Kuna watu niliwaeleza humu EL ni Yohana Mbatizaji tuu, akiyanyoosha mapito ya yule yuajaye!.
Pasco.
Makamba awe rais wa tz? Yaani we lowasa na kuzunguka kote nchi hii amtengenezee njia makamba aje kuwa rais? Naona kama mnaota ndoto. Ni mara mia fisadi lowasa awe rais kuliko hawa omba omba! Mtu kama anamuuza dada yake ili apate hela za kampeni za ubunge ataweza kuongoza nchi.? Jk anagawa rasilimali zetu bure kwa sababu ya kuwa omba omba. Huwa anadhani akiwagomea kwenye misaada watamnyima misaada. Kumbe anachokipata ni kidogo kuliko kile wanachochuma kwenye mikataba anayosain hovyo hovyo.