William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Hapana ulipaswa kusema kuwa, wewee kama mkazi wa London na unayemfahamu Balozi Kibelloh, umefanya utafiti na kujua kuwa hakuiba picha alizosingiziwa, kwa sababu wewe binafsi uimeenda pale ubalozini kabla hajondoka na una uhakika kuwa hakuiba picha yoyote, na hii hadithi ni uongo, FULL STOP!
Kwenye RO, mbona ulikuwa unajua maneno ya kusema sasa hujui kwenye Kibelloh, unafikiri ni kwa nini niliileta hiyo issue? The rest sio issue kwa hiyo nitakuachia mwenyewe, nataka issues za kuwasaidia wananchi hapa, sio utafiti wa ki-utoto!
Kwenye RO, mbona ulikuwa unajua maneno ya kusema sasa hujui kwenye Kibelloh, unafikiri ni kwa nini niliileta hiyo issue? The rest sio issue kwa hiyo nitakuachia mwenyewe, nataka issues za kuwasaidia wananchi hapa, sio utafiti wa ki-utoto!