mtalae72
Member
- Feb 4, 2011
- 92
- 23
Nakuunga mikono miwili kwa 100%
Kuuwa vibaraka haisaidii.. DAwa ni kukaza buti ya kuleta mabadiliko ya kweli!
Nakuunga mikono miwili kwa 100%
Heri ya Pasaka wana JF,
Kuna mkakati maalumu wa kuwavua ubunge wabunge wengine wanne wa CDM, lengo ni moja tu kupunguza nguvu ya chama.
Ni wazi kuwa kesi zote za wabunge wa CDM wamepewa majaji ambao sio waozefu na ndio wameteuliwa juzijuzi, kwa hyo wana maagizo maalumu kutoka ikulu.
Wabunge wanaotajwa kuvuliwa kwa vyovyote vile ni Lissu ambaye pamoja na mashahidi wa upande wa wadai kushindwa kuthibisha madai bado Jaji anashinikiza kesi iendelee.
Mwingine ni Mnyika ambae Jaji Upendo Msuya ameonyesha kuwa tayar ana yake kichwani kwa sababu yy na mdai ni marafiki sana na pia hata wakili wa upande wa wadai wamewahi kufanya kazi pamoja na Jaji. Lingine kubwa ni kuwa Jaji huyo ni kilaza sana kwenye kesi za uchaguzi na hana hukumu hata moja ya mambo hayo.
Opulikwa wa meatu na Mbasa wa Biharamulo pia wanatajwa kuwa wanavuliwa Ubunge.
Lengo: Lissu, Mnyika na Lema hawatakiwi kuwepo Bungeni wakati wa katiba mpya kutokana na misimamo yao
Source: watu waaminifu kwenye system
sioni mkakati wowote hapo zaidi ya story za mtaani tu