JMushi, nakubaliana na wewe 100%, madaraka na "power" ni vitu vibaya sana, havina udugu wala urafiki, kila mmoja anatazama maslahi yake kwanza ya sasa hivi na ya baadae.
Afrika, hususan Tanzania inajulikana na wala si siri, kuwa watu wanalindana kwa maslahi yao binafsi. Bado tunakazi kubwa ya kufanya.
And desperately so! They realise this is work in progress. In fact they have rattled a snake and they know what to expect. Lakini wanatakiwa wajue kwamba there is no love lost between this idiot and the President. Yeye plan yake ime-boomerang kwa sababu he was setting up a shouting game and his nemesis were quick to fend off this juvenile attempt. He knows that the game plan as changed and he has no control over what will follow! Warbetide my friends!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.