Mkuu.@Bavyo Madawa yanauwa Vijidudu endapo utafuata masharti ya Daktari wako atakavyokueleza.Thanx mzizi mkavu. Naomba nikuulize Je, madawa yanauua vijidudu vya virus kama ulivyoainisha ya mkanda wa jeshi?
Mkuu Gogo la choo ninakuona kama vile mvivu kusoma Thead zangu mbona nimesha zungumza kuhusu huo ugonjwa wa Tetekuwanga hebu bonyeza hapa usome https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/356484-ugonjwa-wa-tete-kuwanga-chicken-pox.htmlDaaaahh..thanks so much bro..!!JF ni zaidi ya darasa aisee..!!ila hapo uliposema kuwa mtu aliyeumwa chickenpox yupo katika hatari ya kupata huu ugonjwa endapo kinga yake ya mwili itashuka..inamaana virus vya tetekuwanga huwa havifi na hizi dawa?mtoto wangu ameshawahi kuumwa huu ugonjwa wa chickenpox akiwa chini ya mwaka mmoja na nilipoenda kwa specilist (Dr.Masawe.) alimwandikia sindano 6 na kweli akapona..inamaana unataka kuniambia kuwa vile virus havijafa?
plz nisaidie kwa ufafanuzi zaidi..!!nimeogopa kidogo hapa..
Mkuu Gogo la choo ninakuona kama vile mvivu kusoma Thead zangu mbona nimesha zungumza kuhusu huo ugonjwa wa Tetekuwanga hebu bonyeza hapa usome https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/356484-ugonjwa-wa-tete-kuwanga-chicken-pox.html
Wakuu muu hali gani naomba kujua kinachosababisha mkanda wa jeshi na indicator zake pia madhara yake na kami huu ugongwa una tiba
Nawakilisha
Inamaana ni kweli mtu mwenye mkanda wa jeshi atakuwa na ukimwi?
Unaitwa SOLDIER BELTswali la nyongeza:mkanda wa jeshi unaitwaje kwa lugha ya kiingereza/medical language?nataka ni google ili nijielimishe zaidi juu ya hili gonjwa au sijui ni dalili ya ugonjwa?