Mkakati Wa Kuchangia WanaArusha

Yona F. Maro

R I P
Nov 2, 2006
4,202
218
Mkakati wa Kusaidia WanaArusha .


Tunapenda kuwafahamisha kwamba FOS Imeanzisha Mkakati wa Kuchangia WanaArusha waliopata Shida kwenye Maandamano ya Wafuasi wa CHADEMA na Viongozi wao .


Kwa sasa namba zitakazotumika kwa michango ni
ZAP – 0786 806028
MPESA – 0766334049
Email : friendsofslaa@gmail.com


Ni vizuri ukaweka na jina lako kwenye mchango wako kama utapenda liwepo kwenye kumbukumbu .


Tunashukuru sana kwa wale wote wanaoendelea kutoa msaada wa hali na mali kwa FOS katika kutekeleza majukumu yake .


Mwanzo wa wiki Ijayo wawakilishi wa FOS toka Dar es salaam watakuwa Arusha kwa ajili ya Kuona Majeruhi Na kuendelea na jitihada za majadiliano .


Tembelea www.naombakazi.com Kwa Nafasi za kazi Kila siku

Tembelea Wanabidii | Google Groups kwa Majadiliano Moto Moto
 
Mkakati wa Kusaidia WanaArusha .


Tunapenda kuwafahamisha kwamba FOS Imeanzisha Mkakati wa Kuchangia WanaArusha waliopata Shida kwenye Maandamano ya Wafuasi wa CHADEMA na Viongozi wao .


Kwa sasa namba zitakazotumika kwa michango ni
ZAP – 0786 806028
MPESA – 0766334049
Email : friendsofslaa@gmail.com


Ni vizuri ukaweka na jina lako kwenye mchango wako kama utapenda liwepo kwenye kumbukumbu .


Tunashukuru sana kwa wale wote wanaoendelea kutoa msaada wa hali na mali kwa FOS katika kutekeleza majukumu yake .


Mwanzo wa wiki Ijayo wawakilishi wa FOS toka Dar es salaam watakuwa Arusha kwa ajili ya Kuona Majeruhi Na kuendelea na jitihada za majadiliano .


Tembelea www.naombakazi.com Kwa Nafasi za kazi Kila siku

Tembelea Wanabidii | Google Groups kwa Majadiliano Moto Moto


As long as chadema inongozwa na viongozi vichwa maji michango itaendelea tu. Afadhali mzee makani angeendelea kuwa mwenyekiti pamoja na uzee wake. chama kilikua hadhi yake lakini hawa wa sasa tegemeeni maafa tu. hapatakuwapo amani tena humu nchini Slaa the count is on wala usiilaumu serikali na usiwaite hao marehemu mashujaaa ni kuakebehi! hao ni wahanga wa Slaa na Mbowe mtakataa lakini ukweli utabaki hapo hapo Polisi wanatii amri nyiwe wapellekeni tena hesabu iendelee kukua>
 
Back
Top Bottom