo vya habari kukanusha uvumi huo na kueleza kuwa kikao kingekuwepo kana kwamba kulikuwa na jambo jipya. Hivyo tukaona wazee wanaitwa na JK kaeleza yaleyale ya Madaktari.
>Jambo la pili ni pale vyombo vya habari vilipoandika kuwa Mkapa ameweka masharti na kusema kuwa hataenda Arusha mpaka kasoro zilizokuwepo zitatuliwe, Mkapa hakukanusha kuwa hamna kasoro......bali alikuja na kusema kuwa wapinzani wazushi na wajinga kwani yeye ni lazima aje kuetetea chama kwa kusahau kuwa wadhifa aliokuwa nao alikuwa Rais wa wananchi wote. Hii kwa mara nyingine liliwakimbiza kukanusha kinachosemwa.
Hivyo hali halisi na ukweli ulivyokuwa ni kuwa kweli Mzee Mkapa hakuwa tayari kwenda kujichafua Arusha maana baadhi ya tuhuma zilzoelekezwa CCM kuhusu rushwa na Migogoro ya makundi.zilikuwa kweli na wengine walikuwa wameshahojiwa na serikali.
Ili CCM waendeleze kupingana na mambo yao yanayovuja kujulikana kabla, Mzee Makapa akshikiwa bango aje Arusha ii ionekane sio kweli kuwa kinachosmwa si cha kweli.
Sasa ili kuwakomesha CCM kaamua kuharibu kwa kashfa zake kibao....na kashfa kwa Vicenti Nyerere..kuwa si mwana familia wakati pale Baba yake Vicenti nyerere alipokufa, Mkapa ndiye aliyepeleka fedha za rambirambi na Kumkabidhi Vicenti kwa niaba ya Serikali fedha ambazo zilitumiwa kukanilisha ujenzi wa kaburi la marehemu( Kwa mujibu wa Vicenti Nyerere Mwenyewe : Mtanzania la leo)
Baada ya kuharibu namna hii ikawa kama onyo kwa CCM kuwa wasimlazimishe siku nyingine kwenda asipopataka......kwa sababu ya kukanusha habari zao zilizovuja. Mkapa alichofanya ni Passive resistance. Kwa hili itakuwa ngumu siku nyingine kumsimamisha mzee Ben kufungua kampeni.
Lakini kama ilivyokawaida yao kusoma JF na kuanza kukanusha maana tayari.......wanaelewa kuwa watu wengi sana wanasoma JF habari wakiwemo watu wa Lowassa na wengine, CCM wanaweza kumsimamisha tena mzee Mkapa afungue kampeni mahala pengine ili kupinga habari hii hii niliyowaelezea kuwa kawakomesha indirectly ili wasimlazimishe siku nyingine.
Ni ngumu kama mtu hujanywa viroba vya regency au vodka kumpa mtu rambirambi tena kwa mkono wako mtu aliyefiwa na baba yake kisha useme......anajipendekeza si mwana ukoo.........na wakati huohuo wewe ni mwanaukoo wa heshima wa ukoo huo!!!!