Kalewe mbege huko acha kutuletea utumbo hapa na hoja zako zisizo na mashiko.
..Taarifa za uhakika tulizo nazo ni kwamba kuna mkakati maalum wa kumbambikizia kesi ya madawa ya kulevya Mhe. Godbless Lema mbunge wa jimbo la Arusha Mjini.
Katika mkakati huo watu wasiojulikana watamwingiza mke wa Mhe. Lema katika biashara bila kujijua na hatimaye kumfikisha mahakamani ambako itambidi mbunge Lema awe busy na kesi na kupunguza muda wake wa kupambana na serikali.
Lengo la mkakati huo pia ni kuuonesha umma kuwa Lema si muadilifu mbele ya jamii anamojigamba kuwa mtetezi wake. Lakini mwisho wa yote watataka kufanikisha hata kumfunga Lema gerezani ili iwezekane kumwondoa kabisa katika siasa za Tanzania.
Mkakati huu umekuja ndani ya mpango wa kuwanyamazisha wote wanaopiga kelele dhidi ya Ufisadi unaoshika kasi serikalini.
Msishangae kusikia watu wakiuawa mmoja baada ya mwingine
You guys are giving this Lema guy too much credit hii ni one hit wonder sijui kama wananchi wa Arusha wana mpango wa kumrudisha huyo mjamaa!!
Watu wenyewe wa Arusha wanasema jamaa alikuwa muhuni tu so kama akifunguliwa kesi his past would be haunting him asimlaumu mtu.
You guys are giving this Lema guy too much credit hii ni one hit wonder sijui kama wananchi wa Arusha wana mpango wa kumrudisha huyo mjamaa!!
Watu wenyewe wa Arusha wanasema jamaa alikuwa muhuni tu so kama akifunguliwa kesi his past would be haunting him asimlaumu mtu.
Msikilize mhuni wa Arusha...You guys are giving this Lema guy too much credit hii ni one hit wonder sijui kama wananchi wa Arusha wana mpango wa kumrudisha huyo mjamaa!!
Watu wenyewe wa Arusha wanasema jamaa alikuwa muhuni tu so kama akifunguliwa kesi his past would be haunting him asimlaumu mtu.
Habari imekaa kiudaku udaku!! Hakuna source, mara Lema, mara mkewe, mara watu watauwawa... Yaani bora umeandika tu...!!!
Naamini kabisa hii taarifa ni Lema mwenyewe kaandika .Umaarufu hautafutwi kwa njia za mkato fanya kazi mzee
Naamini kabisa hii taarifa ni Lema mwenyewe kaandika .Umaarufu hautafutwi kwa njia za mkato fanya kazi mzee
..Taarifa za uhakika tulizo nazo ni kwamba kuna mkakati maalum wa kumbambikizia kesi ya madawa ya kulevya Mhe. Godbless Lema mbunge wa jimbo la Arusha Mjini.
Katika mkakati huo watu wasiojulikana watamwingiza mke wa Mhe. Lema katika biashara bila kujijua na hatimaye kumfikisha mahakamani ambako itambidi mbunge Lema awe busy na kesi na kupunguza muda wake wa kupambana na serikali.
Lengo la mkakati huo pia ni kuuonesha umma kuwa Lema si muadilifu mbele ya jamii anamojigamba kuwa mtetezi wake. Lakini mwisho wa yote watataka kufanikisha hata kumfunga Lema gerezani ili iwezekane kumwondoa kabisa katika siasa za Tanzania.
Mkakati huu umekuja ndani ya mpango wa kuwanyamazisha wote wanaopiga kelele dhidi ya Ufisadi unaoshika kasi serikalini.
Msishangae kusikia watu wakiuawa mmoja baada ya mwingine
Hapo kwenye Red, mlizonazo Wewe na nani?
..Taarifa za uhakika tulizo nazo ni kwamba kuna mkakati maalum wa kumbambikizia kesi ya madawa ya kulevya Mhe. Godbless Lema mbunge wa jimbo la Arusha Mjini.
Katika mkakati huo watu wasiojulikana watamwingiza mke wa Mhe. Lema katika biashara bila kujijua na hatimaye kumfikisha mahakamani ambako itambidi mbunge Lema awe busy na kesi na kupunguza muda wake wa kupambana na serikali.
Lengo la mkakati huo pia ni kuuonesha umma kuwa Lema si muadilifu mbele ya jamii anamojigamba kuwa mtetezi wake. Lakini mwisho wa yote watataka kufanikisha hata kumfunga Lema gerezani ili iwezekane kumwondoa kabisa katika siasa za Tanzania.
Mkakati huu umekuja ndani ya mpango wa kuwanyamazisha wote wanaopiga kelele dhidi ya Ufisadi unaoshika kasi serikalini.
Msishangae kusikia watu wakiuawa mmoja baada ya mwingine