Mkapa ainanga serikali ya Kikwete

tatizo kuwachukulia hawa kina NAPE masiala kumbe wanatutumbukiza kwenye shimo la kinyesi si wa kuwachekea hawa mbuzi ikiwa madini,milima,misitu ardhi yenye rutuba bado tunaomba. Akili ya kujipaka carolite bakii na akili ya kulikomboa taifa baki yani vilongwa mbali vitendwa mbali. Mi naona bora tuvunje hivyo hivyo rekod ya kuombaomba kwa uzembe wenu kina mkapa na wenzenu mkapa si alisema ana imani na kikwete huyu?
 
Du mkuu naona hujataka hata kumumunya neno moja. Hongera!
Real nimeipenda sana hii. Kweli watu wanavua gamba kimyakimya. W Malecela kama siyo hasira za EA, hongera sana. Huya mkapa huwa naomba Mungu asimchukue ili aje anyogwe
 
Akizungumza katika mkutano wa Mkapa HIV Foundation, kasema lazima taifa hili lijiheshimu na lirudishe heshima yake kwa kutumia sera yake ya kujitegemea.

Kasema kasoma makala fulani kupitia laptop yake kuwa Tanzania ni ya tatu duniani kwa kuomba ikitanguliwa na Afghanistan na Irak.


Maoni yangu:
Kiukweli hii ni aibu kwa serikali ya 'handsome' boy kuomba hivyo. Hivi Tanzania tangu vita ya nduli hadi leo ndo imetuathiri kiasi hiki? Akina irak tunawasamehe kwa madhila waliyopitia. Tanzania umepitia madhila gani? Hii ni aibu kwa JK.

Chanzo: ITV NEWS

Mkapa is the last person to decry Kikwete's incompetences..

He and his cronies knew how bogus JK was and yet they twisted rules for him to win the nominations ahead of Prof Mwandosya, who is a technocrat and could have been a far better President for Tanzania at this juncture of our history...

Mkapa expected all this B.S, and he had a chance to save TZ from this, instead he chose to save himself and his wealth

Sasa alichokua anakiogopa kitamkuta tu 2015 ila katika mikono mingine ......
 
Tusilalame, Katina haityuruhusu kumshitaki rais Wala kuhoji maamuzi yake, kanakwamba si mfanyakazi wetu! Kwani jamani. Manager anaweza kumdharau Mwana hisa wa ka kampuni, iweje raisi. awe na uwezao huo? Wana hisa si ndo wenye maamuzi ya mwisho j ya maamuziyanayohusu nchi yetu, tu aruhusa kikatiba kuandamana kupinga Haya!

katina, pole hizi b na n zipo karibu mno.
 
Baada ya maovu yote aliyotufanyia hili taifa ikiwa ni pamoja na kutuwekea serikali ya sasa, bado ana ubavu wa kuongea! Only in Tanzania.

SURE.....naye si juzi tu alikuwa anaomba msaada kwa shirika lao na clinton kupitia migongo ya watanzania.....amekuwa president for ten years akashindwa kuweka mikakati endelevu ya japo hiyo foundation..................aaaaargh si tuliambiwa tumwache apumzike kwa amani sasa mbona hapumziki?????
 
Kumzungumzia Huyu mswahili wa Msoga ni kupoteza muda tu, kwani udhaifu wake wa kiuongozi hata wale malaya wauza uchi pale Jolly club wanaujuwa. nchi ni kama haina Rais.



