Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,422
- 911,172
Mbunge wa Ludewa (CCM), Deo Filikunjombe akiweka sahihi katika fomu ya majina ya wabunge wasiokuwa na imani na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, katika Viwanja vya Bunge mjini Dodoma jana. Kulia ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe anayefanya zoezi la kukusanya sahihi za wabunge ili aweze kuwasilisha bungeni hoja kutokuwa na imani na waziri mkuu. Picha na Edwin Mjwahuzi
Mkakati wa Spika wa Bunge Anne Makinda kulidhoofisha Bunge kwa tafsiri potovu za kanuni za uendeshaji wa hilo Bunge kufikia ukomo J3................