heshima mbele wakuu.... naona Zain wameamua kusitisha ukimya na kusema kwamba vocha zao bei ni ile ile..... soma Mwananchi la leo at:
Mwananchi Read News
Mwananchi Read News
serikali imetoa tamko kuwa haijapandisha bei za vocha na hao wafanya biashara wanaopandisha wanawahujumu wateja. bei ni kama ilivyochapishwa kwenye vocha yenyewe. ukichajiwa zaidi peleka huyo mhujumu kituo cha polisi
Kwani tatizo la kuchapishwa 1000 ni nini? Wateja tunajua kuwa tunapata credit ya 1000, tunajua kuwa bei ni 1100. Sio kwamba tunanunua na matumaini ya kukuta credit ya 1100. Yaani hatujadanganywa kuzinunua tunafanya maamuzi wenyewe, na tunatoe hela huku tukijua tunachopata.
Sio rahisi wakakubali kuingia hasara ya mabilioni ya shiling huku wakisubiri vocha mpya.
Sawa sawa, nashaangaa wata wanayalaumu makampuni ya simu, wakati serikali yatu ndo inafanya madudu.
Nadhani kuna kosa kidogo hapo mwanzo 750+150 =900 not 800.