Poverty is spreading
Tanzania is among the world's least developed countries, ranking 128th out of a total of 169 countries in the 2010 human development index.[3] Real Gross Domestic Product (GDP) grew by 6.0% in 2009 compared to 7.4% in 2008, a slowdown attributed by the Government to the impact of the global financial crisis as well as the 2008–09 drought, which affected agricultural production, hydro power generation and industrial production.[4] Moreover, although agriculture employs a huge number of people in Tanzania, for at least six years no more than 7% of the entire national budget has been allocated for that purpose. According to the 2007 House Budget Survey, about 33.6% of mainland Tanzanians live below the basic needs poverty line, while 16.6% live below the food poverty line.[5] The number of poor people has increased in recent years by 1.3 million,[6] and the rate of unemployment is rising: about 11.7 million people who are able to work are unemployed.[7] Moreover, the gap between the poor and the rich is getting wider.[8]
Although Tanzania has legislation on investment issues, there are a number of problems relating to foreign direct investment. This is the case, for example, with the signing of dubious mining contracts (e.g., Buzwagi, Richmond and Dowans, and IPTL) between the Government and foreign investors.[9] Also, land grabbing by State bodies in favour of foreign investors is on the rise. The open door policy of the Tanzania Investment Centre (TIC), which is committed to attracting foreign investors, has been detrimental to local people. Small and medium-sized enterprises are unable to compete because they do not have enough capital and business expertise, while villagers are forcefully evicted to make room for foreign enterprises.

got it here

Stuck in poverty | Social Watch

hapo kwenye rangi nyekundu hapo!!!! lakini watu na CCM busy kudanganywa JANGWANI NA KATIKA MAJUKWAA! IT IS HIGH TIME THAT CCM MUST GOO AND GO now! 2015 IS TOO FAR AND SOMETIMES NINAWASHANGAA MNO WASOMI WALIOMO HUMU KUENDELEZEA UNAFIKI WAO WA KUJALI MASLAHI YAO NA YA NDUGU ZAO KWA KUTOKIRI KUWA CCM IMEPOTEA KATIKA MALENGO YAKE YA AWALI!
 
Tz ni ya kwanza Africa kwa kuomba omba meanwhile ni ya tatu Africa kwa uchimbaji wa Gold.
Nikifanya comparative analysis apa kichwa chauma.
Maana ni kheri wangesema ni ya tatu kwa uchimbai wa mchanga but Gold?Leave alone madini mengine Diamond,Tanzanite na bado tunaikimbilia laana ya Oil and Gas.
Mola tuepushe na ili balaa!
Enlighten our leader to do away with the CURSE we are right now!
 
Anaongea upepo kabisa,yeye na magamba wenzio ndio wamesababisha tuwe omba omba.

Bora akae kimya kabisa.
 
Mkapa ni hopeless. Amesahau uhuni alioufanya ikulu. Kufanya biashara akiwa ikulu yeye na mke wake. Akae kimya asitukumbushe uhuni alioufanya yeye na Mramba.

...na yy anaongea nn,wakati yy ndo wa kwanza kuleta haya madudu kwa njia ya wawekezaji!nyambafffffffff
 
heheheeee,Mpendazoe, alipokuwa anaongea na kupiga kelele bungeni watu walimuona mjinga!haya ss!...wadanganyika lini tutaamka jamani?aaaaaggggrrrrrr
 
Real nimeipenda sana hii. Kweli watu wanavua gamba kimyakimya. W Malecela kama siyo hasira za EA, hongera sana. Huya mkapa huwa naomba Mungu asimchukue ili aje anyogwe
kwani akinyongwa hatakuwa amechukuliwa na Mungu? Au unaongea2.
 
Poverty is spreading
Tanzania is among the world’s least developed countries, ranking 128th out of a total of 169 countries in the 2010 human development index.[3] Real Gross Domestic Product (GDP) grew by 6.0% in 2009 compared to 7.4% in 2008, a slowdown attributed by the Government to the impact of the global financial crisis as well as the 2008–09 drought, which affected agricultural production, hydro power generation and industrial production.[4] Moreover, although agriculture employs a huge number of people in Tanzania, for at least six years no more than 7% of the entire national budget has been allocated for that purpose. According to the 2007 House Budget Survey, about 33.6% of mainland Tanzanians live below the basic needs poverty line, while 16.6% live below the food poverty line.[5] The number of poor people has increased in recent years by 1.3 million,[6] and the rate of unemployment is rising: about 11.7 million people who are able to work are unemployed.[7] Moreover, the gap between the poor and the rich is getting wider.[8]
Although Tanzania has legislation on investment issues, there are a number of problems relating to foreign direct investment. This is the case, for example, with the signing of dubious mining contracts (e.g., Buzwagi, Richmond and Dowans, and IPTL) between the Government and foreign investors.[9] Also, land grabbing by State bodies in favour of foreign investors is on the rise. The open door policy of the Tanzania Investment Centre (TIC), which is committed to attracting foreign investors, has been detrimental to local people. Small and medium-sized enterprises are unable to compete because they do not have enough capital and business expertise, while villagers are forcefully evicted to make room for foreign enterprises.

