Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,237
HII KWANGU NI AJABU!
nilichoona cha ajabu jana kwenye taarifa za habari itv,star tv na tbc1 ni kuwa.................tbc1 ilionesha kuwa mkutano wa chadema kulikuwa watu wachache saaan wakati itv na star tv kulionekana watu wengi kupita kiasi mpaka WANANCHI WALIAMUA wasukuma gari la dr.slaa........najiuliza?
-HV TBC1 WANAFANYA HAYA MAMBO KWA MASLAHI YA NANI?
-KUNA UKWELI WOWOTE KUWA HII SIYO TELEVISION YA TAIFA BALI YA CCM NA AKINA ROSTAM?
-NINA HAKIKA KUWA BAADA YA KUONA UMATI MKUBWA SANA WA WATU WALIONA WAELEKEZE KAMERA ZAO UPANDE AMBAO ULIKUWA NA WATU WACHACHE
-LAKINA KWA CHOMBO HIKI KINAFANYA HAYA?
nilichoona cha ajabu jana kwenye taarifa za habari itv,star tv na tbc1 ni kuwa.................tbc1 ilionesha kuwa mkutano wa chadema kulikuwa watu wachache saaan wakati itv na star tv kulionekana watu wengi kupita kiasi mpaka WANANCHI WALIAMUA wasukuma gari la dr.slaa........najiuliza?
-HV TBC1 WANAFANYA HAYA MAMBO KWA MASLAHI YA NANI?
-KUNA UKWELI WOWOTE KUWA HII SIYO TELEVISION YA TAIFA BALI YA CCM NA AKINA ROSTAM?
-NINA HAKIKA KUWA BAADA YA KUONA UMATI MKUBWA SANA WA WATU WALIONA WAELEKEZE KAMERA ZAO UPANDE AMBAO ULIKUWA NA WATU WACHACHE
-LAKINA KWA CHOMBO HIKI KINAFANYA HAYA?