MVUA GAMBA
Senior Member
- Apr 13, 2011
- 102
- 63
Wana JF,
Baada ya kikao cha NEC dodoma Mh MEMBE alimwaaita wajumbe wa NEC wafuatao na Kufanya NAO kikao Nyumbani kwake wajumbe hao ni
NAPE NNAUYE
Capt CHILIGATI
LUSINDE maarufu kwa Jina kibajaji
Makongoro Nyerere
Mzee Samweli sita ambae alifatwa nyumbani kwake akiwa amejipumzisha
Ndg Wilson Mukama
Wajumbe hawa walikutana nyumbani kwa MEMBE baada ya kikao cha nec mzee sita aliwahi kutoka kwenda kupumzika baada ya SUMAYE kuongea.
Katika kikao hicho ukaandaliwa mpango madhubuti wa kupambana na kikwete kwakua hawa jamaa wanaamini Kikwete amewatosa na kuamua kujiunga na Lowasam
Makubaliano.
(1) Kutoa siri za kikwete na hapa hasa mali alizonazo Nje ya Nchi na hapa atakae fanya hii kazi ni Bwana Membe.
(2) Kutumia urafiki uliopo kati ya Membe na baadhi ya watu ndani ya idara ya usalama kufanikisha Mpango huu.
(3) Mzee Samweli Sitta aanzishe mazungumzo na CHADEMA ama CUF ili kuandaa mpango wa kujiunga na chama kimojawapo kati ya hivo viwili kwakuwa Sitta ameona kuwa hakuna njia ya kumzuia Lowassa kushinda ndani ya CCM.
(4) Kutokana IMANI na matumaini ambayo NAPE aliyokuwa nayo baada ya mkutano wa JK na wabunge wa CCM Dodoma, NAPE alimfata Bwana Mwigulu akiwa na Chiligati, Nape amedaiwa kumwambia Mwigulu "Bwana MKUBWA (JK) ameishaingia line ameelekea KIBLA tusaidie kesho tummalize huyu Lowassa, mzee anataka sisi katika kamati kuu tuanzishe, kaka usituangushe"
Baada ya hili kutotokea NAPE amedai atahakikisha analipiza kisasi kwa kuanika SMS walizo-chat na JK, kuonyesha JK alikuwa anamtuma.
Mpango wao unalenga kwanza kuonyesha JK haaminiki, Pia wanadai kwakuwa amewasaliti watamuanika.
PIA Mbunge Ismail Aden RAGE akiwa uwanja wa Ndege wa Tabora Juzi katika VIP akiwa amefatana na Mbunge wa Bukene Selemani Zedi alinukuliwa akisema, "Nimeongea na Mzee Sitta amesema njia pekee ya kupambana na Lowassa na Kikwete ni Nje ya CCM, mimi najiandaa kuondoka" haya ni maneno ya sita ambayo Rage aliyanukuu kwa Selemeni Zedi na Rage akasema Nadhani mzee Sitta yupo Sahihi acha aende JK na Lowassa wote ni Mafisadi.
Wana JF, chanzo cha habari hizi ni mtu aliyekuwa katika vikao hivo vya Dodoma na Membe na Nape walikutana Protea wakiwa na Jack Gotham na Balozi wa heshima wa Comoro. Walikutana kuendelea kupanga mikakati, kumekuwa na Vikao vingi sana ambavyo vimeanza kufanyika, na Membe sasa na yeye anjipanga kuanza kutumia makanisa; hivi karibuni na yeye atakua na Harambee ktk kanisa Katoliki Magomeni.
Kwahiyo mnyukano CCM ndo umeanza sasa waliokuwa watu wa Kikwete sasa wanaanza mipango ya kumhujumu na kuanza kutoa siri za mali zake zilizopo Uarabuni.
Nawasilisha
Baada ya kikao cha NEC dodoma Mh MEMBE alimwaaita wajumbe wa NEC wafuatao na Kufanya NAO kikao Nyumbani kwake wajumbe hao ni
NAPE NNAUYE
Capt CHILIGATI
LUSINDE maarufu kwa Jina kibajaji
Makongoro Nyerere
Mzee Samweli sita ambae alifatwa nyumbani kwake akiwa amejipumzisha
Ndg Wilson Mukama
Wajumbe hawa walikutana nyumbani kwa MEMBE baada ya kikao cha nec mzee sita aliwahi kutoka kwenda kupumzika baada ya SUMAYE kuongea.
Katika kikao hicho ukaandaliwa mpango madhubuti wa kupambana na kikwete kwakua hawa jamaa wanaamini Kikwete amewatosa na kuamua kujiunga na Lowasam
Makubaliano.
(1) Kutoa siri za kikwete na hapa hasa mali alizonazo Nje ya Nchi na hapa atakae fanya hii kazi ni Bwana Membe.
(2) Kutumia urafiki uliopo kati ya Membe na baadhi ya watu ndani ya idara ya usalama kufanikisha Mpango huu.
(3) Mzee Samweli Sitta aanzishe mazungumzo na CHADEMA ama CUF ili kuandaa mpango wa kujiunga na chama kimojawapo kati ya hivo viwili kwakuwa Sitta ameona kuwa hakuna njia ya kumzuia Lowassa kushinda ndani ya CCM.
(4) Kutokana IMANI na matumaini ambayo NAPE aliyokuwa nayo baada ya mkutano wa JK na wabunge wa CCM Dodoma, NAPE alimfata Bwana Mwigulu akiwa na Chiligati, Nape amedaiwa kumwambia Mwigulu "Bwana MKUBWA (JK) ameishaingia line ameelekea KIBLA tusaidie kesho tummalize huyu Lowassa, mzee anataka sisi katika kamati kuu tuanzishe, kaka usituangushe"
Baada ya hili kutotokea NAPE amedai atahakikisha analipiza kisasi kwa kuanika SMS walizo-chat na JK, kuonyesha JK alikuwa anamtuma.
Mpango wao unalenga kwanza kuonyesha JK haaminiki, Pia wanadai kwakuwa amewasaliti watamuanika.
PIA Mbunge Ismail Aden RAGE akiwa uwanja wa Ndege wa Tabora Juzi katika VIP akiwa amefatana na Mbunge wa Bukene Selemani Zedi alinukuliwa akisema, "Nimeongea na Mzee Sitta amesema njia pekee ya kupambana na Lowassa na Kikwete ni Nje ya CCM, mimi najiandaa kuondoka" haya ni maneno ya sita ambayo Rage aliyanukuu kwa Selemeni Zedi na Rage akasema Nadhani mzee Sitta yupo Sahihi acha aende JK na Lowassa wote ni Mafisadi.
Wana JF, chanzo cha habari hizi ni mtu aliyekuwa katika vikao hivo vya Dodoma na Membe na Nape walikutana Protea wakiwa na Jack Gotham na Balozi wa heshima wa Comoro. Walikutana kuendelea kupanga mikakati, kumekuwa na Vikao vingi sana ambavyo vimeanza kufanyika, na Membe sasa na yeye anjipanga kuanza kutumia makanisa; hivi karibuni na yeye atakua na Harambee ktk kanisa Katoliki Magomeni.
Kwahiyo mnyukano CCM ndo umeanza sasa waliokuwa watu wa Kikwete sasa wanaanza mipango ya kumhujumu na kuanza kutoa siri za mali zake zilizopo Uarabuni.
Nawasilisha