got it here

Stuck in poverty | Social Watch

hapo kwenye rangi nyekundu hapo!!!! lakini watu na CCM busy kudanganywa JANGWANI NA KATIKA MAJUKWAA! IT IS HIGH TIME THAT CCM MUST GOO AND GO now! 2015 IS TOO FAR AND SOMETIMES NINAWASHANGAA MNO WASOMI WALIOMO HUMU KUENDELEZEA UNAFIKI WAO WA KUJALI MASLAHI YAO NA YA NDUGU ZAO KWA KUTOKIRI KUWA CCM IMEPOTEA KATIKA MALENGO YAKE YA AWALI!
Bado tunaambiwa kuwa safari za JK zina tija kwa taifa kwa kuwa zinaleta wawekezaji. na hapo majuzi wakati rais akialikwa na G8 anawadadavulia wazungu kuwa nchi hii ina ardhi ya kumwaga kwa ajili ya kilimo. kama tumewaita kuwekeza kwenye madini na wanatuachia mahandaki, kwenye kilimo si watatuachia jangwa?
 
Anaongea upepo kabisa,yeye na magamba wenzio ndio wamesababisha tuwe omba omba.

Bora akae kimya kabisa.

The fat-man has lost all moral authority to even tell the obvious fact like that one. It's really pitty and messy for Mkapa and CCM.
 
Mkapa ni hopeless. Amesahau uhuni alioufanya ikulu. Kufanya biashara akiwa ikulu yeye na mke wake. Akae kimya asitukumbushe uhuni alioufanya yeye na Mramba.
Weka facts. Bora mjanja kama Mkapa, wenye macho tuliona alichokifanya, sijui mwenzetu unatumia ratios gani. Endelea kulalamika
 
Bado tunaambiwa kuwa safari za JK zina tija kwa taifa kwa kuwa zinaleta wawekezaji. na hapo majuzi wakati rais akialikwa na G8 anawadadavulia wazungu kuwa nchi hii ina ardhi ya kumwaga kwa ajili ya kilimo. kama tumewaita kuwekeza kwenye madini na wanatuachia mahandaki, kwenye kilimo si watatuachia jangwa?


Nimerudia kusoma hayo maneneo has katika policy ya serikali ya tanzania juu ya kuvutia wawekezaji na juu ya grabbing ya ardhi ya wanakijiji na kuwapa wawekezaji, imeniuma saaana! Hivi ni kitu gani kinaweza fanyika kurekebisha hayo! nilikuwa ninaonge ana kijana mmoja wa spani akaniemBIA NI vema kufuta sisa kama zile za viongozi wa amerika ya kusini! na hilo linatakliwa KUWALAZIMISHA WAWEKEZAJI WAKAE KATIKA MEZA NA KUINGALIA UPTA MIKTA NA KAMA HAWATAKI THEN KUBALI KUITWA DIKTETA NA CANADA NA UINGEREZA NA MAREKANI LAKINI KWA MASLAHI YA WATANZANIA JE KIONGOZI MWENYE HIZO GUTS TUTAMPATA WAPI? CHADEMA MWAMWEZA? ZITTO WAWEZA? SLAA WAWEZA? TUAMBIE JAMANI KABLA WENYEWE HATUJAAMUA!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom